Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #41
Mkuu hapo kuna propaganda gani?Wakudadavuwa mzee wa propaganda?au ni mwingine?
Mkuu hapo kuna propaganda gani?Wakudadavuwa mzee wa propaganda?au ni mwingine?
Si kweli kamandaVictor wa happy- hana upole wowote- wabunge wote wa Kigoma wanasimama na mawaziri wazaliwa wa Kigoma. Cheche zao wanazitema siku hizi wizara ya biashara, kilimo na mambo ya ndani. UNAFIKI MKUBWA
Mkuu wewe unajulikana ,na kazi yako inajulikana propaganda pale lumumbaMkuu hapo kuna propaganda gani?
Wakudadavuwa, AMINI NAKWAMBIA Mh. Zitto, Serukamba wahachangii zinapokuwa hoja zimeletwa na Mpango na Ndalichako= KIMYA sasa waje akina Kange, ndo utaona uchumi wanavyoujua- KAMANDA WAHA WALE WANAFIKI SANASi kweli kamanda
TumemsikiaNdugu zangu,
Mdogo wangu Zitto Kabwe kaonesha njia kwa upinzani kwani kupinga mambo yanayoonekana kwa wananchi ni sawa na kuwa kichaa.View attachment 1118261
Kasema serikali imekua consistence kwenye miradi yake ilio anzisha kila mwaka inaiongezea pesa...isipo kua hiyo miradi inatoa pesa nje sio inaingiza kwenye uchumi kwahiyo uchumi utapata matatizo.....hapo kapongeza nini au kasifia nini? serikali kuendelea na miradi yake ambao aikuzi uchumi.
Kwa kauli hii ya Zitto ambaye ni mkosoaji mkubwa wa serikali ya Magufuli, ninadhani itakua ni msumari wa moto kwa wale wanaopinga kuhusu jambo hili."Hapa Kazi Tu".
Kweli aisee, ameanza kuwa mpole ghaflaJamaa ameona danger uchaguzi wa 2020..Ubunge wake upo hatarini, hauwezi kwepa magufuli wave 2020
Jamaa ameona danger uchaguzi wa 2020..Ubunge wake upo hatarini, hauwezi kwepa magufuli wave 2020
Kasema serikali imekua consistence kwenye miradi yake ilio anzisha kila mwaka inaiongezea pesa...isipo kua hiyo miradi inatoa pesa nje sio inaingiza kwenye uchumi kwahiyo uchumi utapata matatizo.....hapo kapongeza nini au kasifia nini? serikali kuendelea na miradi yake ambao aikuzi uchumi.
Mchezo wa siasa ni mkali..Zitto na wenzake wanajilaghai, kazi yao ni kushinda pale twitter wakitafuta umaarufu, Jiwe yupo ground kila wiki mikoa tofauti tofauti..The ground has been swept by Magufuli wave..Wamebaki kuwa wandagaji na wanamitindo kama mange kimambiKweli aisee, ameanza kuwa mpole ghafla