jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Sioni kama ni tatizo mradi wao wote January, Zitto na Said Bagaile wanapigania maslahi ya Taifa. Acheni majungu
Mkuu, hata jk wakati anaomba kuingia ikulu aliahidi kuipitia upya mikataba ya madini kwa lengo la kuiboresha, hiyo ilionekana kuwa ni maslahi ya taifa, ameshaipitia?