Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Mimi sioni sababu ya kulipeleka suala hili bungeni ili waliowengi wakalipigie kra ya ndioooooooooooooo hata kama hawajaelewa kitu.Kwa jambo hili Zitto unataka kutuambia kama bunge mna sauti gani, waonaje basi ukalipeleka bungeni ili serikali iwajibike kwa kuvunja sheria mliyoitunga.