Zitto na CCM kunani? iweje gazeti la UHURU leo Heading iwe ya kiongozi wa CHADEMA?

Tangu lin Uhuru akawa na ushirika na CDM?Waandike mazur ya cdm kwel?Kaa tafakar na uchukue hatua.
 
Kweli nimeamini zitto ni tishio,na ni jembe la ukweli,maana asingewasghulisha hivi kila kukicha thread zake,mnajua ana madhara ndio sababu povu halikauki!

Kwa maelezo yako, na wewe ni miongoni mwa wapinga haki, usawa na uhuru wa kweli wa mtanzania.
 
anaeharisha tena anatishia kujamba wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mwacheni ajambe ajinyeeeeeeeeeeeeee
 
Gazeti la uhuru wanafanya propaganda ,lengo likiwa kumfanya Zitto ajione yeye ni noma kisha baadae wampoteze. Ajenda nyingine imejificha lakini nadhani ni kuwahadaa wanachi.

Nakumbuka wakati wa uzinduzi wa kampeni za uraisi 2010, Katibu mkuu wa CCM Makamba aliwahi tumia propaganda ya kudai kua, Mgombea wanaemuogopa katika urais ni Lipumba wakati kiukweli walikua wanamuogopa Slaa na aliwakimbiza sana.

Ielewe propaganda na isikuathili negatively.
 
.inavyo oneka kunawatu wameingiziwa kichwani kua dk slaa pekee anatakiwa kugombea uraisi si mwingineZITO PIA NI HAKIYAK
 
Zitto, unajidanganya na unadanganyika, zile kelele za jana bungeni kukuunga mkono kwa tamko lako la kusema unauwezo wa kuwa Rais wa Tz, zilikuwa ni za wanafiki wa Ccm. Wewe kama unataka kujipima chukua form ya kugombea 2015 ili upambane na Dr Slaa utatambua kuwa wewe una nafasi gani kisiasa. Utatupwa mbali sana, na ubunge utausikia kwa jirani zako. Usipime kina cha maji ya bahari kwa mguu utazama jumla.

Anadanganywa na wana ccm au mamuluki wasio hata na kadi ya chama uko Facebook wanaokupigia makofi na miluzi sio wote wanakushangilia winging wanakuzomea mjomba angalia upepo Kabwe unitumie Unaweza kuupata urais lakini sio mapema ivi subiri mpaka 2025 kwa sasa jijenge kisiasa na jenga familia kwanza @ Kabwe
 
Mie nadhani Zito anajiharibia kwa kuanza kuzungumzia urais wakati huu ambapo bado miaka 3. Mwalimu nyerere alisema mtu anayekimbilia ikulu tumwogope kama ukoma.

Zito anataka tuanze kumwogopa kama ukoma. Hatuhitaji tena rais mpenda masifa kama aliyepo tusije tukalia baadaye. Tunataka mtu mwenye dhamira njema ya kuitoa hii nchi kutoka kwenye umasikini.

Mtu aliye serious katika kazi sio maneno maneno na kujipigia debe.
 
Kweli nimeamini zitto ni tishio,na ni jembe la ukweli,maana asingewasghulisha hivi kila kukicha thread zake,mnajua ana madhara ndio sababu povu halikauki!
Ni tishio kwenu ninyi mnaoamini kwamba kwa kumtumia huyo mtaweza kuisambalatisha cdm. poleni tena poleni sana maana mtakaa sana kusubiri mkono wa bindamu (kama fisi) udondoke muutafune kumbe hayo ndio maumbile yake
Halafu watu kama Zitto, Shibuda na hao wengine ambao tunaendelea kubaini nyendo zao, wanapofanya hayo mliowatuma sisi tunawaona kama ze comedy na wala hawatuzuii kuendelea mikakati yetu ya M4C. TZ lazima tuikomboe 2015
 
Zitto ni mpumbavu, cdm wakimpitisha nitampigia kura hata DOVUTWA nijue moja kuwa nimelamba galasa
 
Last edited by a moderator:
Zitto, asibezwe kama anataka Urais wananchi wataamua wenyewe, tusiwasemee.
CDM ni chama makini, kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni. Sasa unapoona ndani ya chama mtu anaamua kukengeuka kwa makusudi kwa kuacha kufuata utaratibu tuliojiwekea, ujue anajimaliza mwenyewe.
 
acheni maneno mengi watanzania kama mwaona zitto anatumiwa na ccm then kwanini na wewe usitangaze nia ili tukuone wewe utakavyo ongoza nchi hii.

maneno mengi sana watanzania kuzidi vitendo ndio maana tumekuwa sehemu za majaribio.
 
Mbona mnamuandama huyu Zitto kawakosea nini? Yeye kadai anasifa ya kuwa rais sasa tatizo nini? Mbona watanzania wengi wana sifa ya kuwa rais cha ajabu nini? Au kwasababu yupo CDM? Acheni ubaguzi wenu wakikanda. Watanzania wanataka rais ajae aendane na walio wengi ambao ni sisi Vijana. Hivi vibabu hazina jipya wala nafasi tena mawazo yao ni yale yale iwe anatoka CCM au CDM wao wanawaza tu mazishi ya heshima sisi vijana tunawaza maisha bora.
 
Zitto, unajidanganya na unadanganyika, zile kelele za jana bungeni kukuunga mkono kwa tamko lako la kusema unauwezo wa kuwa Rais wa Tz, zilikuwa ni za wanafiki wa Ccm. Wewe kama unataka kujipima chukua form ya kugombea 2015 ili upambane na Dr Slaa utatambua kuwa wewe una nafasi gani kisiasa. Utatupwa mbali sana, na ubunge utausikia kwa jirani zako. Usipime kina cha maji ya bahari kwa mguu utazama jumla.

Tunajenga nyumba moja, ya nini kugombania fito? Si ni suala la kikatiba tu la chama husika na maamuzi ya wanachama? Kuna haja gani kuanza kupambanishana mapema hivi. Ninchoamini kila mmoja kati ya hao ana karama yake ya uongozi tofauti na mwenzake, wakati ukifika kila mmoja atajipambanua kupitia kampeni katika mchakato wa kutafuta candidate, lakini hizi shuku zako za sasa, zinapiga kengele.
 
CDM ni chama makini, kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni. Sasa unapoona ndani ya chama mtu anaamua kukengeuka kwa makusudi kwa kuacha kufuata utaratibu tuliojiwekea, ujue anajimaliza mwenyewe.

Jina la Chama linajipambanua kwamba ni cha DEMOKRASIA na Maendeleo, unataka kutuaminisha kwamba demokrasia ya cdm inakataza mtu kueleza uwezo wake juu ya jambo fulani hata anapotupiwa maswali ya kizushi na waandishi wa habari! Kwa kujibu maswali hayo anakengeuka kanuni na taratibu! Kama ni hivyo mkome kujiita chama cha demokrasia, kwa sababu mnabinya uhuru wa mawazo.
 
Jamanieeerrr Hilo suala lifungwe rasmi, ni mtego huu tuendelee kujadiliana masuala yanayohusu taifa letu tuachane kabisa na uroho wa madaraka ww viongozi wetu.
 
Hapa naunganisha dots za mwenendo wa Zitto na Kafulila juu ya kutumika na CCM katika kivivuluga vyama vya upinzani nchini.

Kusema mweli leo nimeshangaa kuona heading kubwaaaa kwenye gazeti la UHURU ikisema Zitto azilipua kampuni za simu wakati nikishazoe ZITTO aichachafya CDM au Zitto awashushua viongozi wa CDM ataka usawa. Lakini leo kama vile ni kiongozi wa ccm anapewa front coverage imenifanya nianze kuunganisha vitu na mfululizo wa habari za Zitto na magazeti

Ni lini Zitto aliacha kuwa kiongozi CHADEMA?
 
Back
Top Bottom