Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Mbunge akifariki Dunia analetwa ndani ya Bunge na kuagwa. Hata Mbunge awe amefariki akiwa nje ya Nchi huletwa Bungeni. Mbunge Mama G Lwakatare ( Mungu amrehemu ) anazikwa na Serikali na hataagwa na Wabunge wenzake. Serikali inasema SIO #COVID19TZA