Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Tanzania Mwaka 2015, wastani wa Pato la kila Mtanzania ilikuwa US $1060. Ili kuingia Uchumi wa kati chini kabisa Pato ni $1090. Kwa mujibu wa Mpango wa Maendeleo ya Taifa lengo ni kufika Pato la US $3,000 ifikapo 2025. Hatufikia hata nusu ya lengo.
Sherehe za nini?
Sherehe za nini?