Joel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 1,030
- 558
mimi nafikiri viongozi wqa dini ndio watu ambo wapo karibu zaidi na wananchi, hivyo ningeona kuwa wao ndio wangekuwa wa kwanza kabisa kuwaambia wananchi na serikali kuwa hapa sio sahihi, hiki sio sahihi.
\kwa sababu hata hao viongozi wa kiserikali wana dini zao na wanakutana na hao viongozi wa dini kwa hiyo wao ndio wanabidi wakemee viongozi waovu
\kwa sababu hata hao viongozi wa kiserikali wana dini zao na wanakutana na hao viongozi wa dini kwa hiyo wao ndio wanabidi wakemee viongozi waovu