Nyerere alisema hayoooo
Kwani kuwa mzalendo na kulitumikia taifa lazima uwe Rais?
Fanya kazi watanzania tukuone, ikifika wakati tutakuita wenyewe.
Kwani Mwinyi ama Mkapa walipokuwa mawaziri walikuwa wanatamka mambo ya Urais?
Sasa tuangalia huyu aliyeota uraisi na kuunda mtandao? Alikimbilia Ikulu, angalia mambo yanayofanyika!!!!
Nawaonya wananchi wa Tanzania na Wanachama Wa CDM, wale woote wanaotaka uraisi sana, tuwachunguze na kuwaangalia kwa jicho la husuda.
Kwa akili zangu chache sifikiri wala sidhani kweli kwamba Mbunge wa Kigoma kaskazini Bw Kabwe zitto ana uwezo wa kuwa President, naona anajitafutia lawama tu, embe wadau nisaidieni
Kwa akili zangu chache sifikiri wala sidhani kweli kwamba Mbunge wa Kigoma kaskazini Bw Kabwe zitto ana uwezo wa kuwa President, naona anajitafutia lawama tu, embe wadau nisaidieni
Kasadiane na mme wako
Zitto ana nini cha ajabu toto limekuwa fisadi na libinafsi
Kwa akili zangu chache sifikiri wala sidhani kweli kwamba Mbunge wa Kigoma kaskazini Bw Kabwe zitto ana uwezo wa kuwa President, naona anajitafutia lawama tu, embe wadau nisaidieni