Zitto: Mradi wa Kabanga Nickel ni Mradi wa Barrick uliofichwa kupitia kampuni ya LZ Nickel ya Uingereza

Halafu unaambiwa kuna timu ya wasomi imeundwa kujadiliana na wachina kuhusu bandari ya bagamoyo! Qumamae zao.
 
Huu ni uongo serikali ya Magufuli haiwezi kukosea kwenye issue za mikataba. Ova. Nimemaliza. Labda kama kuna kitu mnakiandaa.
 
Hii nchi ina mambooo,

Mkataba wa bagamoyo tuliambiwa tumepigwaa

Sasa huu wa madini nao ZZK anasema tumepigwa
Zitto Kabwe anawatafuta Barrick kwa udi na uvumba kiubaya .Hajaanza leo yeye na Tundu Lisu

Walikuwa wakihongwa hela sana na ACACIA management company iliyokuwa ikituibia watanzania na ikiwaibia Barrick.Ndio maana serikali ikasema mazungumzo tutafanya wawili tunaoibiwa na ACACIA yaani Barrick na Serikali ya Tanzania .Vibaka Hawa wawili Zitto Kabwe na yule Kibaka aliyeko ubelgiji Tundu Lisu waliokuwa wakiiba kwa kuhongwa na ACACIA wakatutishia kuwa ohh tutapelekwa MIGA!!! Serikali ikakomaa .Zitto hela nyingi alizipatia ACACIA ana hasira za kukosa ulaji Hadi leo.Alikuwa akibweka tu ACACIA wanamwaga pesa kwao .Barrick Ni kidume hatisiki na hababaishwi na wabwekakaji wawinda Rushwa Kama Zitto Kabwe

Pili kuhusu serikali kunyanganya leseni za vitalu yeye mwenyewe Zitto Kabwe Ni mhanga .Alinunua vitalu vya kuchimba gesi mikoa ya kusini akapewa kwa uzoefu gani wa kuchimba gesi alionao Hadi akapewa amiliki? Maana kwenye andiko lake anasema kampuni eti wamepewa hawana uzoefu yeye anao? Vitalu vya gesi mtwara alipewa akiwa na uzoefu upi kwenye mambo ya gesi? Kipindi kile Cha ufisadi?

Pili anasema kunyanganywa leseni Ni uporaji.Sasa wewe umechukua kitalu Cha gesi uzoefu wa kuchimba huna na mtaji huna unakaa na leseni unakaa na leseni ya kitalu Cha gesi Kama dalali unavizia siku atokee mtu umuuzie umpige.Serikali inatwaa mashamba yasoyoendelezwa sembuse leseni za vitalu vya gesi na madini ambavyo wenyewe wamekaa tu miaka hawaendelezi? Kama shamba la watu Kama akina Sumaye yanachukuliwa na serikali kwa kutoendelezwa sembuse kitalu Cha gesi anachomiliki Zitto Kabwe asichokiendeleza?

Kingine kasema hisa zisajiliwe soko la hisa la Tanzania . Hili soko dhaifu la Tanzania ? Ushauri wangu kama watanzania tunataka kumiliki utajiri wa kimataifa kampuni kubwa za kimataifa turuhusiwe kununua na kuuza hisa masoko ya kimataifa .Bunge lipiganie Hilo badala ya hutu tusheria local twa ohh lazima uuze hisa ndani haya Vodacom kampuni ya kimataifa wameuza hisa ndani Nini Cha maana wanahisa wamefaidi? Umaskini mtupu
Lakini tungenunua hisa za kampuni mama Kimataifa kule Kuna wanahisa dunia nzima biashara kule ipo ya hisa ya kutosha
 
kama wazungu wametuzidi maarifa Kwenye mkataba kwa mara nyingine tuanze upya mechi
si kwamba wametuzd maarifa kwe mikataba, ni tamaa tu za baadhi ya watu kutaka kujinufaisha na ndo hapo wageni wanapata mianya ya kuweka demands zao za ajabu ajabu
 
Niliwai sema ufisadi Tanzania ni nadharia zinazotengenezwa na wanasiasa kwa maslahi ya kisiasa! Hakuna jipya
Una hoja

Mfano Chadema waliimba sana kuwa Lowasa fisad ghafla akahamia kwao wakampa ugombea uraisi kabisa

Upinzani nchi hii Ni matapeli. Bora tu CCM hata kura tuibe tukisubiri labda miaka ya mbele Mungu atajalia wapatikane wapinzani wa kweli sio Hawa wachumia tumbo Ndipo tuwakabidhi nchi.Akitokea mpinzani wa kueleweka na mwenye moral authority CCM hata kesho tunawakabidhi nchi lakini kwa Hawa waliopo mimi niko.tayari hata kupora sanduku la kura na kutokomea nalo gizani kituo walichoshinda looo

Hawa waliopo hamna kitu ni njaa tu
 
Hoja zake zinamashiko. Moja ya masharti ya uwekezaji huwa ni kampuni inayowekeza kununua kiasi fulani cha mahitaji yake locally. Sasa kama hiyo migodi hata umeme wazalisha wa kwao ni bidhaa gani wananunua Tanzania? Na utashangaa kampuni waliyoipa tenda ya kuzalisha umeme au kuwaletea mafuta ni ya kigeni.

Tuamke kiakili.
 
Zitto Kabwe anawatafuta Barrick kwa udi na uvumba kiubaya .Hajaanza leo yeye na Tundu Lisu

Walikuwa wakihongwa hela sana na ACACIA management company iliyokuwa ikituibia watanzania na ikiwaibia Barrick.Ndio maana serikali ikasema mazungumzo tutafanya wawili tunaoibiwa na ACACIA yaani Barrick na Serikali ya Tanzania .Vibaka Hawa wawili Zitto Kabwe na yule Kibaka aliyeko ubelgiji Tundu Lisu waliokuwa wakiiba kwa kuhongwa na ACACIA wakatutishia kuwa ohh tutapelekwa MIGA!!! Serikali ikakomaa .Zitto hela nyingi alizipatia ACACIA ana hasira za kukosa ulaji Hadi leo.Alikuwa akibweka tu ACACIA wanamwaga pesa kwao .Barrick Ni kidume hatisiki na hababaishwi na wabwekakaji wawinda Rushwa Kama Zitto Kabwe

Pili kuhusu serikali kunyanganya leseni za vitalu yeye mwenyewe Zitto Kabwe Ni mhanga .Alinunua vitalu vya kuchimba gesi mikoa ya kusini akapewa kwa uzoefu gani wa kuchimba gesi alionao Hadi akapewa amiliki? Maana kwenye andiko lake anasema kampuni eti wamepewa hawana uzoefu yeye anao? Vitalu vya gesi mtwara alipewa akiwa na uzoefu upi kwenye mambo ya gesi? Kipindi kile Cha ufisadi?

Pili anasema kunyanganywa leseni Ni uporaji.Sasa wewe umechukua kitalu Cha gesi uzoefu wa kuchimba huna na mtaji huna unakaa na leseni unakaa na leseni ya kitalu Cha gesi Kama dalali unavizia siku atokee mtu umuuzie umpige.Serikali inatwaa mashamba yasoyoendelezwa sembuse leseni za vitalu vya gesi na madini ambavyo wenyewe wamekaa tu miaka hawaendelezi? Kama shamba la watu Kama akina Sumaye yanachukuliwa na serikali kwa kutoendelezwa sembuse kitalu Cha gesi anachomiliki Zitto Kabwe asichokiendeleza?

Kingine kasema hisa zisajiliwe soko la hisa la Tanzania . Hili soko dhaifu la Tanzania ? Ushauri wangu kama watanzania tunataka kumiliki utajiri wa kimataifa kampuni kubwa za kimataifa turuhusiwe kununua na kuuza hisa masoko ya kimataifa .Bunge lipiganie Hilo badala ya hutu tusheria local twa ohh lazima uuze hisa ndani haya Vodacom kampuni ya kimataifa wameuza hisa ndani Nini Cha maana wanahisa wamefaidi? Umaskini mtupu
Lakini tungenunua hisa za kampuni mama Kimataifa kule Kuna wanahisa dunia nzima biashara kule ipo ya hisa ya kutosha
Naona hapa ulitakiwa na wewe uanzishe thread yako kucover hoja zako sio kuraise personal attacks kwa Zitto kuna mambo muhimu yanahitaji majibu katika uzi huu wa Zitto wanasiasa wana issues mbali mbali lakini lazima tuyapime wanayoyaleta kwetu kwa makando kando yao anzisha thread yako na wewe , wengi wanakuwa na reliable sources za technocrats wenye uchungu na nchi lakini hawana platforms au wanaogopa kurisk maisha yao na kazi zao.
 
Kuna shida gani kama Barrick anamiliki iyo Kampuni?

Zitto ni mfutini na mtu aliyejaa chuki tu anayetumika kwa maslahi binafsi!

Nilikuwa natofautiana na Magufuli kwenye maeneo mengi hasa Nepotism na Ukiukwaji wa haki za Binadamu ila kwenye suala la Madini namuunga mkono Magufuli!


Zitto ni muhuni anayetumika na watu wahuni kwa maslahi yao!

Anasema mikataba isifanywe na GNT wakati GNT ni timu yenye wataalam wa mambo yote kuhusu mikataba ikiwemo Sheria, uchumi, kodi n.k

Anasema tume wa Madini ndo wasimamie mikataba hao tume ya madini wana uwelewa juu ya masuala ya Sheria? Mikataba? Kodi na Uchumi?


Kwa kifupi kwenye hili simuungi mkono zitto! Ndo aliyemshauri Magufuli kufukuza kampuni za kununua korosho LINDI na Mtwara alafu baadae akaja kumlalamikia kuwa serikali imeingilia kati soko la korosho Lindi na Mtwara!

Zitto ni muhuni tu!
Sasa unamshambulia Zitto binafsi badala ya hoja yake.
Ina maana unakubaliana na mikataba ya gizani?
 
lakini Serikali ikawapa mradi uliotafitiwa kwa dola za kimarekani milioni 250, kwa maana hiyo tumewafanyia utafiti bure.

Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo.
Zitto ana point kwenye hili.
Lakini feasibility iliyofanyika kwenye huu mgodi wa dola milioni 250. Hapa anatulisha matango pori. Ni pesa nyingi sana. Labda hii feasibility ni maeneo mengi lakini yeye anataka kutuaminisha kama ni huu mgodi mmoja!
 
Halafu hii tabia ya kila awamu mpya inataka kupitia mikataba ya madini sio nzuri nzuri. Ina discourage wawezekaji wa nje na pia wakija wanakuja na mtazamo wa kurudisha mtaji wao na kupata faida kwa muda mfupi kabla ya awamu nyingine!! Hii inawafanya kutafuta njia za mkato!!
 
Zitto Kabwe anawatafuta Barrick kwa udi na uvumba kiubaya .Hajaanza leo yeye na Tundu Lisu

Walikuwa wakihongwa hela sana na ACACIA management company iliyokuwa ikituibia watanzania na ikiwaibia Barrick.Ndio maana serikali ikasema mazungumzo tutafanya wawili tunaoibiwa na ACACIA yaani Barrick na Serikali ya Tanzania .Vibaka Hawa wawili Zitto Kabwe na yule Kibaka aliyeko ubelgiji Tundu Lisu waliokuwa wakiiba kwa kuhongwa na ACACIA wakatutishia kuwa ohh tutapelekwa MIGA!!! Serikali ikakomaa .Zitto hela nyingi alizipatia ACACIA ana hasira za kukosa ulaji Hadi leo.Alikuwa akibweka tu ACACIA wanamwaga pesa kwao .Barrick Ni kidume hatisiki na hababaishwi na wabwekakaji wawinda Rushwa Kama Zitto Kabwe

Pili kuhusu serikali kunyanganya leseni za vitalu yeye mwenyewe Zitto Kabwe Ni mhanga .Alinunua vitalu vya kuchimba gesi mikoa ya kusini akapewa kwa uzoefu gani wa kuchimba gesi alionao Hadi akapewa amiliki? Maana kwenye andiko lake anasema kampuni eti wamepewa hawana uzoefu yeye anao? Vitalu vya gesi mtwara alipewa akiwa na uzoefu upi kwenye mambo ya gesi? Kipindi kile Cha ufisadi?

Pili anasema kunyanganywa leseni Ni uporaji.Sasa wewe umechukua kitalu Cha gesi uzoefu wa kuchimba huna na mtaji huna unakaa na leseni unakaa na leseni ya kitalu Cha gesi Kama dalali unavizia siku atokee mtu umuuzie umpige.Serikali inatwaa mashamba yasoyoendelezwa sembuse leseni za vitalu vya gesi na madini ambavyo wenyewe wamekaa tu miaka hawaendelezi? Kama shamba la watu Kama akina Sumaye yanachukuliwa na serikali kwa kutoendelezwa sembuse kitalu Cha gesi anachomiliki Zitto Kabwe asichokiendeleza?

Kingine kasema hisa zisajiliwe soko la hisa la Tanzania . Hili soko dhaifu la Tanzania ? Ushauri wangu kama watanzania tunataka kumiliki utajiri wa kimataifa kampuni kubwa za kimataifa turuhusiwe kununua na kuuza hisa masoko ya kimataifa .Bunge lipiganie Hilo badala ya hutu tusheria local twa ohh lazima uuze hisa ndani haya Vodacom kampuni ya kimataifa wameuza hisa ndani Nini Cha maana wanahisa wamefaidi? Umaskini mtupu
Lakini tungenunua hisa za kampuni mama Kimataifa kule Kuna wanahisa dunia nzima biashara kule ipo ya hisa ya kutosha
Acha upotoshaji , zitto kabwe anapatia wapi hela za kumiliki vitalu vya Gesi??
 
Ny**koooooo zake!
Anatafuta kuitiwa bahasha, atulie, RUSHWA NI ADUI WA HAKI.😂😅😆

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Ayatollah Zitto talking with both ends of his mouth. Why!?


Msitegemee kwamba nitaikosoa serikali ya Samia - Zitto Kabwe
 
August unaleta siasa.
A company is an individual entity, Nikimiliki kampuni mbili X, na Y kila moja inajitegemea japo zote zangu
Ni mchezo uleule tu wa Barrick kuwa na share kwenye ACACIA lakini this time it seems wanaiown hiyo kampuni 100%
Sasa hao ma director wake au shareholders wake hawana ujuzi ktk sekta ya madini. Profile zao zipoje ktk kuwania hiyo leseni ya kuchimba nickel
 
Hizo hoja zake ni kweli au sio kweli?kabla hatujajadili Porojo zako kwanza
Zito Kabwe la yuko kimya kwenye maswala muhimu ya kitaifa kwa sababu yupo pale kimaslahi. Huyu ndiye mvujisha siri zote za Serikali wakati wa JPM kupitia Rais SSH. Joka la kibisa. Ipo siku inawangojea tupo wazima tunawaangalia.
 
Back
Top Bottom