Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
What enticed me kuja na topic hii ni kwamba kimsingi nakubaliana na hoja iliyoibulia na Mheshimiwa Zitto na baadae kuungwa mkono na Mheshimiwa January juu ya posho kuwa mzigo kwa taifa, mlipa kodi in particular.
Nampongeza Zitto kwa kuleta hoja hii na pia nampongeza January kwa kuiunga mkono na kuielezea vizuri katika context ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano ijayo. Kimsingi nakubaliana na hoja hii kwani inalenga kutujengea fiscal discipline. Lakini nina some reservations on how mjadala unavyoendelea pamoja na mikakati inayoelekea kufuatwa.
Sitazungumzia posho za wabunge na viongozi wa vyama vya siasa bali zile za watumishi wa serikali. Kufuta posho za watumishi wa serikali kiholela holela inaweza kutupelekea hasara zaidi ya faida. The way I see how suala zima linavyo unfold, I don't see it being sustainable na mjadala unapoteza mwelekeo. Pia kama hatutakuwa waangalifu, tunaweza face a collapse ya public sector management system.
Kwanza lilianza suala la posho za wabunge, baadae likaongezeka la watumishi wa umma na sasa hata vikao vya vyama vya siasa vimeingiliwa. Kimsingi nina wasiwasi na mjadala juu ya posho za watumishi wa serikali, especially baada ya mjadala kuchukua mkondo mpya ambapo posho za watumishi wa serikali, wabunge na wa vyama vya siasa zinachukuliwa kama ni tatizo moja. Hapa kuna tatizo kwani mfumo wa posho hizi haufanani kwahivyo solution zake haziwezi kuwa treated in a ‘one size fits all' fashion.
Suala la posho za wabunge na za vikao vyama vyama vya siasa ni rahisi kusema hata ukiwa usingizini kwamba zifutwe lakini sio suala la posho za watumishi wa serikali kwani unlike za wabunge (kwa hali yao ya kiuchumi leo hii) na vyama kwa sasa kuwa more of a political issue, suala juu ya posho za watumishi wa serikali is a political, economic and social issue Kwahiyo ufumbuzi wake uzingatie these spheres (political, social, economical) otherwise madhara yake yatakuwa si ya kisiasa tu bali kijamii na kiuchumi. Nitafafanua baadae.
Tukianza na posho za watumishi wa serikali, hizi zilishika kasi kutokana public sector reform programme in the early 1990s, a very expensive reform ambayo ililenga kutatua tatizo la a ‘near – collapse' of the public service management system. Structural Adjustment Policies (SAPs) zilipelekea wages kwenye civil service kuwa very uncompetitive kiasi cha kuanza kuleta madhara kiufanisi na kiutendaji – in the context of public service delivery. Changes took into account of the political, social and economic dimensions. Ntafafanua baadae.
Tukija kwenye posho za wabunge – hizi ni waheshimiwa wenyewe wamekuwa wakizipigania ili ziwawezeshe kuwa na ufanisi zaidi katika mazingira yao ya kazi.Uamuzi wa nyongeza haukuhitaji reforms zaidi ya maamuzi ya vikao vya watendaji wachache kupitia ofisi ya chief secretary. Mchakato wake ni tofauti kabisa na ule wa watumishi wa serikali na umekaa kisiasa zaidi.
Tukija kwenye posho vikao vya vyama vya siasa, hili ni suala la kichama zaidi na maamuzi juu ya posho hizi hayatokani na reforms zozote bali uamuzi wa watendaji wachache wa vyama husika na pia limekaa kisiasa zaidi.
Lakini inawia vigumu kuelewa kwanini makundi haya matatu ya posho yanachukuliwa kama yapo sawa, is it because the common denominator ni mlipa kodi? Kwa mtazamo wangu ambao unaweza kuwa finyu, ni makosa kuweka posho zote hizi katika kikapu kimoja kwani logic has it kwamba aina hizi tatu za posho zimepitia michakato tofauti, na tukichanganya maamuzi juu ya hatima zake, tunaweza jikuta katika madhara yasiyotarajiwa – as we might be in a brink of the collapse of the public service management system. Nitafafanua baadae.
Pengine nianze kwa kujadili theory of employee motivation and then bring the issue into practical experience. There is a general consensus kwamba performance of employees (PUBLIC OR PRIVATE) to a large extent depends on how they are compensated. Kuna counter arguments ambazo zinasema monetary rewards alone sio enough/can't act as a sole motivator for enticing public servants to maintain and improve their performance.
Such arguments attribute effectiveness of job performance as a function of other factors such as job satisfaction which stems from realization by an employee kwamba he/she is having other needs such as personal fulfillment i.e. self – actualization in ones work that can be fulfilled kupitia ajira. Kuna wengine wana argue pia kwamba mbali ya pay, work environment and supervision also influence performance ya mfanyakazi. Yote haya ni muhimu lakini the bottom line ni kwamba ‘pay' remains an essential element in satisfying basic needs for most employees. And this is particularly important kwa watumishi wa serikali in societies kama Tanzania where poverty is endemic and few people ever reach self-actualization zone.
I will pay less attention on whether posho is a motivator to productivity ya mtumishi wa serikali or not kwani nadhani it is more useful to address the consequences of low pay on behavior za watumishi wetu and how that might impact utendaji wa kazi pamoja ikiwa ni pamoja na huduma wanazozitoa kwa jamii.
Reforms za public sector in early 1990s zilitokana kutambua umuhimu wa theory on employee motivation. Given the precipitous decline ya ubora wa huduma za jamii in Tanzania, iligundulika haraka sana kwamba good-pay strongly determines performance, productivity and quality of public services offered, provided that supervision and work environment is right. Structural Adjustment Policies zilipelekea sekta ya utumishi kuwa uncompetitive compared to the private and NGO sectors in terms of recruiting and retaining talent needed to manage public sector.
Kipindi cha 1975 – 1985 kilishuhudia a sharp decline in real wages za watumishi wa serikali. By 1994, the year that marked the beginning of the reforms in civil service, real average pay in civil service was only slightly more than half of level ya mwaka 1969 (real – meaning wage adjusted to inflation). This level was among the lowest in Sub Saharan Africa (because of mfumo wa awali wa Ujamaa ambapo mishahara iliwekwa chini sana ili kutojenga matabaka katika jamii). It is only after 1994 when we saw substantial improvements on real average pay of civil servants. However, this improvement was misleading.
In Tanzania, basic salary ya mtumishi wa serikali kwa miaka yote imekuwa behind in terms of uhalisia wa gharama za maisha. Ndio maana hata argument kwamba posho zifutwe na mishahara iongezwe will hardly solve the problem. The rise in civil pay leo hii is partially explained by posho, sio the actual salary; otherwise salaries za watumishi wa serikali bado largely remain at a competitive disadvantage compared to private and NGO sector in terms of attracting, retaining and adequately motivating qualified professional and technical personnel. Ndio maana huduma za jamii bado duni.
Madhara ya kufuta posho za watumishi wa serikali ambao mishahara yao kwa sasa ni midogo ni nini?
Faida ya kuendelea kuwalipa posho watumishi wa serikali ni nini?
Nitazitaja chache:
Suluhu juu ya tatizo la ubadhirifu wa fedha za umma ipo mikononi mwenu. Ni wazi kwamba moja ya mikakati wa kila mwanasiasa wa leo ni kutafuta sympathy ya mlipa kodi, mwananchi mlalahoi. Lakini tusisahau kwamba suala la posho sio la kisiasa pekee bali kiuchumi na kijamii. Kutoliangalia suala la posho kwa watumishi wa serikali kwa uangalifu by mixing it na posho za wabunge na za vikao vya chama au kulijadili nje ya reforms zilizopelekea uwepo wake inaweza kutuletea madhara kuliko faida nchini.
Ebu tumweke huyo mwananchi mlipa kodi/maskini in the centre – tumjadili katika mazingira ya posho za watumishi wa serikali.
Takwimu zinatueleza ya kwamba asilimia 89 ya watanzania karibia milioni 45 wanaishi chini ya dollar 1 kwa siku – sawa na kuishi chini ya shillingi 1,500 kwa siku. Idadi hii inakaribia watanzania milioni 40 kati ya milioni 45 na ushee. Hawa ni watanzania ambao utafiti wa hivi karibuni wa REPOA umeonyesha kwamba hawaoni kama ni tatizo kulipa kodi na ikiwezekana kodi iongezeke ili mradi waone thamani ya kodi yao kupitia huduma bora za kijamii kama vile maji, elimu, umeme, afya na barabara.
Kwa maana hii, mtanzania hatakuwa na tatizo lolote kama posho za watumishi wa serikali zitaendelea kuwepo huku huduma za kijamii zikizidi kuboreshwa. Hivyo ndivyo jamii za wenzetu waliotutangulia kimaendeleo wanazidi kupaa. Njia kuu ya serikali ya kumhudumia mwananchi huyu na kumpunguzia maumivu ya maisha ni kwa kupitia utekelezaji wa ilani, sera na mikakati ya iliyopo ya maendeleo. Utekelezaji wa miradi yote hii unatokana na kodi anayolipa huyu mwananchi. Ndio maana kila mwaka katika bajeti, ni jukumu la serikali kumhakikishia mwananchi kwamba kodi yake inapangiwa matumizi yatakayomnufaisha.
Katika miaka ya hivi karibuni utekelezaji huu umekuwa ukipitia Mkakati wa Kutokomeza Umaskini na Kukuza Uchumi Tanzania yani – MKUKUTA, kupitia clusters zake kuu tatu. Kama sikosei, in the previous financial year, MKUKUTA ilitengewa around 5.8 trillion shillings. Zilizopatikana zilikuwa 3.6 trillioni, na kuacha deficit ya kama shillingi trillion 2.3. Sasa kama shortage hii ya trilioni 2.3 ndio inafanya mikakati ya kupunguza umaskini wa walipa kodi kulega lega, posho za watumishi wa serikali zikiondolewa kiholela zitasaidia au zitazidi kuleta matatizo? We suffer from income poverty kuliko chochote, now why make it worse?
Kwa mtazamo wangu, kuziondoa kama nilivyokwisha ainisha zitatuletea hasara zaidi ya faida katika kumaliza umaskini. Isitoshe, kama tulivyokwisha ona, mwananchi hana tatizo na kulipa kodi au kodi yake kutumika kulipia posho kama watendaji wa serikali watafanya kazi zao kwa ufanisi na kuwaletea maendeleo yanayofanania na thamani ya kodi yao. Tukiweza tatua tatizo la posho hewa na pia kupunguza idadi ya seminars ili zibakie zile zenye tija tu, nina uhakika kabisa gharama za posho katika bajeti zitapungua kwa kiasi kikubwa sana. Tunaweza kabisa kupunguza kiwango hiki kifikie around 25% of the total wage-bill and this level is very reasonable. Kiwango hiki kitaongeza ufanisi wa kazi za watumishi serikalini thereby kuchangia ubora wa huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Waheshimiwa wabunge, kuna upotevu mkubwa sana wa fedha kila mwaka, kiwango kikubwa sana kuliko posho za watumishi wa serikali. Tukiweza kuziba hizi revenue leakages ambazo nitazielezea punde, tuna uwezo wa kupelekea nchi yetu kuwa ya kiwango cha kati kiuchumi na kimaendeleo ndani ya miaka miaka 15 tu, bila hata ya kuwanyima watumishi wa serikali haki yao ya posho, as long as kiwango cha posho kisizidi 25% of the total wage-bill. Nchi kama India na wengine wengi wanajali sana posho za watumishi wao na hawathubutu kuzifuta bali ziongeza in manageable size kwa sababu wanaelewa umuhimu wake katika public sector management system. Tatizo letu watanzania ni kwamba, kila kitu tunaingiza siasa. Suala la posho kwa watumishi wa serikali is not only a political issue but also economic and social and any interventions have to take into account of these three spheres – social, economical and political.
Kama tunakubaliana kwamba MKUKUTA ni muhimu katika kutatua umaskini, tukiweza kuminimize posho to about 25% of the total wage bill kuna tatizo gani? Kama tulivyokwisha ona, in the MKUKUTA tupo behind by about shilingi 2.3 trilion. Kwanini wabunge wetu msielekeze nguvu zenu katika the obvious problem – revenue leakeages zilizopo? Kila mwaka we lose trillions of shillings za mapato kupitia a combination of tax exemptions, tax avoidance, low mining loyalties, illicit means and trade mispricing.
Based on available data, the government is forgoing over 2 trillion shillings a year in tax revenue exemptions and illicit trade means with foreign countries. Hii ina maana tukiamua kuziba revenue leakages kama hizi kwa mwaka mmoja tu, tunaweza kupata fedha za kutosha to fund deficit ya MKUKUTA ya 2.3 trillion shillings. Hii itapunguza mzigo mkubwa wa kodi kwa mwananchi kuzidi kulipia MKUKUTA kwani mtanzania is already over taxed, na kwa sasa hakuna further room ya kuongeza mapato kwa kumtoza kodi zaidi bila kumwongezea umaskini zaidi. Serikali inahitaji ubunifu mwingine wa mapato lakini tusiende mbali, solution ipo wazi – lets block this revenue leakage, sio kufuta posho za watumishi wetu wa serikali wenye hali duni.
Nampongeza Zitto kwa kuleta hoja hii na pia nampongeza January kwa kuiunga mkono na kuielezea vizuri katika context ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano ijayo. Kimsingi nakubaliana na hoja hii kwani inalenga kutujengea fiscal discipline. Lakini nina some reservations on how mjadala unavyoendelea pamoja na mikakati inayoelekea kufuatwa.
Sitazungumzia posho za wabunge na viongozi wa vyama vya siasa bali zile za watumishi wa serikali. Kufuta posho za watumishi wa serikali kiholela holela inaweza kutupelekea hasara zaidi ya faida. The way I see how suala zima linavyo unfold, I don't see it being sustainable na mjadala unapoteza mwelekeo. Pia kama hatutakuwa waangalifu, tunaweza face a collapse ya public sector management system.
Kwanza lilianza suala la posho za wabunge, baadae likaongezeka la watumishi wa umma na sasa hata vikao vya vyama vya siasa vimeingiliwa. Kimsingi nina wasiwasi na mjadala juu ya posho za watumishi wa serikali, especially baada ya mjadala kuchukua mkondo mpya ambapo posho za watumishi wa serikali, wabunge na wa vyama vya siasa zinachukuliwa kama ni tatizo moja. Hapa kuna tatizo kwani mfumo wa posho hizi haufanani kwahivyo solution zake haziwezi kuwa treated in a ‘one size fits all' fashion.
Suala la posho za wabunge na za vikao vyama vyama vya siasa ni rahisi kusema hata ukiwa usingizini kwamba zifutwe lakini sio suala la posho za watumishi wa serikali kwani unlike za wabunge (kwa hali yao ya kiuchumi leo hii) na vyama kwa sasa kuwa more of a political issue, suala juu ya posho za watumishi wa serikali is a political, economic and social issue Kwahiyo ufumbuzi wake uzingatie these spheres (political, social, economical) otherwise madhara yake yatakuwa si ya kisiasa tu bali kijamii na kiuchumi. Nitafafanua baadae.
Tukianza na posho za watumishi wa serikali, hizi zilishika kasi kutokana public sector reform programme in the early 1990s, a very expensive reform ambayo ililenga kutatua tatizo la a ‘near – collapse' of the public service management system. Structural Adjustment Policies (SAPs) zilipelekea wages kwenye civil service kuwa very uncompetitive kiasi cha kuanza kuleta madhara kiufanisi na kiutendaji – in the context of public service delivery. Changes took into account of the political, social and economic dimensions. Ntafafanua baadae.
Tukija kwenye posho za wabunge – hizi ni waheshimiwa wenyewe wamekuwa wakizipigania ili ziwawezeshe kuwa na ufanisi zaidi katika mazingira yao ya kazi.Uamuzi wa nyongeza haukuhitaji reforms zaidi ya maamuzi ya vikao vya watendaji wachache kupitia ofisi ya chief secretary. Mchakato wake ni tofauti kabisa na ule wa watumishi wa serikali na umekaa kisiasa zaidi.
Tukija kwenye posho vikao vya vyama vya siasa, hili ni suala la kichama zaidi na maamuzi juu ya posho hizi hayatokani na reforms zozote bali uamuzi wa watendaji wachache wa vyama husika na pia limekaa kisiasa zaidi.
Lakini inawia vigumu kuelewa kwanini makundi haya matatu ya posho yanachukuliwa kama yapo sawa, is it because the common denominator ni mlipa kodi? Kwa mtazamo wangu ambao unaweza kuwa finyu, ni makosa kuweka posho zote hizi katika kikapu kimoja kwani logic has it kwamba aina hizi tatu za posho zimepitia michakato tofauti, na tukichanganya maamuzi juu ya hatima zake, tunaweza jikuta katika madhara yasiyotarajiwa – as we might be in a brink of the collapse of the public service management system. Nitafafanua baadae.
Pengine nianze kwa kujadili theory of employee motivation and then bring the issue into practical experience. There is a general consensus kwamba performance of employees (PUBLIC OR PRIVATE) to a large extent depends on how they are compensated. Kuna counter arguments ambazo zinasema monetary rewards alone sio enough/can't act as a sole motivator for enticing public servants to maintain and improve their performance.
Such arguments attribute effectiveness of job performance as a function of other factors such as job satisfaction which stems from realization by an employee kwamba he/she is having other needs such as personal fulfillment i.e. self – actualization in ones work that can be fulfilled kupitia ajira. Kuna wengine wana argue pia kwamba mbali ya pay, work environment and supervision also influence performance ya mfanyakazi. Yote haya ni muhimu lakini the bottom line ni kwamba ‘pay' remains an essential element in satisfying basic needs for most employees. And this is particularly important kwa watumishi wa serikali in societies kama Tanzania where poverty is endemic and few people ever reach self-actualization zone.
I will pay less attention on whether posho is a motivator to productivity ya mtumishi wa serikali or not kwani nadhani it is more useful to address the consequences of low pay on behavior za watumishi wetu and how that might impact utendaji wa kazi pamoja ikiwa ni pamoja na huduma wanazozitoa kwa jamii.
Reforms za public sector in early 1990s zilitokana kutambua umuhimu wa theory on employee motivation. Given the precipitous decline ya ubora wa huduma za jamii in Tanzania, iligundulika haraka sana kwamba good-pay strongly determines performance, productivity and quality of public services offered, provided that supervision and work environment is right. Structural Adjustment Policies zilipelekea sekta ya utumishi kuwa uncompetitive compared to the private and NGO sectors in terms of recruiting and retaining talent needed to manage public sector.
Kipindi cha 1975 – 1985 kilishuhudia a sharp decline in real wages za watumishi wa serikali. By 1994, the year that marked the beginning of the reforms in civil service, real average pay in civil service was only slightly more than half of level ya mwaka 1969 (real – meaning wage adjusted to inflation). This level was among the lowest in Sub Saharan Africa (because of mfumo wa awali wa Ujamaa ambapo mishahara iliwekwa chini sana ili kutojenga matabaka katika jamii). It is only after 1994 when we saw substantial improvements on real average pay of civil servants. However, this improvement was misleading.
In Tanzania, basic salary ya mtumishi wa serikali kwa miaka yote imekuwa behind in terms of uhalisia wa gharama za maisha. Ndio maana hata argument kwamba posho zifutwe na mishahara iongezwe will hardly solve the problem. The rise in civil pay leo hii is partially explained by posho, sio the actual salary; otherwise salaries za watumishi wa serikali bado largely remain at a competitive disadvantage compared to private and NGO sector in terms of attracting, retaining and adequately motivating qualified professional and technical personnel. Ndio maana huduma za jamii bado duni.
Madhara ya kufuta posho za watumishi wa serikali ambao mishahara yao kwa sasa ni midogo ni nini?
- Reduced commitment ya watumishi to public service – their commitment is key to poverty alleviation. We faced this problem in early 1990s.
- Kupungua kwa uwezo wa government to attract, recruit and retain qualified, managerial, professional and technical personnel.
- Brains drain of current personnel - to self employment, private sector and NGO sector.
- Reduced efforts (by employees) leading to decline levels of performance & deterioration of services offered by watumishi wa serikali.
- Undermining of accountability & control mechanism.
- Work sharing - Prior to civil service reforms, ilikuwa jadi kwa watumishi wa serikali to engage into work-sharing whereby walikuwa wanakubaliana kuachiana kazi kwa zamu, kutoroka au kutofika kabisa kazini ili kwenda kujitafutia riziki;tatizo hili bado lipo ila limepungua sana due to reforms;
- Cost – Sharing – Rushwa ilizidi kwani ili mwananchi apate huduma, ilikuwa ni muhimu atoe chochote thus pay for service that was already being paid for kupitia kodi yake. Tatizo hili pia bado lipo ila sio kubwa kama miaka ile;
- Resource sharing – public resources, supplies and equipments were used for personal gain;
- Revenue sharing – mapato ya serikali mengi yalipotea kwani watumishi wengi walikuwa wanachota mapato. Hili pia bado lipo ila limepungua sana.
- How can we remove posho za public officials whose salaries are way below accepted levels and are irregularly paid?
- How can we get rid of posho hizi without disrupting the already under performing public management system?
Faida ya kuendelea kuwalipa posho watumishi wa serikali ni nini?
Nitazitaja chache:
- The bottom-line remains kwamba civil servants wanahitaji kuhudhuria seminar mbali mbali za kuwaongezea ufanisi e.g. zile za capacity building zinazo develop skills and expertise, ili mradi ziwe na tija; watumishi hawa ambao wengi wao tayari wapo under-paid cannot reasonably be expected kujilipia out of their pockets usafiri, chakula, malazi. Posho zao ni justified and it is part of any fair compensation system that empowers them to fulfill the requirements of their jobs. So given the importance of such seminars, they should be motivated to continue attend such seminars ila zipunguzwe, na ziwe na tija, sio kuzifuta.
- Public sector has underpaid but qualified staff (especially experience wise); na tusisahau kwamba posho nyingi zinapitia Donor Funded Projects ambazo zinaingia katika bajeti zetu kila mwaka; donors wanatusaidia sana to bring civil servants a considerable amount of income, develop their careers and provide them with further incentives to stay in public service where we urgently need them.
- Isitoshe, posho hizi zina multiplier effect katika uchumi kwani ndizo zinatufanya tujidai kwamba tuna watumishi wachapa kazi hata kama basic salary zao ni za chini; pia zinachangia ongezeko la pato la Taifa (GDP) kwani personal income adds up to the GDP; pia zinasaidia kupunguza idadi ya watu living under the national poverty line na kwa kiasi kikubwa sana zina circulate humu humu nchini and lots of it is remitted vijijini kusaidia ndugu zao kukabili maisha – most of it hazitoki nje ya nchi.
- Figures za posho kwenye bajeti zinatutisha kwa sababu kiasi kikubwa cha hizi posho ni hewa; tatizo la posho hewa lisitufanye tuje na uamuzi wa kuzifuta kirahisi rahisi. Mzigo wa posho kuwa kubwa unachangiwa sana na presence of fake seminars/workshops, falsified attendance list, inflated entitlements and payments below what is reported and budgeted. Ni muhimu zaidi kuziba mianya hii kuliko kufuta posho hizi. Inakadiriwa kwamba posho katika bajeti yetu ni karibia nusu ya total wage-bill. Ukiangalia haraka haraka inatisha lakini tukiziba mianya ya leakages, gharama itakuwa ndogo na tutafanikiwa kwa kiasi kikubwa kubaki na posho zenye tija kwa mlipa kodi in terms of watumishi kujituma kutoa huduma za kijamii.
- High ranking officials wa serikali should stop hijacking opportunities za seminars makazini. Mara nyingi wao ndio huchukua nafasi hizo, wanalipwa na mara nyingine they don't even attend, na kwa sababu ni wakubwa, hakuna wa kuwauliza attendance; hizi seminar ni muhimu zaidi kwa lower level civil servants kwani inawapa nafasi to develop their skills, improve their performance thereby improve public service delivery. Na since ni watumishi wa ngazi za chini, ni rahisi kuwafuatilia in terms of attendance.
Suluhu juu ya tatizo la ubadhirifu wa fedha za umma ipo mikononi mwenu. Ni wazi kwamba moja ya mikakati wa kila mwanasiasa wa leo ni kutafuta sympathy ya mlipa kodi, mwananchi mlalahoi. Lakini tusisahau kwamba suala la posho sio la kisiasa pekee bali kiuchumi na kijamii. Kutoliangalia suala la posho kwa watumishi wa serikali kwa uangalifu by mixing it na posho za wabunge na za vikao vya chama au kulijadili nje ya reforms zilizopelekea uwepo wake inaweza kutuletea madhara kuliko faida nchini.
Ebu tumweke huyo mwananchi mlipa kodi/maskini in the centre – tumjadili katika mazingira ya posho za watumishi wa serikali.
Takwimu zinatueleza ya kwamba asilimia 89 ya watanzania karibia milioni 45 wanaishi chini ya dollar 1 kwa siku – sawa na kuishi chini ya shillingi 1,500 kwa siku. Idadi hii inakaribia watanzania milioni 40 kati ya milioni 45 na ushee. Hawa ni watanzania ambao utafiti wa hivi karibuni wa REPOA umeonyesha kwamba hawaoni kama ni tatizo kulipa kodi na ikiwezekana kodi iongezeke ili mradi waone thamani ya kodi yao kupitia huduma bora za kijamii kama vile maji, elimu, umeme, afya na barabara.
Kwa maana hii, mtanzania hatakuwa na tatizo lolote kama posho za watumishi wa serikali zitaendelea kuwepo huku huduma za kijamii zikizidi kuboreshwa. Hivyo ndivyo jamii za wenzetu waliotutangulia kimaendeleo wanazidi kupaa. Njia kuu ya serikali ya kumhudumia mwananchi huyu na kumpunguzia maumivu ya maisha ni kwa kupitia utekelezaji wa ilani, sera na mikakati ya iliyopo ya maendeleo. Utekelezaji wa miradi yote hii unatokana na kodi anayolipa huyu mwananchi. Ndio maana kila mwaka katika bajeti, ni jukumu la serikali kumhakikishia mwananchi kwamba kodi yake inapangiwa matumizi yatakayomnufaisha.
Katika miaka ya hivi karibuni utekelezaji huu umekuwa ukipitia Mkakati wa Kutokomeza Umaskini na Kukuza Uchumi Tanzania yani – MKUKUTA, kupitia clusters zake kuu tatu. Kama sikosei, in the previous financial year, MKUKUTA ilitengewa around 5.8 trillion shillings. Zilizopatikana zilikuwa 3.6 trillioni, na kuacha deficit ya kama shillingi trillion 2.3. Sasa kama shortage hii ya trilioni 2.3 ndio inafanya mikakati ya kupunguza umaskini wa walipa kodi kulega lega, posho za watumishi wa serikali zikiondolewa kiholela zitasaidia au zitazidi kuleta matatizo? We suffer from income poverty kuliko chochote, now why make it worse?
Kwa mtazamo wangu, kuziondoa kama nilivyokwisha ainisha zitatuletea hasara zaidi ya faida katika kumaliza umaskini. Isitoshe, kama tulivyokwisha ona, mwananchi hana tatizo na kulipa kodi au kodi yake kutumika kulipia posho kama watendaji wa serikali watafanya kazi zao kwa ufanisi na kuwaletea maendeleo yanayofanania na thamani ya kodi yao. Tukiweza tatua tatizo la posho hewa na pia kupunguza idadi ya seminars ili zibakie zile zenye tija tu, nina uhakika kabisa gharama za posho katika bajeti zitapungua kwa kiasi kikubwa sana. Tunaweza kabisa kupunguza kiwango hiki kifikie around 25% of the total wage-bill and this level is very reasonable. Kiwango hiki kitaongeza ufanisi wa kazi za watumishi serikalini thereby kuchangia ubora wa huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Waheshimiwa wabunge, kuna upotevu mkubwa sana wa fedha kila mwaka, kiwango kikubwa sana kuliko posho za watumishi wa serikali. Tukiweza kuziba hizi revenue leakages ambazo nitazielezea punde, tuna uwezo wa kupelekea nchi yetu kuwa ya kiwango cha kati kiuchumi na kimaendeleo ndani ya miaka miaka 15 tu, bila hata ya kuwanyima watumishi wa serikali haki yao ya posho, as long as kiwango cha posho kisizidi 25% of the total wage-bill. Nchi kama India na wengine wengi wanajali sana posho za watumishi wao na hawathubutu kuzifuta bali ziongeza in manageable size kwa sababu wanaelewa umuhimu wake katika public sector management system. Tatizo letu watanzania ni kwamba, kila kitu tunaingiza siasa. Suala la posho kwa watumishi wa serikali is not only a political issue but also economic and social and any interventions have to take into account of these three spheres – social, economical and political.
Kama tunakubaliana kwamba MKUKUTA ni muhimu katika kutatua umaskini, tukiweza kuminimize posho to about 25% of the total wage bill kuna tatizo gani? Kama tulivyokwisha ona, in the MKUKUTA tupo behind by about shilingi 2.3 trilion. Kwanini wabunge wetu msielekeze nguvu zenu katika the obvious problem – revenue leakeages zilizopo? Kila mwaka we lose trillions of shillings za mapato kupitia a combination of tax exemptions, tax avoidance, low mining loyalties, illicit means and trade mispricing.
Based on available data, the government is forgoing over 2 trillion shillings a year in tax revenue exemptions and illicit trade means with foreign countries. Hii ina maana tukiamua kuziba revenue leakages kama hizi kwa mwaka mmoja tu, tunaweza kupata fedha za kutosha to fund deficit ya MKUKUTA ya 2.3 trillion shillings. Hii itapunguza mzigo mkubwa wa kodi kwa mwananchi kuzidi kulipia MKUKUTA kwani mtanzania is already over taxed, na kwa sasa hakuna further room ya kuongeza mapato kwa kumtoza kodi zaidi bila kumwongezea umaskini zaidi. Serikali inahitaji ubunifu mwingine wa mapato lakini tusiende mbali, solution ipo wazi – lets block this revenue leakage, sio kufuta posho za watumishi wetu wa serikali wenye hali duni.
- According to TRA, ndani ya miezi tisa tu (July 2008 to April 2009), serikali ilipoteza billion 587 shillings just from tax exemptions. In 2008 alone, the government lost 1.8 trillion shillings just from exemptions. Hii ni zaidi ya mara tatu ya bajeti yetu mwaka huu ya elimu au afya.
- More is lost to mining companies; Tume ya Bomani ilitueleza kwamba in 2006-2007 alone, tulipoteza 40 billion shillings; in 2007-2008 tulipoteza 59 billion shillings as a result of fuel exemptions granted to six major mining companies in Tanzania.
- Independent auditors also reported tax evasion by mining companies that undervalued their profits whereby we lost 171 billion shillings between 1998 – 2003 only; na cha kusikitisha, suala la kodi sekta ya madini bado limeachwa katika bajeti yetu ya 2011-2011. Mheshimiwa Zitto alilivalia sana njuga ila hatujui tumefikia wapi leo.
- According to international trade statistics, we lost approximately 54 billion shillings just between 2005 – 2007 due to illicit means and trade mispricing of Tanzania products sold to foreign countries; the figures are just for EU, UK and USA; nchi kubwa kibiashara na Tanzania za China, India na South Africa hapa hazijahesabiwa and we lose trillions huko because of loopholes;
- We lose billions of shillings kila mwaka from bad contracts in mining, fishing, forestry and tourism.
- Waheshimiwa wabunge, tujikite less katika kufuta posho za watumishi wa serikali, badala yake tusaidieni kuzijengea mazingira ziwe na tija kwa mlipa kodi. Tusaidieni to strengthen the link between tax payment and public service delivery bila kuvuruga posho za watumishi wa serikali ambao they are already underpaid. Kwani kama tulivyokwisha ona according to a recent study by REPOA, majority of Tanzanians hawana tatizo na kulipa kodi na wapo tayari hata ziongezwe kama wataona faida yake in terms of huduma za kijamii. Tax revenues and services benefits should reciprocate or be connected so as to build trust among tax payers; building trust kupitia kufuta posho za watumishi wa serikali will build trust but not in a sustainable fashion;
- Wabunge mngetusaidia to enact a legislation that curbs mispricing done by wafanyabiashara wakubwa na pia Multinationals; We should demand transparency and accountability on part of Multinational Companies doing business in Tanzania; companies law ziboreshwe ili ziwabane vizuri juu ya reporting of their finances;
- Pia tusaidieni to enact laws ambazo hapo baadae zitatusaidia nchi iwe refunded from mispricing and bad contracts zinazofanywa na Multinationals;
- Vile vile tusadieni kuzibana nchi tajiri ziruhusu mfumo wa automatic flow of information za banking operations of individuals and companies toka nchi tajiri operating in Tanzania. Mfano all interest paid au malipo yote yanayofanywa kwenye bank accounts za individuals and companies zilizopo nje ya Tanzania kutokana na business operations registered kwenye ardhi yetu ya Tanzania ziwekwe wazi kwa serikali yetu na mataifa ya nje ili tujue chetu ni ngapi. Marekani wana mikataba na nchi kadhaa kuripoti haya, kwanini sisi tushindwe? Leo hii ukipata nafasi ya kuziona fedha zinazohamishwa toka Tanzania na matawi ya benki kama citigroup kwenda nje utashangaa. Jiulize, citigroup ina matawi mangapi Tanzania? Hayazidi mawili. Kwanini? Walikuja kukuza banking sector Tanzania au wana lao jambo?