Mama kwa majungu wewe hujambo, najina lako lina akisi tabia yako mbaya.Kuna kambi tatu za kugombea Urais chadema
Kambi ya Dk. Slaa
Kambi ya Mbowe
Kamba ya Zitto
kila kambi ina wafuasi wake lakini wanachadema hawataki siri hii itoke ingawa itakibomoa chama wakati wa kuelekea uchaguzi mwaka 2015
Nimesikitishwa saana na habari zilizo enea na kutangazwa na vyombo vya habari siku ya leo kuwa naibu katibu mkuu ana mpango wa kugombe urais, siyo kwamba nimesikitishwa na nia yake! Bali timing yake, hivi ni kweli mheshimiwa ameona huu ndio wakati muafaka kutangaza nia au kuna ajenda nyingine? Kwa kweli I was so furious with the breaking news, kama ni kweli mheshimiwa Zitto umeona ni muda muafaka nitakuwa na wasiwasi na weredi wako! Kila jambo lina majira yake mheshimiwa Zitto!
Sio kuwa hustahiri ila muda huu concentration nadhani imekuwa ni uchaguzi wa Arumeru, imekuwaje wewe ukaona tena ndio muda wako muafaka kwa ajiri ya kutangaza nia yako ya kugombea urais! Au kuna ajenda nyingine? Manaake the attention will definitely be drifted from Arumeru mpaka hoja yako, what is that?huelewi kuwa results zake zitakuwa mbaya?
Kwa kweli nimeanza kuwa na wasiwasi na baadhi ya viongozi kwenye vyama vya upinzani, nilifikiri lengo la vyama ni kuwa na sera mbadara za kumkomboa mtanzania, kumbe naanza kuwa na mashaka, lakini hata kama umewekwa pandikizi, I think you need to be a very introspective pandikizi and muono wako usiwe wa kiafrica I mean thinking of only tomorrow, but uwe unaenda mbali zaidi think of atleast 20 yrs ahead, I can assure you the day will come the rotten System will have to go! Dont be among the leaders who will have to go with the rotten system.
Sory kwa kuandika ujumbe mzito namna hii , ila kwa kweli nimesikitika na kwa kuwa mimi ni mpenzi wa mageuzi without a party,but, you have made me doubt your party if you really have good intentions with our mourning nation.
Nawasilisha
Mtamchukia sana ZITO lakini ana haki ya kuomba au kuwa na nia ya kugombea uongozi wowote katika Taifa hili ili mradi awe na ridhaa ya chama/wanachi na akidhi vigezo.
Ninashangaa sana wana CDM wanaotaka madaraka yaendelee kama ufalme!
Ikumbukwe kwamba ZITTO ndiye aliyekijenga na kukiimarisha chama na kikawa na mvuto kwa wengine kujiunga nacho.
Acheni ulimbukeni na upuuzi, kubalini mabadiliko na hamtastawisha demokrasia katika chama kama mtaendeleza monopoly ya kuiongozi kama mnavyotaka nyie.
Jamani,jamani! Mbona tunapanic? Mbona tunaenda mbali hivyo? Zitto hajaita waandishi wa habari na kusema anagombea urais,kilichotokea ni kuulizwa katikati wa mahojiano kama bwana zitto ana nia ya kuwa rais hapo baadae na yeye akajibu urais anautaka akipata fursa! Ss tatizo liko wapi? Hata mimi ningeulizwa ningejibu kama alivyojibu bwana zitto though timing yangu ni 2035 kupitia cdm.
Juma labda hujanielewa, ni kwamba huwezi kuima huku unakula, labda uwe mtu wa miujiza, sasa ni wakati wa ku campaign huko ARMR sasa kwa nini hata kama unahojiwa usiseme nitaongelea kwa wakati muafaka? nadhani hebu tuwe na majibu yanayotakiwa kwenda na wakati!
kupenda nako kukizidi mtu unakuwa kipofu wa akili,chadema kama chama makini hatuwezi tena kumtumaini slaa,mtu ambae anaburutwa hata na hawara yake kiasi cha kuwa na maamuzi ataiweza nchi?kwa yeyote mwenye nia njema na chadema hawezi kumpisha slaa.kwa wanaokumbuka jinsi gani hawara wa slaa alipata ubunge kibabe na bila nidhamu,watakubaliana na mimi kwamba kama zitto hafai ni afadhali mbowe arudi ulingoni.jamani matatizo ya slaa ni makubwa ndugu zanguni tukificha maradhi kifo kitatuumbua.