Kaka kwa kunyatia!,mmh!,hatari
Jamaa kajitoa mhanga sio bureView attachment 877585
Life begins at 40 ..... He used to be naive, then. He's now mature!!Sio msaliti tena?,
Hata Mange ulimwambia hivyo hivyo siku ilipofika ulimuacha peke yakeZitto usirudi nyuma tutakuunga mkono
Tuko tayari kushirikiana na yeyote atakayesaidia kung'oa ccm madarakani .Huyu mtu yuko kututia hasara mradi tu aimarishe chama cha hata kwa mbinu za hovyo na zinazoligharimu Taifa.In short, he doesn't care hivyo ni wajibu wa kila mtu kumkemea kadri awezavyo.
Hana uchungu na nchi hii, ni mnafiki, muongo, mbabaishaji na zaidi ni msanii wa kiwango cha SGR.
Huyu mtu ni wa kumsema kama afanyavyo Zitto na wala si wa kumuonea haya hata kidogo.Wengi wanaangalia nafasi yake na si matendo yake ya hovyo ya kubariki huu uhujumu uchumi kupitia hizi chaguzi zinazotokana na sababu za kipuuzi kabisa huku yeye akiwa kimya na wakati huo huo akijifanya na uchungu na hela zetu.
Zitto usirudi nyuma tutakuunga mkono.
IF THERE IS NO ENEMY WITHIN, THE ENEMY OUTSIDE CAN DO YOU NO HARM.Huyu mtu yuko kututia hasara mradi tu aimarishe chama cha hata kwa mbinu za hovyo na zinazoligharimu Taifa.In short, he doesn't care hivyo ni wajibu wa kila mtu kumkemea kadri awezavyo.
Hana uchungu na nchi hii, ni mnafiki, muongo, mbabaishaji na zaidi ni msanii wa kiwango cha SGR.
Huyu mtu ni wa kumsema kama afanyavyo Zitto na wala si wa kumuonea haya hata kidogo.Wengi wanaangalia nafasi yake na si matendo yake ya hovyo ya kubariki huu uhujumu uchumi kupitia hizi chaguzi zinazotokana na sababu za kipuuzi kabisa huku yeye akiwa kimya na wakati huo huo akijifanya na uchungu na hela zetu.
Zitto usirudi nyuma tutakuunga mkono.
Zitto aungwe mkono kwa lipi la maaana.