RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
Aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe, amesema taarifa ya serikali ndio silaha ya kubomoa hoja zote zenye matege za serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Zitto ambaye ni kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo amesema watawakaanga kwa mafuta yao wenyewe.
“Ninasubiri kwa hamu sana siku 70 za kampeni. Sisi tutaongelea maisha ya watu na wao wataongelea takwimu za kubumba. Wananchi wataamua,” aliandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter.
Zitto ambaye ni kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo amesema watawakaanga kwa mafuta yao wenyewe.
“Ninasubiri kwa hamu sana siku 70 za kampeni. Sisi tutaongelea maisha ya watu na wao wataongelea takwimu za kubumba. Wananchi wataamua,” aliandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter.