Zitto: Naipongeza Serikali kwa Kuchukua Hatua Juu ya Sakata la Escrow

Tatizo ni JK habebeki bora tu turuhusiwe kumjadili kwa maovu aliyotufanyia watanzania...chonde chonde JPM Huyu Kikwete afilisiwe ndio ROHO za watanzania zitatulia na kukuunga mkono kwa dhati ya mioyo yetu
Kikwete alisema hizi sio pesa za umma,ni pesa binfsi
 
Hao sio wezi halisi, maana wezi halisi sisonje kashasema wasiguswe. ccm aka magamba endeleeni na maigizo yenu.
 
Tatizo ni JK habebeki bora tu turuhusiwe kumjadili kwa maovu aliyotufanyia watanzania...chonde chonde JPM Huyu Kikwete afilisiwe ndio ROHO za watanzania zitatulia na kukuunga mkono kwa dhati ya mioyo yetu

Jk hivi sasa yupo Canada!

Yaan kadri mnavyokeza Chuki zenu kwa Jk ndivyo anavyozidi ku shine!
 
IPTL ilikuwa izalishe na kuuza umeme wa dharura.
,lakini sasa imekuwa kuuza umeme kwa muda needy.TANESCO ilifungua mashtaka mahakamani kutokana na tozo kubwa,eti Tanesco ikashindwa kesi.
Naona hata mkataba wa kuuza umeme kwa Tanesco hauna maslahi kwa Tanesco na Taifa(eti IPTL watakuwa wanalipwa hata wasipozalisha umeme)!!
Hapa tena,ni eneo lilokuwa linawagharimu wananchi wa kawaida,na tumekuwa tunashuhudia Tanesco ikipandisha bei ya umeme ili kulipa madeni kwa makampuni yanayofua umeme!
 
Tatizo ni JK habebeki bora tu turuhusiwe kumjadili kwa maovu aliyotufanyia watanzania...chonde chonde JPM Huyu Kikwete afilisiwe ndio ROHO za watanzania zitatulia na kukuunga mkono kwa dhati ya mioyo yetu
Ila che nkapa asiguswe?
 
Kupelekana mahakamani kama viini macho kwa ccm ni jambo la kawaida sana. Tunachotaka kuona siyo ngonjera za mahakamani. Nini hasa kitakuwamatokeo ya kesi hizi.

Serikali hupeleka watu mahakamani kwa mashitaka madogomadogo au hata kufanay makosa kwa makusudi ili washinde kesi. Serikali inakuwa ndumia kuwili lazima ibalance mahesabu. Kuwafikisha mahakamani kwa kelele nyingi, kuwashitaki kama kuwapapasa na kisha serikali kuangushwa mahakamani kama kuwasaisha watuhumiwa na kuua so.

Ipo kesi ya epa wote mnajua hukukmu zake zilvyokwenda.

Ipoe kesi ya mauaji ya Mwangozi, wote mnajua nini kilfanyika.

Makinikian yamepigiwa kelele na ngonjera nyingi, leo yameruhusiwa kuswafirishwa kwenda nje ya nchi, kimya kimya bila kuujulisha umma nini kimejiri.

Mkuu aliyehusika na ufisadi kwa asiliamia zote, analindwa na wakati huo huo anakwenda kuongea na wabia wao wa makinikia. Unategemea nini?

Hii ya Escrow ni geresha sana. Mwisho wa siku unakuta hahkuna kitu kama makinikia yalivyoruhusiwa kusafirishwa kimyakimya pamoja na kuwapgisha watz sanaa.

Geresha tu!. CCM ni ile ile. ila sanaa zao zinatofautiana.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Nami pia nafikiri hii ni hatua nzuri ili ukweli uweze kubainika.
Hata hivyo Jambo moja ni dhahiri: msimamo wa wabunge. Ilisemwa kuwa wabunge wamepanga kupiga Kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.
Vyombo vya habari viliripoti mkwara wa mkuu wa nchi Kwa wabunge wa ccm kuwa endapo watamkataa atarejesha tena jina lake na wakilikataa, atalivunja bunge ili nchi irudi kwenye uchaguzi mkuu.
Wabunge walikuwa wakitaka serikali itekeleze maazimio ya bunge ikiwa ni pamoja na yaliyohusu sakata la Escrow.
Ikitolewa Kwa prof. Muhongo mwanzoni mwa ripoti ya Kwanza ya makinikia ilikuwa mwangwi kuwa hatua zaidi zinafuata.
 
Nampongeza Zitto kwa kumpongeza Rais wetu mie nakaribia kumpongeza kwani karibia makaburi yatafukuliwa tu.
 
Na wale waliopokea mshiko toka kwa hawa jamaa watapelekwa mahakamani au la. Vipi wale waliochota bank kwa viroba sio wahujumu uchumi. Ahsante Magu hitakuchagu tena 2020
 
Na wale waliopokea mshiko toka kwa hawa jamaa watapelekwa mahakamani au la. Vipi wale waliochota bank kwa viroba sio wahujumu uchumi. Ahsante Magu hitakuchagu tena 2020
Hili swali lilikua la msingi sana.... Bahati mbaya wanaotolewa kafara huwa wafanyabiashara tu ila wanasiasa hulindwa. Kiufupi ukurasa wa Tegeta Escrow umefungwa rasmi hku wahusika halisi bado wapo ofisi za serikali wakiendelea kutumbua pesa tu.
 
Back
Top Bottom