Zitto:Ni bora tukakosa mbunge Arumeru kuliko kukosa Diwani!

Kaseko

Senior Member
Feb 15, 2011
160
32
Zitto aliyasema hayo kipindi akizindua kampeni za mgombea udiwani katika uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kirumba kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba saa 11:15 jioni ya tarehe 11.03.2012.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.
 
Zitto aliyasema hayo kipindi akizindua kampeni za mgombea udiwani katika uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kirumba kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba saa 11:15 jioni ya tarehe 11.03.2012.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.

safi sana Kijana Zito sasa anakuja juu Magamba mnalo andikeni mumekwisha
 
kazi nzuri mpaka kieleweke, twanga kote kote arumeru,mwanza,dar vijibwen dom nk
 
kwa kauli hii ya mh. Zitto kumbe hata wao CDM wanajua kwamba hawawezi kupata jimbo la Arumeru! na mwisho wa siku hata hiyo kata ya kirumba tunairudisha kundini.
 
kwa kauli hii ya mh. Zitto kumbe hata wao CDM wanajua kwamba hawawezi kupata jimbo la Arumeru! na mwisho wa siku hata hiyo kata ya kirumba tunairudisha kundini.
Utawajua walevi wa gongo za week end kwa matapishi yao yanavyonuka.
 
Mkuu Kaseko mbona hiyo kauli "Ni bora tukakosa mbunge Arumeru kuliko kukosa udiwani" sijaiona mahali Zitto aliposema hivyo ?.

Zitto aliyasema hayo kipindi akizindua kampeni za mgombea udiwani katika uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kirumba kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba saa 11:15 jioni ya tarehe 11.03.2012.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.
 
Masuala mengine sawa...ila bora kupoteza ubunge Arumeru umedanganya mkuu...nilikuwepo mwanzo mwisho pale Magomeni.
 
Mkuu Kaseko mbona hiyo kauli "Ni bora tukakosa mbunge Arumeru kuliko kukosa udiwani" sijaiona mahali Zitto aliposema hivyo ?.

sidhan kama kauli hiyo aliisema akiwa na nia mbaya, mtu mwenye akili fupi ataifsri vizuri.
the purpose of this context, i need to observe the critical analytic thinker's at jf.
lakin ukiichukulia poa inakuwa poa.
 
jamani msimuwekee kauli za kichochezi Zitto hajasema hilo la bora kukosa ubunge Arumeru hapa naona ni zile kampeni chafu za Magamba katika kumchonganisha na CHADEMA maana kauli kama hizo hu-undermine efforts za wana CHADEMA wenzie Arumeru kitu ambacho kinaweza tumika na CCM kwa manufaa yao! Kwa hiyo watu muwe na ustaarabu katika kampeni zenu za majitaka!
 
Zitto aliyasema hayo kipindi akizindua kampeni za mgombea udiwani katika uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kirumba kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba saa 11:15 jioni ya tarehe 11.03.2012.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.

MBONA NA WEWE ULIENDA IKULU KUJADILIANA KATIBA MPYA NA MPINZANI WAKO?mbona hujataja unemployment ilivyo athili maisha ya mtanzania? Ina maana hujui kama unemployment ni mbaya kuliko mfumuko wa nei? toa ,anati mfukoni mwako, dogo!
 
Zitto aliyasema hayo kipindi akizindua kampeni za mgombea udiwani katika uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kirumba kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba saa 11:15 jioni ya tarehe 11.03.2012.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.

maneno kama haya ndiyo aliyotumia hitler kuingia madarakani mwaka 1932!yako katika kitabu "The third reign" page 173. Kabwe umeyanyaka kijamu ile mbaya!
 
Back
Top Bottom