Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mapato ya Serikali ya Mwezi Mei balaa sana sababu ya #COVID19TZA. Baada ya malipo ya kuhudumia Deni la Taifa ( debt service ), Mapato yote yanayobaki hayatoshi kulipa mishahara ya Watumishi wa Umma ( TZS 576 Bilioni). Kwa Mwezi huu imebidi Serikali ichukue za Barrick $100m
Pia soma > Habari Njema Kutoka Barrick Gold kwa Watanzania, Tunaanza Kufaidi Rasilimali Zetu, Donge Nono la Dola Milioni 100 zalipwa
Pia soma > Habari Njema Kutoka Barrick Gold kwa Watanzania, Tunaanza Kufaidi Rasilimali Zetu, Donge Nono la Dola Milioni 100 zalipwa