Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Hii nzuri snWakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.