Zitto: Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya, sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani

Mm ninachokijua hakuna kiongozi kutoka ndani ya CCM alishawahi kuja na fikra nzuri za kuikomboa Tanzania ,wote ni hamna kitu.Wao ni kuteuana ,kulipana mishahara minono na posho juu na kununua magari ya kifahari huku zaidi ya 80% wanaangaika na maisha magumu.Kuna kipindi huwa natamani miccm ife yote labda nchii hii itaondoka hapa ilipo .
Kwa hiyo unadhani ni chama gani tukiwapa watafanya vizuri kuliko ccm ni nn kinakupa hiyo imani!?
 
Mchonyo wa marehemu babu yako alielala huko mwandiga:

Mbwa kama hawa wakina zitto ndio wanaowasababisha watu waende jela bila kukusudia.

Hebu imagine anaongea upumbavu huo mbele yako utaacha kumlapua kofi au kumtemea kohozi.
 
Currently (2020), tanzania’s total power installed capacity is 1,602 mw of which 244 mw were added in the past four years. Tanzania’s electricity generation comes mostly from natural gas (48%), followed by hydro (31%), petrol (18%), solar (1%), and biofuels (1%).

Tanzania also imports power from uganda (10 mw), zambia (5 mw) and kenya (1 mw). The traditional dependence on hydropower combined with the droughts that are affecting the country, often result in power supply shortages. To bridge the electricity supply gap in the country, tanesco contracted emergency power producers (epp).

Read more at: tanzania energy sector - tanzaniainvest and follow us on www.Twitter.Com/tanzaniainvest.

Kama ukweli ndio huu basi hakuna wa kulaumu,ni janga la kiasili kwani hakuna asiyeshuhudia ukame uliopo kwa sasa. Tuendelee kuomba mungu, lakini tushauri serikali ijikite kuwekeza kwenye sources zingine za umeme kama natural gas,upepo,jotoardhi n.K. Ili ziwe kama backup wakati kama huu. Bila hivyo tutaishia kudhalilishana tu humu bila kupata suluhu
 
Muacheni JPM apumzike jamani, hata kama wavae ama wasivae viatu vyake ukweli ni kuwa ameshatangulia mbele za haki kwa yale mazuri tunashukuru kwa maisha yake kwa yale mabaya kama ajira kwa vijana tuna shukuru Mama anafanyia kazi.
Unaongelea ajira zipi za vijana? Ilihali wamachinga waliojiajiri wanafukuzwa ovyo na kuchomewa vibanda vyao kwa kisingizio cha kuwapanga.
 
Uyu bro kuna kipindi nilikua na mwelewa sana ila kadri anavojivua magamba nazid kumwelewa zaid ni mtu wa namna gan.....!

Nachojua atukua na shida miaka 6 iliyopita na sasa tuna shida kubwa.....

Kama vip wapige tu si tupate umeme tuendelee na mishe zetu amna nafuu yoyote....!
Zitto ana tabia ya kutuona sisi ni wajinga sana kanakwamba hatuwezi kujua kinachoendelea!??
he is a lost course
 
ZITTO AMTETEA JANUARY
"Ukweli usemwe, awamu ya tano hakuna ongezeko la uzalishaji umeme lililofanyika,miaka5 bila kukarabati njia za umeme, Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya,sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani,hatujaogeza hata 1MW Kwa miaka 5"@zittokabwe https://t.co/201F6NtCMY
View attachment 2015611
View attachment 2015612
Zitto anafanya haya kwa sababu mbili.
1. Waziri wa nishati ni rafiki yake.
2. Rais wa nchi ni muislam mwenzake.
 
Mchonyo wa marehemu babu yako alielala huko mwandiga:
Mbwa kama hawa wakina zitto ndio wanaowasababisha watu waende jela bila kukusudia.
Hebu imagine anaongea upumbavu huo mbele yako utaacha kumlapua kofi au kumtemea kohozi.
Angeongea hivyo karibu yangu nachukua penseli ya mwanangu natia jichoni mwake kisha naondoka
 
wanasmwa magufuri.alikuwa muongo lakini yeye umeme ulikuwepo sasa hawa wanalete giza harafu wanataka kutudanganya
Hauwezi kumwita mtu mwongo wakati huna jipya la kufanya ili kujustify uongo wake. Okay alikuwa mwongo lakini tulikuwa na umeme. Mkweli wewe umeme haupo. Tuache kunyosheana vidole tuje na action plan ya kumaliza tatizo la umeme
 
Back
Top Bottom