mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Kiongozi wa Act -Wazalendo na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi ndugu Mbatia wamemtembelea Mbowe na kumtia moyo juu ya mapambano ya demokrasia. Walimtembelea katika Gereza la Ukonga na Mhe. Zitto akachukua nafasi hiyo kumpa zawadi ya chakula cha ubongo
Chanzo Act -WazalendoView attachment 1879762View attachment 1879763View attachment 1879764
Chanzo Act -WazalendoView attachment 1879762View attachment 1879763View attachment 1879764