Sasa Kwanini fujo zenu musiwe munazipeleka kwenu Kilimanjaro?Hakuna Arusha bila watu wa Kilimanjaro na mikoa haya yanajitegemea ila kwa kua kichwa chako kimejaa u egoism huwezi ukalitambua hili kwa haraka.
Pigo kuu kwa Zitto, kanda ya ziwa tumefurahishwa na uamuzi huu.
Pigo kuu kwa Zitto, kanda ya ziwa tumefurahishwa na uamuzi huu.
Mkuu tokea ile gesi itoke huyo mmakonde the big choo(namnukuu @ze marcopolo )kada wa magamba aliyegeukia upande wao amechanganyikiwa na hapa unaona tayari wamemwita the big choo!!!hahahhaaaaIs it a slip of tongue or delibarate?
Mkuu sio THE BIG CHOO ni THE BIG SHOO​.
Chadema wameishapoteza sifa ya kuwa chama cha kitaifa.
Pia na kanda ya magharibi ikiwemo na Tabora tumefurahishwa sana na huu uamuzi mzuri wa chama wa kuwatimua wanafiki na wahafidhina.
Akili ndogo kulazimisha kuitawala akili kubwa, hayo ndiyo yanayo endelea ndani ya chama cha wachaga.
Kitu gani kinachokuaminisha kuwa chadema ni chama cha wachaga? Na ccm ni chama cha kabila gani au dini gani?
Chadema siyo chama ni kikundi cha watu wa kaskazini ambao wanatumia mwamvuli wa kisiasa kufanikisha mambo yao.
Mkuu tokea ile gesi itoke huyo mmakonde the big choo(namnukuu @ze marcopolo )kada wa magamba aliyegeukia upande wao amechanganyikiwa na hapa unaona tayari wamemwita the big choo!!!hahahhaaaa
Cc: THE BIG SHOW
Unazungumzia Dola gani?Neno ninaloamini ni moja tu kwakuwa nina imani na kamati kuu ya chama ambacho kina kila sifa ya kuchukua dola sasa. Neno hilo ni WAMEVULIWA UANACHAMA FULL STOP!!
Kumbe unajua Mnyika na Mdee wanaakili timamu .Sasa uanze kujiuliza kwa nini hao unaowaona wana akili timamu wanampinga ama mitazamo hasi juu ya Zitto.Hivi chadema mbona mna chuki binafsi.
Kumbe zitto mlikuwa mnamwinda siku nyingi.
Chadema mtachukia watu wangapi?Hivi kwa nini mnamchukia ZITTO kiasi hiki?
Kuna vichaa wengine walisema heti wananchi wamesema zitto asikanyage arusha.
Hivi zitto angewatonya mgeendelea kumchukia kiasi hiki.
Hivi zitto angejikopesha ruzuku kama Dr slaa si mgempiga na tofali kwa chuki mlizonazo.
Hakuna mtanzani atakaye kubali chama cha namna hii kuingia ikulu mtabaki kukopeshana na kupeana tenda za manunuzi.
Kinacho nisikitisha ni wabunge wenye akili tima kama wakina Mnyika,Halima mdee kuwa part ya huu unyanyasaji dhidi ya zitto na kukubali kutumiwa na wakina Dr slaa.
Hii saccos tuta hakikisha ina komea Tengeru na haitokuga hile barabara ya kivukoni.
We sisi walewale wakina shirima unamiliki jiko Bar hapo ISAMILO,tunazungumzia WASUKUMA wapiga kura.
Anaejitambua ni Mtei pekeyake, anataka kusimika utawala wa kichaga kwenye TAIFA lenye mchanganyiko wa makabila.Hujitambui!
Lakini maamuzi ya CCM hayatoki Uchagani wala kwenye kabila/ Dini yoyote. Tofauti na hii taasisi ya kichaga ambayo mwenye maamuzi ya mwisho ni MTEI. Umesikia Shoga yake mama yangu?Hivi ccm haina wabunge na madiwani pale uchagani acheni ubaguzi umesikia dadangu Kitoabu