Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Huyu mtu yuko kututia hasara mradi tu aimarishe chama cha hata kwa mbinu za hovyo na zinazoligharimu Taifa.In short, he doesn't care hivyo ni wajibu wa kila mtu kumkemea kadri awezavyo.
Hana uchungu na nchi hii, ni mnafiki, muongo, mbabaishaji na zaidi ni msanii wa kiwango cha SGR.
Huyu mtu ni wa kumsema kama afanyavyo Zitto na wala si wa kumuonea haya hata kidogo.Wengi wanaangalia nafasi yake na si matendo yake ya hovyo ya kubariki huu uhujumu uchumi kupitia hizi chaguzi zinazotokana na sababu za kipuuzi kabisa huku yeye akiwa kimya na wakati huo huo akijifanya na uchungu na hela zetu.
Zitto usirudi nyuma tutakuunga mkono.
Hana uchungu na nchi hii, ni mnafiki, muongo, mbabaishaji na zaidi ni msanii wa kiwango cha SGR.
Huyu mtu ni wa kumsema kama afanyavyo Zitto na wala si wa kumuonea haya hata kidogo.Wengi wanaangalia nafasi yake na si matendo yake ya hovyo ya kubariki huu uhujumu uchumi kupitia hizi chaguzi zinazotokana na sababu za kipuuzi kabisa huku yeye akiwa kimya na wakati huo huo akijifanya na uchungu na hela zetu.
Zitto usirudi nyuma tutakuunga mkono.