Zitto: Makubaliano ya Serikali na Barrick Gold changa la macho

Kwa jambo hili Zitto unataka kutuambia kama bunge mna sauti gani, waonaje basi ukalipeleka bungeni ili serikali iwajibike kwa kuvunja sheria mliyoitunga.
Mimi sioni sababu ya kulipeleka suala hili bungeni ili waliowengi wakalipigie kra ya ndioooooooooooooo hata kama hawajaelewa kitu.
 
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.

Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.

Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.



HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”







2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.

Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.


Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
 

Attachments

  • Endover.JPG
    Endover.JPG
    53.6 KB · Views: 15
huyo Zitto si alikuwa kwenye kamati ya madini na akatoka akasema hayo makubaliona yamenufaisha pande zote nchi na wawekezaji sanasana walimhonga akakaa kimya
 
Ukisoma hii mijadala watu wanavyojadili as if kilichoandikwa ni black and white serikari ime yield tu kutokana na kuelemewa kwa hoja kwenye negotions wakati vitu vingine vinataka financial facts ukipekuwa upande wa ACCACIA kwenye consolidated statement of financial position wao wenyewe $300 cash as retained earnings kwa sasa hawana, miaka miwili awajalipa shareholders kutokana na hasara za 2017 na faida ndogo ya 2018.

66E0CA97-08DE-42A3-8754-12E210D9BC29.jpeg


ECC43B6A-7742-44F4-AE8F-8A19004239BB.jpeg



Achilia madeni ya serikari wana madeni mengine makubwa ya kutosha huko kwenye financial market ambayo lazima yalipwe kila mwaka vitu vyote ivyo lazima upitie kwanza uone financial position yao kama kweli wanao huo uwezo wa kutoa $300 based on evidence hawana. Sasa sio kwamba serikari awakulijadili hilo na serikari kabla ya kukubaliana payment plan iliyo ya uhalisia.

44920F49-F408-44F0-A71E-764C437F15CC.jpeg



Asilimia kubwa ya hoja za Zitto ni anajiongelea tu.
 
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.

Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.

Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.



HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”





2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.
Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.

Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
Umemaliza mchezo👏
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.

Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.

Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.



HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”






2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.
Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.

Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
Hongera. Umemaliza mchezo 👏
 
MAKUBALIANO YA SERIKALI NA BARRICK GOLD CHANGA LA MACHO

Jana, Julai 19, 2019 Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Barrick Gold Corporation imetoa Taarifa kwa Umma ya kuinunua Kampuni yake tanzu ya Acacia Mining Plc kwa jumla ya Dola za Marekani Milioni 428. Baada ya malumbano ya takribani miezi 5 Barrick na Acacia wamekubaliana juu ya thamani ya Kampuni ya Acacia kuwa ni Dola za Marekani milioni 951 (wastani wa TZS 2.2 Trilioni).

Itakumbukwa kuwa kabla ya sakata la Makanikia la Mwezi Machi mwaka 2017, Kampuni ya Acacia ilikuwa na thamani ya Dola za Marekani Milioni 4,400 (wastani wa TZS 10 Trilioni). Kwa mujibu wa kanuni za Masoko ya Hisa na Mitaji, taarifa za manunuzi ya makampuni huwekwa wazi pamoja na nyaraka nyengine zote husika.

Kwa Watanzania nyaraka muhimu katika mauziano haya ya Acacia, ni ile ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick katika kumaliza mgogoro wa Makanikia na masuala ya Kodi. Nyaraka hiyo (ambayo Serikali imekuwa ikiificha baada ya Majadiliano yaliyofanywa na Prof. Palamagamba Kabudi) sasa imewekwa wazi kama Kiambatanisho namba 4 cha nyaraka za manunuzi ya Acacia.

Nyaraka hizo zinaonyesha kuwa Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na Barrick Gold Corporation mnamo tarehe 19 Mei, 2019. Makubaliano hayo ni MABAYA, ya HOVYO, yasiyo ya KIZALENDO na yanayoumiza nchi kuliko makubaliano yaliyokuwepo kwa Mujibu wa sheria ya Madini ya mwaka 2010. Kwa ufupi tu ni kuwa Rais John Pombe Joseph Magufuli na Waziri Palamagamba Kabudi WAMEUZA nchi kwa vipande vya dhahabu. Nitaeleza kama ifuatavyo.

Kiambatanisho namba 4 kimeweka muhtasari wa kinachoitwa ‘Material Terms’ katika Makubaliano ya awali kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick Gold ambayo yamesainiwa (INITIALED) mwezi Mei mwaka huu. Kimsingi Barrick imelazimishwa na kanuni za masoko ya mitaji kuweka wazi makubaliano hayo. Ni masikitiko makubwa kuwa Serikali yetu haijathubutu hata kuliambia Bunge kuwa kuna makubaliano ya namna hiyo wakati wa Bunge la Bajeti, imesaini kwa siri kama ulivyosainiwa mkataba wa Buzwagi.

Ikumbukwe kuwa makubaliano hayo yamesainiwa wakati Bunge likiwa linaendelea na mkutano wake jijini Dodoma. Sisi kama wawakilishi wa Wananchi imebidi kusubiri masoko ya mitaji ya ‘MABEBERU’ wa London yaweke wazi masuala yanayohusu nchi yetu. Hii ni dharau kubwa ambayo Serikali ya Rais Magufuli imefanya kwa Wananchi na kwa Bunge. Sasa tutazame ni nini Serikali yetu imekubaliana na Barrick Gold katika maeneo matano tu.

1. Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO

Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.

2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M

Serikali ya Tanzania imetoa misamaha mbalimbali ya Kodi kwa Kampuni ya Barrick Gold katika makubaliano yaliyoingiwa ikiwemo kodi ya ‘Capital Gains’ ambayo inatokana na mauzo ya hisa za Acacia kwa Barrick. Itakumbukwa kuwa mwaka 2012 Bunge lilitunga sheria ya kutoa Kodi ya Ongezeko la Mtaji kwa mauzo ya mali zilizopo Tanzania ili kudhibiti ukwepaji wa Kodi.

Barrick inainunua Acacia kwa Hisa ambazo Barrick haikuwa inamiliki ambazo zimepewa thamani ya Dola Milioni 428. Capital Gains Tax ya 20% ilipaswa kulipwa lakini Rais Magufuli na Profesa Kabudi wametoa ‘waiver’ (Msamaha) na kupoteza Mapato halali na ya kisheria kwa nchi yetu ya Dola Milioni 85.6 (wastani wa TZS 200 Bilioni). Tukirejea hoja ya kwanza hapo juu utaona kuwa sio tu Tanzania kiuhalisia haitapata Dola Milioni 300, bali pia tunaipa zawadi Barrick ya Dola Milioni 25.6 (wastani wa TZS 59 Bilioni) za ziada.

3. Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE

Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu.

Licha ya makubaliano haya ya hovyo na yasiyo na tija, Serikali yetu imetoa ‘waiver’ (msamaha) kwa Barrick kutoorodhesha hisa kwenye Soko la Hisa la Tanzania. Sheria ya Madini ya mwaka 2010 (Wakati wa Waziri William Ngeleja) na Kanuni zake iliweka sharti kwamba ni lazima makampuni ya madini yauze 30% ya hisa kwa Watanzania kwenye soko la Hisa la Tanzania.

Makubaliano ya Mei 2019 kati ya Barrick na Serikali ya Tanzania yametoa msamaha kwa Barrick kutekeleza sharti hilo la kisheria. Uamuzi huu unavunja sheria za nchi, ni hujuma kwa Watanzania kumiliki maliasili zao na ni ukosefu wa maarifa ya kiuchumi kwa kiwango kisichomithilika wala kuvumilika.

4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).

Makubaliano ya namna hii ndiyo kitu kilicholeta Buzwagi mwaka 2007 ambapo Serikali za Rais Mkapa na Rais Kikwete ziliingia mikataba ya kulifunga Bunge kutimiza majukumu yake ya kikatiba kama Dola (sovereign). Sheria ya Madini yam waka 2010 iliondoa sharti hili kufuatia mapendekezo ya Kamati ya Bomani. Rais Magufuli na Waziri Kabudi wameturudisha kwenye unyonyaji wa kihayawani kabisa.

5. Barrick wameruhusiwa kufungua kesi ughaibuni kinyume na Sheria

Kwa mujibu wa sheria mpya za madini za mwaka 2017 makampuni yamezuiliwa kufungua mashauri yake nje ya Tanzania. Migogoro yote inapaswa kushughulikiwa na mahakama za ndani ya nchi. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Barrick kuwa migogoro itafanyika kwa mujibu wa kanuni za UNICITRAL na Rais wa Kituo cha usuluhishi wa migogoro cha Singapore ndio atateua wasuluhishi ambao hapatakuwa na Mtanzania.

Serikali mara zote iliambiwa kuwa mabadiliko ya sheria kuhusu ‘arbitration’ hayakuwa halisi na ni ulaghai. Serikali yenyewe imekuwa ya kwanza kuvunja sheria yake yenyewe kwa kuingia makubaliano na Barrick Gold kuwa Mahakama zetu hazitahusika na kutatua mgogoro wowote kati ya Barrick na Tanzania.

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.

Leo Serikali yetu imekwenda kuingia MAKUBALIANO YA AIBU kabisa ambayo kiuhalisia tunaishia kufuta kesi za Kodi ya Dola za Marekani 190 Bilioni (wastani wa TZS 400 Trilioni) na tunawalipa Barrick fedha badala ya sisi kupata Fedha. Ni jambo la fedheha mno, wanaojigamba kuwa ni wazalendo leo wametuuza.

Ingekuwa nchi nyengine, Makubaliano haya ya KIMANGUNGO kati ya Serikali ya Rais Magufuli na Kampuni ya Barrick, ingetosha kuiondoa Serikali madarakani. Rais John Magufuli na Waziri Palamagamba Kabudi wameuza nchi yetu kwa kipande cha dhahabu. Wamelihujumu Taifa.

Kabwe Z.Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Vuga, Zanzibar
Julai 20, 2019
Kama wewe mwenyewe ulivyo changa la macho
 
ET katumwa. Kama bwana Zitto kabwe kadanganya apelekwe mahakamani, ameshafikishwa kwa upumbavu. Vile vile magazeti mengi Africa na hata duniani vimeeandika vivyo hivyo. Kwamba hayo ndio makubaliano yenyewe. yaani wapo wengine wanaodai eti ni "draft"
Bwana ET Je umesha wajibu hao? Nao pia wanadanganya? Basi wapelekwe mahakamani tuone upumbavu mwingine wa ajabu. ulivyoja na huo mkataba.
Hii ni aibu kubwa tu.
Hawa wanaharakati bana.
Mtavaa suti za manjano 2026
 
Duh aisee tuweke rekodi hivi vitu. Kuna siku itabidi mtu akisnza kusifia upuuzi tufanye reference
 
Zitto na Tundu Lisu walizoea kuwakaba Koo ACACIA na kuwatishia wakawapa wanawapa rushwa kea Barrick wamekwama

Barrik msiwape hata shilingi.mia Wala rushwa wakubwa hao Zitto Kabwe na mwenzie Tundu Lisu.Dont be shaken
 
Hiyo mzee Mungu ana mwona. Deals zake ye mwenyewe zilizomtuliza sasa hasemi ya kina Rost tamu anadhani hazijulikani...akae kimya tu
 
MAKUBALIANO YA SERIKALI NA BARRICK GOLD CHANGA LA MACHO

Jana, Julai 19, 2019 Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Barrick Gold Corporation imetoa Taarifa kwa Umma ya kuinunua Kampuni yake tanzu ya Acacia Mining Plc kwa jumla ya Dola za Marekani Milioni 428. Baada ya malumbano ya takribani miezi 5 Barrick na Acacia wamekubaliana juu ya thamani ya Kampuni ya Acacia kuwa ni Dola za Marekani milioni 951 (wastani wa TZS 2.2 Trilioni).

Itakumbukwa kuwa kabla ya sakata la Makanikia la Mwezi Machi mwaka 2017, Kampuni ya Acacia ilikuwa na thamani ya Dola za Marekani Milioni 4,400 (wastani wa TZS 10 Trilioni). Kwa mujibu wa kanuni za Masoko ya Hisa na Mitaji, taarifa za manunuzi ya makampuni huwekwa wazi pamoja na nyaraka nyengine zote husika.

Kwa Watanzania nyaraka muhimu katika mauziano haya ya Acacia, ni ile ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick katika kumaliza mgogoro wa Makanikia na masuala ya Kodi. Nyaraka hiyo (ambayo Serikali imekuwa ikiificha baada ya Majadiliano yaliyofanywa na Prof. Palamagamba Kabudi) sasa imewekwa wazi kama Kiambatanisho namba 4 cha nyaraka za manunuzi ya Acacia.

Nyaraka hizo zinaonyesha kuwa Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na Barrick Gold Corporation mnamo tarehe 19 Mei, 2019. Makubaliano hayo ni MABAYA, ya HOVYO, yasiyo ya KIZALENDO na yanayoumiza nchi kuliko makubaliano yaliyokuwepo kwa Mujibu wa sheria ya Madini ya mwaka 2010. Kwa ufupi tu ni kuwa Rais John Pombe Joseph Magufuli na Waziri Palamagamba Kabudi WAMEUZA nchi kwa vipande vya dhahabu. Nitaeleza kama ifuatavyo.

Kiambatanisho namba 4 kimeweka muhtasari wa kinachoitwa ‘Material Terms’ katika Makubaliano ya awali kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick Gold ambayo yamesainiwa (INITIALED) mwezi Mei mwaka huu. Kimsingi Barrick imelazimishwa na kanuni za masoko ya mitaji kuweka wazi makubaliano hayo. Ni masikitiko makubwa kuwa Serikali yetu haijathubutu hata kuliambia Bunge kuwa kuna makubaliano ya namna hiyo wakati wa Bunge la Bajeti, imesaini kwa siri kama ulivyosainiwa mkataba wa Buzwagi.

Ikumbukwe kuwa makubaliano hayo yamesainiwa wakati Bunge likiwa linaendelea na mkutano wake jijini Dodoma. Sisi kama wawakilishi wa Wananchi imebidi kusubiri masoko ya mitaji ya ‘MABEBERU’ wa London yaweke wazi masuala yanayohusu nchi yetu. Hii ni dharau kubwa ambayo Serikali ya Rais Magufuli imefanya kwa Wananchi na kwa Bunge. Sasa tutazame ni nini Serikali yetu imekubaliana na Barrick Gold katika maeneo matano tu.

1. Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO

Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.

2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M

Serikali ya Tanzania imetoa misamaha mbalimbali ya Kodi kwa Kampuni ya Barrick Gold katika makubaliano yaliyoingiwa ikiwemo kodi ya ‘Capital Gains’ ambayo inatokana na mauzo ya hisa za Acacia kwa Barrick. Itakumbukwa kuwa mwaka 2012 Bunge lilitunga sheria ya kutoa Kodi ya Ongezeko la Mtaji kwa mauzo ya mali zilizopo Tanzania ili kudhibiti ukwepaji wa Kodi.

Barrick inainunua Acacia kwa Hisa ambazo Barrick haikuwa inamiliki ambazo zimepewa thamani ya Dola Milioni 428. Capital Gains Tax ya 20% ilipaswa kulipwa lakini Rais Magufuli na Profesa Kabudi wametoa ‘waiver’ (Msamaha) na kupoteza Mapato halali na ya kisheria kwa nchi yetu ya Dola Milioni 85.6 (wastani wa TZS 200 Bilioni). Tukirejea hoja ya kwanza hapo juu utaona kuwa sio tu Tanzania kiuhalisia haitapata Dola Milioni 300, bali pia tunaipa zawadi Barrick ya Dola Milioni 25.6 (wastani wa TZS 59 Bilioni) za ziada.

3. Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE

Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu.

Licha ya makubaliano haya ya hovyo na yasiyo na tija, Serikali yetu imetoa ‘waiver’ (msamaha) kwa Barrick kutoorodhesha hisa kwenye Soko la Hisa la Tanzania. Sheria ya Madini ya mwaka 2010 (Wakati wa Waziri William Ngeleja) na Kanuni zake iliweka sharti kwamba ni lazima makampuni ya madini yauze 30% ya hisa kwa Watanzania kwenye soko la Hisa la Tanzania.

Makubaliano ya Mei 2019 kati ya Barrick na Serikali ya Tanzania yametoa msamaha kwa Barrick kutekeleza sharti hilo la kisheria. Uamuzi huu unavunja sheria za nchi, ni hujuma kwa Watanzania kumiliki maliasili zao na ni ukosefu wa maarifa ya kiuchumi kwa kiwango kisichomithilika wala kuvumilika.

4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).

Makubaliano ya namna hii ndiyo kitu kilicholeta Buzwagi mwaka 2007 ambapo Serikali za Rais Mkapa na Rais Kikwete ziliingia mikataba ya kulifunga Bunge kutimiza majukumu yake ya kikatiba kama Dola (sovereign). Sheria ya Madini yam waka 2010 iliondoa sharti hili kufuatia mapendekezo ya Kamati ya Bomani. Rais Magufuli na Waziri Kabudi wameturudisha kwenye unyonyaji wa kihayawani kabisa.

5. Barrick wameruhusiwa kufungua kesi ughaibuni kinyume na Sheria

Kwa mujibu wa sheria mpya za madini za mwaka 2017 makampuni yamezuiliwa kufungua mashauri yake nje ya Tanzania. Migogoro yote inapaswa kushughulikiwa na mahakama za ndani ya nchi. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Barrick kuwa migogoro itafanyika kwa mujibu wa kanuni za UNICITRAL na Rais wa Kituo cha usuluhishi wa migogoro cha Singapore ndio atateua wasuluhishi ambao hapatakuwa na Mtanzania.

Serikali mara zote iliambiwa kuwa mabadiliko ya sheria kuhusu ‘arbitration’ hayakuwa halisi na ni ulaghai. Serikali yenyewe imekuwa ya kwanza kuvunja sheria yake yenyewe kwa kuingia makubaliano na Barrick Gold kuwa Mahakama zetu hazitahusika na kutatua mgogoro wowote kati ya Barrick na Tanzania.

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.

Leo Serikali yetu imekwenda kuingia MAKUBALIANO YA AIBU kabisa ambayo kiuhalisia tunaishia kufuta kesi za Kodi ya Dola za Marekani 190 Bilioni (wastani wa TZS 400 Trilioni) na tunawalipa Barrick fedha badala ya sisi kupata Fedha. Ni jambo la fedheha mno, wanaojigamba kuwa ni wazalendo leo wametuuza.

Ingekuwa nchi nyengine, Makubaliano haya ya KIMANGUNGO kati ya Serikali ya Rais Magufuli na Kampuni ya Barrick, ingetosha kuiondoa Serikali madarakani. Rais John Magufuli na Waziri Palamagamba Kabudi wameuzmik

Mikataba ya kitapeli kati ya mwendakuzimu na Kabudi.
Cc: Misuli, crimea, paskali mayalla, mama d, msemajiukweli
 
Back
Top Bottom