Zitto, nadhani hapa ndipo Mlipokuja kutofautiana/Kukosana na Magufuli. Kuanzia hapo things fell apart

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,357
11,503
Najiuliza ni wapi Mh. Magufuli alikosana na Zitto Kabwe. Siku ambayo Mh. Anaingia Bungeni nakumbuka Wapinzani walitoka Zitto alibaki Bungeni kumuunga mkono Mh. Magufuli.

Tumaini lake lilikuwa ni nini na matokeo yake yamekuwa nini? Inafahamika Zitto alikuwa akila vizuri kipindi cha Kikwete.alikula mezani na wakubwa. Sababu alinawishwa mikono ikawa inafaa kula na wakubwa.

Mategemeo yake yalikuwa vivyo hivyo.kuwa angeendelea kula na wakubwa sababu mikono yake ilinawishwa. Matokeo yake yakawa kinyume. Magufuli hakumwalika mezani Zitto kwa kusema kuwa ana mikono michafu.

Hili ni jambo ambalo lilimtesa Zitto Kabwe na kwa hasira kuamua kubadilisha mtizamo. Wapinzani wengine wshawahi muuliza Zitto Kabwela kuwa ni nini ambacho hasa kilimfanya amkubali Magufuli ambacho sasa kimekuwa tofauti?

Kama Zitto alikuwa na akili angegundua mapema Mh.Magufuli ni Rais wa namna gani toka siku ile kasikia kuwa Magufuli ndiye Rais. Hivyo kama kumkataa angemkataa mapema.

Zitto alinyimwa nafasi nyeti za kamati zilizokuwa zinampatia pesa nyingi sana kipindi cha kikwete.hili jambo limemghadhibisha sana zitto.au aseme kama kuna jambo jingine.

Nini ambacho alikuja kugundua siyo na kilikuwepo zamani kwa magufuli? Toka akiwa Waziri Magufuli yupo hivi hivi alivyo.hakuwahi pretend hata kidogo. Chuki binafsi za Zitto ndizo zinazomtesa kwa sasa. Maana amekosa kila kitu kabaki na Ubunge tu ambao inawezekana pia akaja kuukosa mwaka 2020.
 
Acha upotoshaji wewe! Watu wengi sana walimuunga mkono Magufuli mwanzoni mwa utawala wake including huyo Zitto! Hata akina Maria Sarungi ambao hivi sasa wanampinga sana Magufuli na wenyewe walimuunga mkono Magu wakati wa kampeni na wakati wa mwanzo wa utawala wake!

Wale wale waliokuwa wanamuunga mkono hatimae wakaanza kumpinga wazi wazi baada ya kuonesha wazi wazi elements za kidikteta! Hiki ni kile kipindi watu kama TL wakaanza kumuita Magu ni Dikteta Uchwara! Akaanza kupiga marufuku Bunge kurushwa Live! Kabla hajakaa sawa, Magu akapiga marufuku shughuli za Kisiasa! 2016 haijaisha, Ben Saanane akatoweka! Watu wakaanza kufunguliwa kesi za matumizi ya mitandao hovyo hovyo! Hatujakaa vizuri, TL anamiminiwa risasi kadhaa!!

Hapo ndipo wale wale waliokuwa wanamuunga mkono kama Maria Sarungi wakaanza kumpinga! Na ndipo hapo Zitto nae alipoanza kumpinga Magu wazi wazi! Na ni poyoyo tu ndie anaweza kujifanya hakuona hizo elements za kidikteta za Magu! Na utakuwa mtu wa ajabu sana kama ulitarajia kuna kiongozi wa upinzani ambae angeendelea kumuunga mkono Magu pamoja na yote hayo!

Huyo Tundu Lissu mwenywe! Mbona hakuwa anatoa maneno makali wakati wa JK?! Mbona hakuwahi kusisitiza kwamba JK ni Dikteta?! Au na mwenyewe enzi hizo alikuwa anakula na meza kuu lakini akaanza kumchana Magu Live kwa sababu ameondolewa kwenye meza kuu?!
 
Acha hizo kazi ya mpinzini yeyote bila kubagua chama ni kuikosoa serikali iliyopo madarakani haijalishi mpinzani ni rafiki au ndugu yake aliyepo madarakani, Zitto hana chuki binafsi kwani siye anamtuma magufuli kuminya Demokrasia kuwatesa wapinzani kwa kila nyanja, Kukosa kila kitu kubakia na ubunge siyo kigezo huo ni mtizamo wako binafsi lakini ukweli ni kwamba wajibu wa upinzani ni kuwakosoa nyinyi dhidi ya mabaya yenu yote.
 
Zitto hakukosa bali ALIKOSESHWA nafasi kwenye kamati kwa sababu za kisiasa. Umesahau jinsi kamati yake ilikuwa mwiba kwa serikali? R.I.P Deo
Wajibu wa upinzani si kusifia serikali bali wajibu wao ni kuikosoa serikali mda wote bila kupumzika
 
Acha upotoshaji wewe! Watu wengi sana walimuunga mkono Magufuli mwanzoni mwa utawala wake including huyo Zitto! Hata akina Maria Sarungi ambao hivi sasa wanampinga sana Magufuli na wenyewe walimuunga mkono Magu wakati wa kampeni na wakati wa mwanzo wa utawala wake!

Wale wale waliokuwa wanamuunga mkono hatimae wakaanza kumpinga wazi wazi baada ya kuonesha wazi wazi elements za kidikteta! Hiki ni kile kipindi watu kama TL wakaanza kumuita Magu kwamba ni Dikteta Uchwara! Akaanza kupiga marufuku Bunge kurushwa Live! Kabla hajaaa sawa, Magu akapiga marufuku shughuli za Kisiasa!

Hapo ndipo wale wale waliokuwa wanamuunga mkono wakaanza kumpinga! Kama nitakuwa nakumbuka vizuri, hao ni pamoja na akina Na ndipo hapo Zitto nae alipoanza kumpinga Magu wazi wazi! Na ni poyoyo tu ndie anaweza kujifanya hakuona hizo elements za kidikteta za Magu!

Huyo Tundu Lissu mwenywe! Mbona hakuwa anatoa maneno makali wakati wa JK?! Mbona hakuwahi kusisitiza kwamba JK ni Dikteta?! Au na mwenyewe enzi hizo alikuwa anakula na meza kuu lakini akaanza kumchana Magu Live kwa sababu ameondolewa kwenye meza kuu?!
Nakuunga mkono kwa asilimia zote umenena ukweli mtupu
 
Najiuliza ni wapi Mh. Magufuli alikosana na Zitto Kabwe. Siku ambayo Mh. Anaingia Bungeni nakumbuka Wapinzani walitoka Zitto alibaki Bungeni kumuunga mkono Mh. Magufuli.

Tumaini lake lilikuwa ni nini na matokeo yake yamekuwa nini? Inafahamika Zitto alikuwa akila vizuri kipindi cha Kikwete.alikula mezani na wakubwa. Sababu alinawishwa mikono ikawa inafaa kula na wakubwa.

Mategemeo yake yalikuwa vivyo hivyo.kuwa angeendelea kula na wakubwa sababu mikono yake ilinawishwa. Matokeo yake yakawa kinyume. Magufuli hakumwalika mezani Zitto kwa kusema kuwa ana mikono michafu.

Hili ni jambo ambalo lilimtesa Zitto Kabwe na kwa hasira kuamua kubadilisha mtizamo. Wapinzani wengine wshawahi muuliza Zitto Kabwela kuwa ni nini ambacho hasa kilimfanya amkubali Magufuli ambacho sasa kimekuwa tofauti?

Kama Zitto alikuwa na akili angegundua mapema Mh.Magufuli ni Rais wa namna gani toka siku ile kasikia kuwa Magufuli ndiye Rais. Hivyo kama kumkataa angemkataa mapema.

Zitto alinyimwa nafasi nyeti za kamati zilizokuwa zinampatia pesa nyingi sana kipindi cha kikwete.hili jambo limemghadhibisha sana zitto.au aseme kama kuna jambo jingine.

Nini ambacho alikuja kugundua siyo na kilikuwepo zamani kwa magufuli? Toka akiwa Waziri Magufuli yupo hivi hivi alivyo.hakuwahi pretend hata kidogo. Chuki binafsi za Zitto ndizo zinazomtesa kwa sasa. Maana amekosa kila kitu kabaki na Ubunge tu ambao inawezekana pia akaja kuukosa mwaka 2020.

Ulichokiandiaka kinaonyesha udogo wa akili ulizonazo.
 
Najiuliza ni wapi Mh. Magufuli alikosana na Zitto Kabwe. Siku ambayo Mh. Anaingia Bungeni nakumbuka Wapinzani walitoka Zitto alibaki Bungeni kumuunga mkono Mh. Magufuli.

Tumaini lake lilikuwa ni nini na matokeo yake yamekuwa nini? Inafahamika Zitto alikuwa akila vizuri kipindi cha Kikwete.alikula mezani na wakubwa. Sababu alinawishwa mikono ikawa inafaa kula na wakubwa.

Mategemeo yake yalikuwa vivyo hivyo.kuwa angeendelea kula na wakubwa sababu mikono yake ilinawishwa. Matokeo yake yakawa kinyume. Magufuli hakumwalika mezani Zitto kwa kusema kuwa ana mikono michafu.

Hili ni jambo ambalo lilimtesa Zitto Kabwe na kwa hasira kuamua kubadilisha mtizamo. Wapinzani wengine wshawahi muuliza Zitto Kabwela kuwa ni nini ambacho hasa kilimfanya amkubali Magufuli ambacho sasa kimekuwa tofauti?

Kama Zitto alikuwa na akili angegundua mapema Mh.Magufuli ni Rais wa namna gani toka siku ile kasikia kuwa Magufuli ndiye Rais. Hivyo kama kumkataa angemkataa mapema.

Zitto alinyimwa nafasi nyeti za kamati zilizokuwa zinampatia pesa nyingi sana kipindi cha kikwete.hili jambo limemghadhibisha sana zitto.au aseme kama kuna jambo jingine.

Nini ambacho alikuja kugundua siyo na kilikuwepo zamani kwa magufuli? Toka akiwa Waziri Magufuli yupo hivi hivi alivyo.hakuwahi pretend hata kidogo. Chuki binafsi za Zitto ndizo zinazomtesa kwa sasa. Maana amekosa kila kitu kabaki na Ubunge tu ambao inawezekana pia akaja kuukosa mwaka 2020.

Mtu mjinga tu ndio anaweza kumuunga mkono mzazi mkatili eti kisa kajenga maghorofa. Kama kuunga ukatili ni sahihi, basi tulipaswa kuwaunga mkono wazungu wa Afrika kusini maana walileta maendeleo huko Afrika kusini.
 
Sababu ulizozitoa ili kujenga hoja yako, ni za kufikirika tu. Hazina ukweli wala uhalisia wowote ule.
 
In short baadhi ya wapinzani wa Tanzania ukiwaangalia kwa jicho la juu juu unaweza kusema wapo kwa ajili ya kutetea wananchi lakini uhalisia ni kwamba wapo hapo walipo kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
 
Mwezenu yuko kuratibu vijiji vyakushinda uchaguzi ,wewe unakuja mtandaoni huko kumsema..hivi ccm mkoje pelekeni huduma kwawananchi
 
hata kama,,hizo ndo siasa,mitizamo hubadilika kulingana na mda,,mfano unaweza kupigia kura upinzani baadae ukapigia ccm na kinyume chake,
 
Back
Top Bottom