Zitto: Moja ya kampuni ya kusindika tambaku yafungasha virago sababu ya mazingira magumu ya biashara

Jamani mfalme jiwe alituambia tutembee kifua mbele,sijui tufanyeje sasa
 
Nimesikia wabunge wakiomba serikali igawe Taulo za Mabinti bure nchi nzima.
Na nadhani kwa sababu ya Kampeni zitagawanywa bure Mwakani.
Siasa za CCM zinaliua Taifa na Uchumi wa nchi .
Bora ifikie mahali Vijana na wasomi wengi wakose ajira kwenye makampuni Binafsi wakaendeshe Bodaboda.
Labda akili za watanzania zitawarudia ili wajue kuwa Tatizo la hii nchi ni kuwa na wabunge wengi wa CCM ambao hawana tija yoyote kwa nchi hii zaidi ya kulitia hasara taifa kwa kutafuna kodi zetu huku wakishindwa kuisimamia serikali isitike nje ya kanuni,sheria na katiba ya nchi.
 
Aandike na biashara mpya zilizoanzishwa ambazo pia zimeajili maelfu ya Watanzania
N ujinga kuandika negative issues bila kuweka positive issues as well
Andika wewe muimba mapambio sio kila mtu asifie.
 
huyu kijana sijawahigi kumwelewa kwanini anapenda kuwatetea mabepari
hao wamefunga biashara kwasababu zao binafisi lakini siyo mazingira magumu TZ
Hao walizoea vya bure kukwepa kodi na kutolipa ushuru waende tu sisi wenyewe tumewachoka
 
huyu kijana sijawahigi kumwelewa kwanini anapenda kuwatetea mabepari
hao wamefunga biashara kwasababu zao binafisi lakini siyo mazingira magumu TZ
Hao walizoea vya bure kukwepa kodi na kutolipa ushuru waende tu sisi wenyewe tumewachoka
Wewe na nani?
 
Tuna shukuru kwa maelezo yako, ingawa umeshindwa kuelezea kuhusu hizo kodi kibao na hayo mazingira magumu yabiashara? lakini umeweza kuelezea vizuri kuhusu huo mgogoro wa Tax Returns/claims .
Sasa hili la tax claims/Tax Returns lina zungumzika labda kama claims zao ni za kizushi au zina dalili ya ransfer pricing.
Mkuu nashukuru kwa kuelewa...tax return linazungumzika kama kuna kiasi kidogo cha ku return...

Umezungumzia, kuwa sijafafanua ....ila jua kuwa kila kifungashio cha tumbaku kinacho ingia na kutoka nchi hii kinalipiwa kabla na kikisha ondoka ile kodi inapashwa kurudisha kwa mwekezaji....ila mfumo kwa ukaguzi wa haya yote katika mamlaka zetu unaudhaifu na ukiwa na maelekezo ya kuhakikisha kuwa hakuna kinacho rudi kwa mwekezaji (hayazungumziki).

Mazingira magumu/mabaya ya uwekezaji ni pamoja na kodi zinazo ongezwa kila kukicha kwa kila kilo ya tumbaku inayo nunuliwa kwa mkulima..mind you...mkulima asipo uza msimu huu hiyo tumabaku hiyo haiuziki tena mwakani maana ishashuka thamani....

Pili mkulima hana means za kutunza/hifadhi tumbaku baada ya msimu wa manunuzi kuisha ili itunze ubora wake mpaka msimu ujao...
 
Mkuu nashukuru kwa kuelewa...tax return linazungumzika kama kuna kiasi kidogo cha ku return...

Umezungumzia, kuwa sijafafanua ....ila jua kuwa kila kifungashio cha tumbaku kinacho ingia na kutoka nchi hii kinalipiwa kabla na kikisha ondoka ile kodi inapashwa kurudisha kwa mwekezaji....ila mfumo kwa ukaguzi wa haya yote katika mamlaka zetu unaudhaifu na ukiwa na maelekezo ya kuhakikisha kuwa hakuna kinacho rudi kwa mwekezaji (hayazungumziki).

Mazingira magumu/mabaya ya uwekezaji ni pamoja na kodi zinazo ongezwa kila kukicha kwa kila kilo ya tumbaku inayo nunuliwa kwa mkulima..mind you...mkulima asipo uza msimu huu hiyo tumabaku hiyo haiuziki tena mwakani maana ishashuka thamani....

Pili mkulima hana means za kutunza/hifadhi tumbaku baada ya msimu wa manunuzi kuisha ili itunze ubora wake mpaka msimu ujao...
Mimi ninaona hilo la tax return ni factual , hivyokusema kuna "maelekezo" ni speculative na sio factual. kwa sababu kama kuna ukweli wanaweza kulifikisha mahakamani.

Kuhusu hizo kodi zilizo ongezeka ni dhana, kwani umeshindwa kusema au kuonyesha ni kodi zipi zilizo ongezeka.
 
Serikari hii utaratibu ambao itashauriwa ni tatizo ndio wataongeza nguvu kwenye kufanya mambo kwa mtindo wao. Kutokana na hatua hizo kila siku ya mungu secondary na tertiary sector za uchumi zinasinyaa na ndio watoa ajira wenyewe; mwisho wa siku tutabaki na wakulima tu.
 
hio kampuni sio ile inaitwa Phillip morris international wauzaji wa sigara, walikuwepo masaki, ila wamefunga biashara na kuondoka mwaka jana. au sio hao.

Ndio hiyo hiyo. Number 1 tobacco company duniani tumewapoteza. Ajira zao zilikuwa si mchezo. Vijana wa Kitanzania wangefaidi maisha, kodi zingelipwa, mzunguko wa fedha ungekuwepo.
 
Ziito Kabwe:

Baada ya Korosho iliyoleta nchini Fedha za Kigeni $512m Mwaka 2017, zao la pili ni Tumbaku iliyoingiza $280m. Serikali ya CCM ya Awamu ya 5 imeua Korosho Mwaka 2018 na sasa sera zake fyongo zinaua Tumbaku Mwaka 2019.Mwaka 2017 iliua Mbaazi $200m. Wahujumu Uchumi hawa watatumaliza.


Zitto Kabwe:

Moja ya Kampuni yenye kusindika Tumbaku Morogoro imefungasha virago kuondoka Tanzania sababu ya mazingira magumu ya Biashara. Watanzania takribani 3,000 wamepoteza ajira na maelfu kupoteza ajira kwenye mnyororo wa thamani. Wakulima kuathirika zaidi kwa kukosa soko na bei kushuka

Zitto Kabwe:

It is history. Business are closing down and people lose their jobs. This month , a tobacco processing plant has closed down and moved out of Tanzania due to poor business environment putting in danger 500,000 farmers from Tabora, Shinyanga, Kigoma, Mbeya and Ruvuma regions.

Chanzo:Ukurasa wake wa twitter.
ZZK ni muongo na mnafiki kabisa. Hiyo kampuni iliasha anza kuondoka tangu serikali awamu ya 4. Sababu kubwa ni kuzidiwa ushindani
 
Jiwe ameenda kuiombea msamaha Zimbabwe kwa mabeberu huku akiacha nyumbani kunateketea! 🤦‍♂️
 
Back
Top Bottom