Zitto: Mapato ya mwezi Mei hayatoshi kulipa mishahara, Serikali imeamua kukubali kulipwa USD mil 100 ya Acacia na iliyosalia kwa awamu hadi miaka 5

Kwa hilo s
Zitto ni mjinga sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hilo sikubaliani nalo kwani Mheshimiwa sana ni msomi mzuri tu na anauelewa mzuri tu. Ila anayafanya haya yote ili kudescredit serikali ya JMT kwa kutomtambua kama ilivyokuwa kwa awamu zilizopita. Nadhani inamuuma zaidi pale ambapo anaona serikali inampuuza kwa kutomjibu au kulumbana naye. Bahati mbaya huu ni mwaka wa uchaguzi na ifikapo mwezi November tutaona nani amevuna nini.
 
Mkuu mimi sio mwimba mapambio, lakini kwa hali tuliyonayo sasa hivi, muhimu ni survival hakuna aliyeiona Korona kabla ya Dec 2019. Dunia nzima imeathirika, kila mtu anapambana anavyoweza, wakubwa wanaprint fedha sasa hivi, sisi hatuwezi ndio maana Afrika imeishia kuchukua mikopo, kitu ambacho naamini kitakuja kuleta matatizo mengine baadae. Kenya imeshachukua usd 2B mpaka sasa, ni pesa nyingi sana hizo and to what end.

Tumpe haki yake Magufuli kwenye hili. Amecheza RealPolitik na amekuwa Pragmatic. Ukweli ni kwamba, lockdown haiwezekani. Utalii umekufa, Exports hakuna, pamoja na kwamba hakuna lockdown, biashara nyingi zimefungwa. Kila kitu kikifa tutaenda wapi? We have to analyze all the risks na kuchagua which one we can afford. Watu wanakufa na watakufa hata mimi unaweza shangaa niko kimya kumbe nimekufa, lakini kuacha nchi ife, itakuwa uzembe. Hakuna namna nchi ifunguliwe tu, hata Uhuru ameanza kufikiri hivyo. I stand to be corrected, lakini kwenye hili tukiacha siasa za "sisi matajiri", ambazo wote tunajua ni propaganda tu, amekuwa sahihi.
Mkuu, hajacheza "RealPolitik" yoyote mbali ya kuweka maisha ya raia zake hatarini kwa kisingizio cha kulinda uchumi. Uchumi anaolinda ni upi kama unavyosema dunia yote imeathiriwa na ugonjwa? Tanzania haiwezi kuwa na uchumi wake pembeni usiotegemeana na dunia.
Angalia huo utalii, ambao sasa unaimbwa kuwa utakua kwa kasi..., kutoka kwa watalii gani..., hata hili huwezi kuliona na kulishangaa mkuu wangu 'MtamaMchungu'?
Halafu bado unaandika kuwa "Amecheza 'RealPolitik na amekuwa Pragmatic"; unless maana ya maneno hayo huifahamu.

Umeeleza mwenyewe, "Korona kabla ya Dec 2019, hakuna aliyeiona", kwa hiyo ni ugonjwa ambao haukufahamika madhara yake yapo vipi; halafu kiongozi anatokea anatupilia mbali njia ambazo zinajulikana katika kushughulikia magonjwa ya milipuko inayofanana fanana na huu ugonjwa mpya, hajui chochote juu ya ugonjwa huo, anaamua tu kufanya maamuzi ya "kulinda uchumi" badala ya kufanya juhudi zote kuepusha maisha ya raia zake,---, halafu akina MtamaMchungu wanajitokeza kusifu, kwa bahati tu ya ugonjwa kwa sababu zisizojulikana kufifia makali yake!

Unawacheka Kenya kuchukua hiyo mikopo ya nafuu, na hata pengine huko mbele ya safari hiyo mikopo ikafutwa?
Sasa subiri kama Tanzania haitakwenda kuililia hiyo mikopo muda si mrefu toka sasa! Hao watalii unaodhani watakuja kesho utasubiri sana. Hata ukichimba dhahabu kama soko sio zuri, hiyo dhahabu haitaingiza chochote cha maana ili usitafute pa kukopa.
 
Uyu jamaa anaejiita zitto sijui Ni Raia wa nchi gani.

Kwahyo,
serikali yetu ikikosa Ela ya kulipana mishahara kwake Ni sherehe.

UPINZANI WA NCHI HII Ni wa kiPumbav sana
 
Sasa nini ushauri wa zito kabwe au yeye alitaka serikali ifanyeje au ndo wanashangilia mapato kupungua wakati ni sababu zilizo nje ya uwezo wetu na dunia yote inalitambua.
 
Mkuu, hajacheza "RealPolitik" yoyote mbali ya kuweka maisha ya raia zake hatarini kwa kisingizio cha kulinda uchumi. Uchumi anaolinda ni upi kama unavyosema dunia yote imeathiriwa na ugonjwa? Tanzania haiwezi kuwa na uchumi wake pembeni usiotegemeana na dunia.
Angalia huo utalii, ambao sasa unaimbwa kuwa utakua kwa kasi..., kutoka kwa watalii gani..., hata hili huwezi kuliona na kulishangaa mkuu wangu 'MtamaMchungu'?
Halafu bado unaandika kuwa "Amecheza 'RealPolitik na amekuwa Pragmatic"; unless maana ya maneno hayo huifahamu.

Umeeleza mwenyewe, "Korona kabla ya Dec 2019, hakuna aliyeiona", kwa hiyo ni ugonjwa ambao haukufahamika madhara yake yapo vipi; halafu kiongozi anatokea anatupilia mbali njia ambazo zinajulikana katika kushughulikia magonjwa ya milipuko inayofanana fanana na huu ugonjwa mpya, hajui chochote juu ya ugonjwa huo, anaamua tu kufanya maamuzi ya "kulinda uchumi" badala ya kufanya juhudi zote kuepusha maisha ya raia zake,---, halafu akina MtamaMchungu wanajitokeza kusifu, kwa bahati tu ya ugonjwa kwa sababu zisizojulikana kufifia makali yake!

Unawacheka Kenya kuchukua hiyo mikopo ya nafuu, na hata pengine huko mbele ya safari hiyo mikopo ikafutwa?
Sasa subiri kama Tanzania haitakwenda kuililia hiyo mikopo muda si mrefu toka sasa! Hao watalii unaodhani watakuja kesho utasubiri sana. Hata ukichimba dhahabu kama soko sio zuri, hiyo dhahabu haitaingiza chochote cha maana ili usitafute pa kukopa.

halafu kiongozi anatokea anatupilia mbali njia ambazo zinajulikana katika kushughulikia magonjwa ya milipuko inayofanana fanana na huu ugonjwa

What was the risk ya kutumia njia hizo tunazoambiwa na WHO?

Hao watalii unaodhani watakuja kesho utasubiri sana

Ni kweli watalii hawatakuja, ndio maana nasema kama Utalii umekufa, tuache na vingine vife?

The bottom line is, the state has to exist. Na kama kufunga nchi kungeua nchi it's not morality or ideological that matters, it's about being practical. Na kama kuna uwezekano wa ku-avoid mikopo, tufanye hivyo lakini hii mbinu ya Lockdown is way to expensive for a poor country. What's the end goal, when does it end? How long can we survive with a lockdown? Hii nchi median age ni 18 years, the risks za Covid to the population sio kubwa kama risks za total economic collapse. RealPolitik and Pragmatic

RealPolitik

"A system of politics or principles based on practical rather than moral or ideological considerations."

Pragmatic

"Dealing with things sensibly and realistically in a way that is based on practical rather than theoretical considerations."
 
What was the risk ya kutumia njia hizo tunazoambiwa na WHO?
Swali la ajabu sana hili?

What was the risk? Ukilinganisha na njia zipi tulizoamua kuzitumia sisi?
Ni kweli watalii hawatakuja, ndio maana nasema kama Utalii umekufa, tuache na vingine vife?
Vingine vipi ambavyo Tanzania inavyo visivyotegemea uchumi wa dunia?
The bottom line is, the state has to exist
A state has to exist na "uchumi" at the risk of its people? It doesn't make sense, or does it?

Swala la kufunga nchi actually sio mhimu hapa, jambo la muhimu ni kufanya maamzi mazito yasiyokuwa na basis yoyote.



There was nothing practical about the decision to act contrary to known scientific norms. It was purely arbitrary, driven by unfettered power.
 
Hii serikali ni ya kilaghai sana. Inaendeshwa kisanii sana. Memo hana uwezo wa kuongoza.
 
Swali la ajabu sana hili?

What was the risk? Ukilinganisha na njia zipi tulizoamua kuzitumia sisi?

Vingine vipi ambavyo Tanzania inavyo visivyotegemea uchumi wa dunia?

A state has to exist na "uchumi" at the risk of its people? It doesn't make sense, or does it?

Swala la kufunga nchi actually sio mhimu hapa, jambo la muhimu ni kufanya maamzi mazito yasiyokuwa na basis yoyote.



There was nothing practical about the decision to act contrary to known scientific norms. It was purely arbitrary, driven by unfettered power.

What was the risk? Ukilinganisha na njia zipi tulizoamua kuzitumia sisi?

Sisi tumeamua hakuna mandatory lockdown.

Vingine vipi ambavyo Tanzania inavyo visivyotegemea uchumi wa dunia?
Vingi tu, ikiwemo elimu

A state has to exist na "uchumi" at the risk of its people? It doesn't make sense, or does it?

Risk is the reality that we live with everyday, kikubwa ni analysis na kujua among the risks on the table which one will hurt the least.

There was nothing practical about the decision to act contrary to known scientific norms. It was purely arbitrary, driven by unfettered power.

Science ni muhimu lakini sio kila inachoshauri watu wanachukua kama kilivyo, there are other factors to be considered.

Naposema the state has to exists, maana yake kama kwa kufunga nchi, analysis iliwaambia kunaweza kutokea hali ngumu sana mpaka kukahatarisha usalama wa dola, hakuna mtawala mwenye akili angechagua hiyo risk; or else hafai kuwa mtawala.

We can agree to disagree. Time will tell
 
Back
Top Bottom