Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Wadau wa JF!
Nimefurahishwa na kauli aliyoitoa Mbunge wa Kigoma Kaskazini mh Zitto. Ya kuwa yeye Zitto alichukua kadi ya chadema akiwa na miaka 16 mwaka 1993 wakati "hao wenye midomo mikubwa wanao ongea sasa walikuwa wamewakumbatia watawala"
Zitto wakati anachukua kadi ya chadema mwaka 1993, Katibu Mkuu wa chadema Dr Slaa alikuwa yuko CCM.
Kumbe Zitto ana miaka mingi ndani ya cdm, kuliko hata Viongozi wake!!
SWALI: Lissu, Mnyika na Lema walikuwa wapi mwaka huo??
Nimefurahishwa na kauli aliyoitoa Mbunge wa Kigoma Kaskazini mh Zitto. Ya kuwa yeye Zitto alichukua kadi ya chadema akiwa na miaka 16 mwaka 1993 wakati "hao wenye midomo mikubwa wanao ongea sasa walikuwa wamewakumbatia watawala"
Zitto wakati anachukua kadi ya chadema mwaka 1993, Katibu Mkuu wa chadema Dr Slaa alikuwa yuko CCM.
Kumbe Zitto ana miaka mingi ndani ya cdm, kuliko hata Viongozi wake!!
SWALI: Lissu, Mnyika na Lema walikuwa wapi mwaka huo??