Zitto aliyasema hayo kipindi akizindua kampeni za mgombea udiwani katika uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kirumba kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba saa 11:15 jioni ya tarehe 11.03.2012.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.
Aliwaambia wananchi na watanzania kuwa mtu ataepigia kura CCM.
(1) Atakuwa amekubaliana na
mfumuko wa bei.
(2) Atakuwa amekubaliana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM.
(3) Atakuwa amekubaliana na ugumu wa maisha.
(4) Atakuwa amekubaliana Uongozi mbovu wa serikali ya CCM na Gamba lao Wasilivue.
(5) atakuwa amekubaliana na sera pamoja na mipango mibovu ya CCM.
(6) atakuwa amekubaliana na maovu yote yanayofanywa na watawala na ukandamizwaji wa demokrasia unaofanywa na viongozi wa jeshi la polisi.
(7) atakuwa amekubaliana na upandanji wa bei za bidhaa kama vile sukari, mafuta,umeme, mabati,siment na nk.
Akawaambia kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa lakini watanzania wanabaki kuwa maskini wa kutupa, akaenda mbali na kusema maendeleo hayawezi kuletwa na chama kile kile na viongozi walewale hivyo ni mda wa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kula, kuikataa CCM na ulagai wake.
Alisisitiza kuwa CCM wameishiwa sera na Chama kilicho na sera madhubuti na makini ni Kuipa kura nyingi CHADEMA. katika chaguzi zote sasa si mda kucheza niwakufanya kazi ccm wameshindwa kwani wana miaka 50 lakini maendeleo hayaendani umri huo.