Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
We kilaza.. Waberoya, zito ni msaliti ana asili ya usafiri na zito ni msaliti tangia alipokuwa chuo zito hana tofauti na mwanamke ma....
Kwanza afadhali zito alitimuliwa cdm, kama.ni fadhila chama kimempa sama chama kimemlea chama cha cdm ndy kimemfanya mpaka akajulikana na kupata u maarufu hii kumpa nafasi za kupata hela ndani ya chama, chama pia kilimpa nyazifa ta juu the late mama yake zito pia....tatizo la zito ni us ali ti, unafiki, mpenda hela tu hana lolote
Zito tangia anunuliwe na maficcm amekuwa babu tu kwa ccm zito ni sawa na kumuita yeyw na chama chake ccm-b
kwa uandishi huu, unategemea unaweza kuandika hoja kweli?
huwezi ku thibitisha wewe na familia yako, yaani mkeo, baba yako, mama yako, watoto wako.....ebu kama unataka kuikoa jamii yako ikuone walau una akili...fumba macho na sema kimoja tu cha kuthibitisha maelezo yako
i bet, utaishia kusema tu ni msaliti huyo, msaliti huyo....
ushalishwa sumu na kuaminishwa, pole