Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
Mwaka 2010 kupitia BBC kuna mkenya aliulizwa kuhusu siasa za TZ na Amani yetu tukufu. Alijibu kuwa waTZ ni either wajinga au hawajui haki zao kabisa. Ilipita miaka mingi sikuwahi kuelewa hili jibu na nilihisi ni udhalilishaji.
Hili la Ujinga nilitafakari sana, how could that be?
Marehemu Shekh Hassan Ilunga , alisema Uongo ukirudiwa rudiwa rudiwa hugeuka kuwa ukweli.
Moja ya sifa kuu ya bwana Zitto ni USALITI hii ni dhana ambayo imegeuka kuwa ukweli na itamuandama ZZK mpaka kufa kwake, na sehemu kubwa ya jamii imeshaamini hivyo.
Lakini Je ni upi Usaliti wa ZZK?
Kimsingi mpaka sasa hakuna kati yetu anayeweza kuja na ithibati ya hakika juu ya usaliti wa huyu bwana. Ni maneno yaliyoanzishwa kwa maslaha fulani ili mambo mengine yafanyike. Ni kipindi hiki hiki cha mambo fulani yafanyike ndicho kipindi ambacho Agenda ya Usaliti ilizuka na kuzaa matunda.
Wamarekani walishawahi kusema kwamba kitu chochote ambacho hakina uthibitisho ambao everyone can check and prove it tunasema ni claims. Claim isn't a way to truth untill proven to be true.
Nikaanza kuelewa ujinga wa waTZ na nikajua ni wapi tunakwama.
WaTZ tunapenda kufikiriwa badala ya kufikiri.
Chadema ni chama pekee ambacho kilijijenga katika misingi thabiti kwa msaada mkubwa wa Dr Slaa. Misingi ya kupambana na rushwa na ufisadi uliokithiri katika utawala wa awamu ya 4.
Lakini pamoja na hayo dakika za mwisho yalifanyika mapinduzi ambayo yaliacha maswali mengi kuliko majibu yaliyopelekea Dr Slaa kuachana na siasa za Chadema kabisa na kufanya maisha yake. Hili lilikuwa ni pigo kwa Chadema kumpoteza Critical Thinker. Matokeo yake tunaona ni jinsi gani Chadema ilivyouliwa na wanachadema wenyewe kwa tamaa za pesa kwa watu wachache.
Maswali ambayo sisi Wajinga hatujawahi kujiuliza,
1 Je katiba ya Chadema inasemaje kuhusu ukomo wa mtu kuwa mwenyekiti wa Chama? Tunajua wapinzani wetu wakuu CCM ni miaka 10, je chadema ni mingapi na Mbowe amekuwa mwenyekiti kwa muda gani ?
2. Kukaribishwa kwa Edo Chadema na kupewa nafasi ya kugombea uraisi moja kwa moja kuna leta tafsiri gani chini ya uenyekiti wa mbowe ?
3. Ni mbinu gani ambazo Lowasa ambaye kimsingi ameshakufa kisiasa alizitumia kushawishi baadhi ya management ya Mbowe na kupewa highest position kwenye nafasi ya marathon ya uraisi?
4. Ni kweli timu nzima ya Chadema iliridhia haya maamuzi? Kama ndio ni kwanini kina slaa walijiengua na usaliti huu?
5. Tunajua hakuna free lunch, je Edo alitoa nini ambacho kilishawishi wachache Kwenye chama na kumfanya kuwa muwakilishi wa chadema nafasi ya uraisi ? Kuna siri gani hapa, Mbowe ana majibu.
Ikiwa ameweza kuuza chama kwa duni thamani, atashindwaje kuuza nchi ?
Ikiwa ameweza kuditch wote waliosimamia chama katika misingi thabiti ya kutokomeza ufisadi na kumpa mtu ambaye hana histora yoyote katika chama, je tunamuweka kwenye kundi gani huyu bwana, ni Upi usaliti kati ya huu na wa ZZK ?
6. Je ni waTZ wangapi walishawahi kuhoji hili ? Au kumuhoji Mbowe ilikutoa majibu sahihi juu ya Usaliti wake .
Je ni upi usaliti kati ya Mbowe, Edo na Zitto?
Kupokea makapi ya CCM na kutoa nafasi za juu? There must be something behind. Na hili halijasahaulika katika vifua vya Wanachadema.
5. Lowasa amerudi CCM, je ni waTZ wangapi wamehoji kigeugeu hiki , je alifuata nini Chadema ? ameondoka na siri ngapi za chama ambazo atazipeleka kwa mamlaka za juu ? na je ame share siri ngapi za CCM na serikali husika katika mamlaka ya Chadema ?
Pamoja na yote hayo hutosikia hata siku moja Lowasa akiitwa Msaliti wala Mbowe akiitwa msaliti —Tafakari Mtanzania.
Narudia tena kusema Tanzania hakuna upinzani bali kuna matapeli na wafia njaa.
CCM sio chama bora tena kwetu kimeshindwa kuibadilisha nchi badala yake kila shughuli za maendeleo zinafanywa kisiasa.
leo ukitembea maeneo mengi utaona barabara zinajengwa, barabara za mwendokasi wa mbagala zimeshaanza bila ya kujali kuwa mradi wa awali upo mbioni kuzkwa na hakuna anayehoji.
Jafo alikuja kisiasa kuzima kelele za mwendokasi na hutosikia tena baada ya siku ile, lakini bora ya shida za CCM kuliko upinzani uchwara wa nchi hii.
Nina imani upinzani utazaliwa TZ wapinzani ambao watakuwa na nia ya dhati ya kuingia ikulu, upinzani ambao kwa hakika utataka kuleta Mabadiliko ya kweli, upinzani wenye tija bila kujali dini wala ukabila.
TAFAKARI!
Sunday 31, March 2019
-----------------------
Lakini je ilikuwa
Hili la Ujinga nilitafakari sana, how could that be?
Marehemu Shekh Hassan Ilunga , alisema Uongo ukirudiwa rudiwa rudiwa hugeuka kuwa ukweli.
Moja ya sifa kuu ya bwana Zitto ni USALITI hii ni dhana ambayo imegeuka kuwa ukweli na itamuandama ZZK mpaka kufa kwake, na sehemu kubwa ya jamii imeshaamini hivyo.
Lakini Je ni upi Usaliti wa ZZK?
Kimsingi mpaka sasa hakuna kati yetu anayeweza kuja na ithibati ya hakika juu ya usaliti wa huyu bwana. Ni maneno yaliyoanzishwa kwa maslaha fulani ili mambo mengine yafanyike. Ni kipindi hiki hiki cha mambo fulani yafanyike ndicho kipindi ambacho Agenda ya Usaliti ilizuka na kuzaa matunda.
Wamarekani walishawahi kusema kwamba kitu chochote ambacho hakina uthibitisho ambao everyone can check and prove it tunasema ni claims. Claim isn't a way to truth untill proven to be true.
Nikaanza kuelewa ujinga wa waTZ na nikajua ni wapi tunakwama.
WaTZ tunapenda kufikiriwa badala ya kufikiri.
Chadema ni chama pekee ambacho kilijijenga katika misingi thabiti kwa msaada mkubwa wa Dr Slaa. Misingi ya kupambana na rushwa na ufisadi uliokithiri katika utawala wa awamu ya 4.
Lakini pamoja na hayo dakika za mwisho yalifanyika mapinduzi ambayo yaliacha maswali mengi kuliko majibu yaliyopelekea Dr Slaa kuachana na siasa za Chadema kabisa na kufanya maisha yake. Hili lilikuwa ni pigo kwa Chadema kumpoteza Critical Thinker. Matokeo yake tunaona ni jinsi gani Chadema ilivyouliwa na wanachadema wenyewe kwa tamaa za pesa kwa watu wachache.
Maswali ambayo sisi Wajinga hatujawahi kujiuliza,
1 Je katiba ya Chadema inasemaje kuhusu ukomo wa mtu kuwa mwenyekiti wa Chama? Tunajua wapinzani wetu wakuu CCM ni miaka 10, je chadema ni mingapi na Mbowe amekuwa mwenyekiti kwa muda gani ?
2. Kukaribishwa kwa Edo Chadema na kupewa nafasi ya kugombea uraisi moja kwa moja kuna leta tafsiri gani chini ya uenyekiti wa mbowe ?
3. Ni mbinu gani ambazo Lowasa ambaye kimsingi ameshakufa kisiasa alizitumia kushawishi baadhi ya management ya Mbowe na kupewa highest position kwenye nafasi ya marathon ya uraisi?
4. Ni kweli timu nzima ya Chadema iliridhia haya maamuzi? Kama ndio ni kwanini kina slaa walijiengua na usaliti huu?
5. Tunajua hakuna free lunch, je Edo alitoa nini ambacho kilishawishi wachache Kwenye chama na kumfanya kuwa muwakilishi wa chadema nafasi ya uraisi ? Kuna siri gani hapa, Mbowe ana majibu.
Ikiwa ameweza kuuza chama kwa duni thamani, atashindwaje kuuza nchi ?
Ikiwa ameweza kuditch wote waliosimamia chama katika misingi thabiti ya kutokomeza ufisadi na kumpa mtu ambaye hana histora yoyote katika chama, je tunamuweka kwenye kundi gani huyu bwana, ni Upi usaliti kati ya huu na wa ZZK ?
6. Je ni waTZ wangapi walishawahi kuhoji hili ? Au kumuhoji Mbowe ilikutoa majibu sahihi juu ya Usaliti wake .
Je ni upi usaliti kati ya Mbowe, Edo na Zitto?
Kupokea makapi ya CCM na kutoa nafasi za juu? There must be something behind. Na hili halijasahaulika katika vifua vya Wanachadema.
5. Lowasa amerudi CCM, je ni waTZ wangapi wamehoji kigeugeu hiki , je alifuata nini Chadema ? ameondoka na siri ngapi za chama ambazo atazipeleka kwa mamlaka za juu ? na je ame share siri ngapi za CCM na serikali husika katika mamlaka ya Chadema ?
Pamoja na yote hayo hutosikia hata siku moja Lowasa akiitwa Msaliti wala Mbowe akiitwa msaliti —Tafakari Mtanzania.
Narudia tena kusema Tanzania hakuna upinzani bali kuna matapeli na wafia njaa.
CCM sio chama bora tena kwetu kimeshindwa kuibadilisha nchi badala yake kila shughuli za maendeleo zinafanywa kisiasa.
leo ukitembea maeneo mengi utaona barabara zinajengwa, barabara za mwendokasi wa mbagala zimeshaanza bila ya kujali kuwa mradi wa awali upo mbioni kuzkwa na hakuna anayehoji.
Jafo alikuja kisiasa kuzima kelele za mwendokasi na hutosikia tena baada ya siku ile, lakini bora ya shida za CCM kuliko upinzani uchwara wa nchi hii.
Nina imani upinzani utazaliwa TZ wapinzani ambao watakuwa na nia ya dhati ya kuingia ikulu, upinzani ambao kwa hakika utataka kuleta Mabadiliko ya kweli, upinzani wenye tija bila kujali dini wala ukabila.
TAFAKARI!
Sunday 31, March 2019
-----------------------
Lakini je ilikuwa