kenethedmund
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 347
- 89
Mwenyekiti wa kama ti ya PAC Zitto Kabwe alikuwa wa kwanza kuvishukia vyama vya siasa kuwa mahesabu yake hayajakaguliwa na CAG lakini kwenye Taarifa ya Kamati yake iliyopelekwa Bungeni inasema sababu kuu ya kutokukaguliwa mahesabu ya vyama hivi vya siasa ni Serikali kushindwa kumpatia fedha CAG ili kumuwezesha kukagua hivi vyama vya siasa (Tundu Lissu ali quote kutoka kwenye taarifa waliyoiandaa wao wenyewe).
IKIWA HILI HALITOSHI
Zitto huyuhuyu alisema ana majina na A/C No. za watu walioficha fedha Uswisi mara kwa mara alipokuwa akiitwa kwenye kamati amekuwa akitoa visingizio vingi sana vya kutofika mbele ya kamati hiyo. Mpaka ilipopelekea Serikali kupitia Mwanasheria mkuu ilipomuhoji na kula kiapo akikiri kuwa hakuna lolote analojua kuhu fedha hizo. Akiwa amepoteza muda wa Wananchi wengi ambao tulitaka watu hawa wafikishwe kwenye vyombo vya dola na fedha hizo ijulikane walizipataje.
Zitto hafai kuwa Mbunge kwani anatafuta umaarufu kwenye hoja potofu na za kizushi. Kwa mchezo huu Zitto anaowachezea watanzania kwa kutumia upotoshaji mkubwa anapaswa kuwajibishwa hawezi chezea akili zetu kiasi hiki.
Nawasilisha
IKIWA HILI HALITOSHI
Zitto huyuhuyu alisema ana majina na A/C No. za watu walioficha fedha Uswisi mara kwa mara alipokuwa akiitwa kwenye kamati amekuwa akitoa visingizio vingi sana vya kutofika mbele ya kamati hiyo. Mpaka ilipopelekea Serikali kupitia Mwanasheria mkuu ilipomuhoji na kula kiapo akikiri kuwa hakuna lolote analojua kuhu fedha hizo. Akiwa amepoteza muda wa Wananchi wengi ambao tulitaka watu hawa wafikishwe kwenye vyombo vya dola na fedha hizo ijulikane walizipataje.
Zitto hafai kuwa Mbunge kwani anatafuta umaarufu kwenye hoja potofu na za kizushi. Kwa mchezo huu Zitto anaowachezea watanzania kwa kutumia upotoshaji mkubwa anapaswa kuwajibishwa hawezi chezea akili zetu kiasi hiki.
Nawasilisha