Uchaguzi 2020 Zitto kuwa mkweli, acha janja janja, CCM imefanikiwa

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Jul 17, 2019
322
645
Na Elius Ndabila

Leo chama cha ACT Wazalendo kinachoongozwa na Mh ZITTO KABWE wamezindua ilani yao ya uchaguzi baada ya makubaliano yao ya kuungana dhidi ya CCM kugonga Mwamba. Katika hafla hiyo ya kuzindua ilani yao, pamoja na wazungumzaji wengine Mh KABWE amezungumza mambo mengi ili kujaribu kuudanganya Umma na kuichafua taswira ya CCM na Serikali yake.

ZITTO KABWE amesema kuwa kwa kipindi cha miaka mitano serikali ya CCM imetekeleza asilimia 31 tu ya yale ambayo yaliandikwa kwenye Ilani na asilimia 69 eti hayakutekelezwa. Good! Inawezekana KABWE akawa sahihi lakini hajaeleza kwa nini anadhani hayakutekelezwa.

Nimkumbushe Mh ZITTO kuwa wakati hayo mengine inayodai hayakutekelezwa na yaliandikwa basi pia yapo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Ilani na yametekelezwa.


Tafiti zinaonyesha wazi kuwa Tangu nchi ipate uhuru basi hakuna kipindi cha miaka mitano ya kiongozi yeyote kilichowahi kufanya kazi kubwa kama kipindi hiki cha JPM. Nikukumbushe machache ambayo ameyatekeleza na hayakuandikwa kwenye Ilani ambayo kwa tafsiri yangu ndiyo yalienda kufanya *substitution* ya yale ambayo kwa tafsiri yako umesema hayakutekelezwa.


Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kipengele cha Elimu bure, lakini Mh Rais na serikali yake wamefanya hivyo. Wametoa elimu bure, wameboresha majengo na kujenga shule mpya na vyuo.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na mradi mkubwa wa Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Nyerere ambako fedha nyingi zimeelekezwa. Pamoja na hayo kwenye Ilani ya CCM kulikuwa na kuboreshwa kwa miundombinu lakini hakukuwa na ujenzi wa Reli ya Umeme kutoka Dar kwenda Mwanza ambayo inatumia trilioni of money.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kuhamishia makao makuu ya nchi kwenda Dodoma lakini kwa miaka mitano mfupa uliowashinda wote JPM amefanya.

Kwenye Ilani ya CCM kuliandikwa kuboreshwa kwa mawasiliano, lakini haikuandikwa kufufua usafiri wa Anga. Mwanaume kwa miaka mitano amenunua ndege 11 ambazo hata wewe unazitumia unapoenda Kigoma.


Kwenye Ilani ya CCM haikuandikwa kuwa ataziba mianya ya watu kwenda kutibiwa India na kuboresha hospitali zetu, lakini JPM alipoingia aliona umuhimu wa hilo akaamua kuongeza bajeti kwenye afya na kuboresha hospitali zetu za ndani. Leo ukienda Mhimbili wanafanya opareshi ambazo mwanzo tulitumia fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Hii haihitaji kwenda shule kusoma.

Ninatambua Mh Kabwe unakumbuka pia kuwa kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na daraja la juu la Ubungo, terminal three na viwanja mbalimbali mbali vya ndege lakni JPM amefanya.


Mh ZITTO kwa kuwa ni msomaji mzuri wa Ilani ya CCM, basi kwa leo nikupe haya tu ili kukufahamusha kuwa wakati hayo mengine hayajatekelezwa ikiwepo milioni 50 kwenye kila kijiji,basi mambo makubwa zaidi yamefanyika ambayo hata kwenye Ilani hayakuandikwa.

Hivyo basi unapolalamika kuwa haya hayakutekelezwa, basi ilipaswa uwaambie pia yaliyotekelezwa lakini hayakuandikwa. Vinginevyo kuongea juu juu ni kuacha ombwe na kuweka uhalali kana kwamba kushindwa kufanya yaliyoandikwa kwenye Ilani basi hawakufanya chochote.
 
Mmefeli sana tutaje machache.
  1. Mmeshindwa kutoa 50 milion kila kijiji
  2. Mmeshindwa kutoa laptop kwa kila mwalimu
  3. Mmeshindwa kuongeza mishahara na nyongeza zake kwa miaka mitano
 
Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na mradi mkubwa wa Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Nyerere ambako fedha nyingi zimeelekezwa. Pamoja na hayo kwenye Ilani ya CCM kulikuwa na kuboreshwa kwa miundombinu lakini hakukuwa na ujenzi wa Reli ya Umeme kutoka Dar kwenda Mwanza ambayo inatumia trilioni of money.
Sasa Kama hamkuahidi na mkakimbilia kufanya ya Nini kulia Lia? Si ki mbele mbele chenu?
Wewe umeniahidi nikiongoza darasani utanipa zawadi ya pipi, Sasa nimeongoza ukaninunulia baiskeli, Sasa kikifika kipindi cha kwenda shule, nakuomba hell ya uniform unaniambia huoni Kama nilikununulia zawadi ya baiskeli wakati nilikuahidi pipi?

Majirani wakilalamika kuwa hujatimiza ahadi zako, unalialia
 
Acha ujinga mkuu... Km flyover yote uliyoyataja yalikuwepo kwenye ilani ya ccm...

Tena Zitto ameipendelea sana CCM ukweli ni kua wametekeleza 10% tu ya ilani yao

Miaka 60 ya Uhuru bado CCM wanajifunza kuongoza.. Sasa baaasssss watz wanataka mabadiriko
 
Mmefeli sana tutaje machache.
  1. Mmeshindwa kutoa 50 milion kila kijiji
  2. Mmeshindwa kutoa laptop kwa kila mwalimu
  3. Mmeshindwa kuongeza mishahara na nyongeza zake kwa miaka mitano
1.Kuhusu million 50 kila kijiji

Sio lazima itolewe million 50 kila kijiji, inaweza tolewa kwa kupelekewa umeme, maji, huduma za afya, elimu bure, madarasa,maabara, vyoo nk.

Fikiria hivyo vyote kwa kimoja kimoja vinathamani gani? Huwezi peleka maji,umeme,huduma za afya,elimu bure kwa million 50.

Magufuli amefanya kazi kubwa sana.

2.Kuhusu laptop kwa kila mwalimu

Huwezi kutoa laptop kwa kila mwalimu wakati wanafunzi wanakaa chini, learning and teaching environment should be the same.

Itakuwa dhambi mbaya sana mwalimu awe na laptop mwanafunzi akae chini angalau basi kila shule ingekuwa na computer Lab ambazo both of them watatumia

3.Kutokuongeza mishahara na kupandishwa madaraja

Sisi watanzania ni wajinga na wabaguzi sana, majukwaani tunalilia haki na usawa ila tunashindwa kwenye ukelezaji tu.

Usawa angalau kila mtu awe anaishi kwenye mazingira ambayo wewe pia unaweza kuishi hapa hatuzungumzii madaraka.

Mheshimiwa Magufuli amefanya kila mwanafunzi aweze kusoma kwenye mazingira safi ambayo hata wewe mwalimu unaweza pata nguvu ya kufundisha, wewe mfanyakazi wa utumishi wa umma usipelekeshwe na kunyanyaswa ovyo katika utumishi wako, kujua haki zako, uwajibikaji na kutendewa haki. Wangapi walidhulumiwa viwanja, nyumba na sasa hivi tangu mheshimiwa Magufuli aingie madarakani wamerudishiwa wenye navyo?

Tazama sekta ya afya uwajibikaji, wizi serikalini angalau umepungua, uwajibikaji wa vyombo vya ulinzi na usalama n.k

Magufuli amefanya mengi acheni kudanganya watanzania.

Ili uweze kuchaguliwa kuwa kiongozi ni lazima uappreaciate kazi zilizofanywa na mwenzako na wewe useme nitafanya zaidi ya alichokifanya Magufuli kwa kufanya hiki na kile si kupinga pinga tu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hali halisi ya chama cha baba mwenye nyumba alieyumba!
Egmtp-WWoAE_XGt.jpg
 
Kilichoiweka ccm madarakani ni ilani yao kama unavyojisifia kuwa magufuli kafanya vitu nje ya ilani maana yake kaenda kinyume na ahadi alizotoa kwa wananchi na wakampa ridhaa ,Kwa mantiki hiyo hafai kuwa kiongozi maana kaenda kinyume na alivyoahidi na sisi wananchi tulimpa mkataba baada ya kusikia ahadi zake
1.Kuhusu million 50 kila kijiji

Sio lazima itolewe million 50 kila kijiji, inaweza tolewa kwa kupelekewa umeme, maji, huduma za afya, elimu bure, madarasa,maabara, vyoo nk.

Fikiria hivyo vyote kwa kimoja kimoja vinathamani gani? Huwezi peleka maji,umeme,huduma za afya,elimu bure kwa million 50.

Magufuli amefanya kazi kubwa sana.

2.Kuhusu laptop kwa kila mwalimu

Huwezi kutoa laptop kwa kila mwalimu wakati wanafunzi wanakaa chini, learning and teaching environment should be the same.

Itakuwa dhambi mbaya sana mwalimu awe na laptop mwanafunzi akae chini angalau basi kila shule ingekuwa na computer Lab ambazo both of them watatumia

3.Kutokuongeza mishahara na kupandishwa madaraja

Sisi watanzania ni wajinga na wabaguzi sana, majukwaani tunalilia haki na usawa ila tunashindwa kwenye ukelezaji tu.

Usawa angalau kila mtu awe anaishi kwenye mazingira ambayo wewe pia unaweza kuishi hapa hatuzungumzii madaraka.

Mheshimiwa Magufuli amefanya kila mwanafunzi aweze kusoma kwenye mazingira safi ambayo hata wewe mwalimu unaweza pata nguvu ya kufundisha, wewe mfanyakazi wa utumishi wa umma usipelekeshwe na kunyanyaswa ovyo katika utumishi wako, kujua haki zako, uwajibikaji na kutendewa haki. Wangapi walidhulumiwa viwanja, nyumba na sasa hivi tangu mheshimiwa Magufuli aingie madarakani wamerudishiwa wenye navyo?

Tazama sekta ya afya uwajibikaji, wizi serikalini angalau umepungua, uwajibikaji wa vyombo vya ulinzi na usalama n.k

Magufuli amefanya mengi acheni kudanganya watanzania.

Ili uweze kuchaguliwa kuwa kiongozi ni lazima uappreaciate kazi zilizofanywa na mwenzako na wewe useme nitafanya zaidi ya alichokifanya Magufuli kwa kufanya hiki na kile si kupinga pinga tu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Huyu anazeeshwa na chuki ya kuzaliwa na usaliti

FB_IMG_1585745466092.jpg
 

Attachments

  • FaceApp_1593604885154.jpg
    FaceApp_1593604885154.jpg
    12.8 KB · Views: 1
Acha ujinga mkuu..... Km flyover yote uliyoyataja yalikuwepo kwenye ilani ya ccm...

Tena Zitto ameipendelea sn ccm ukweli ni kua wametekeleza 10% tu ya ilani yao

Miaka 60 ya Uhuru bado ccm wanajifunza kuongoza.... Sasa baaasssss watz wanataka mabadiriko
10% waitoe wapi? Mimi ningewapa 1%
Sijaona chochote cha maana kimefanywa na CCM! Hakuna zaidi ya hizo white elephant projects, kuharibu familia za watu kwa kuwatenganisha na familia ZAO, kuwafukuzisha watu kazi na kesi za kubambikizia watu, hilo wamefaulu 99%
 
Na Elius Ndabila

Leo chama cha ACT Wazalendo kinachoongozwa na Mh ZITTO KABWE wamezindua ilani yao ya uchaguzi baada ya makubaliano yao ya kuungana dhidi ya CCM kugonga Mwamba. Katika hafla hiyo ya kuzindua ilani yao, pamoja na wazungumzaji wengine Mh KABWE amezungumza mambo mengi ili kujaribu kuudanganya Umma na kuichafua taswira ya CCM na Serikali yake.

ZITTO KABWE amesema kuwa kwa kipindi cha miaka mitano serikali ya CCM imetekeleza asilimia 31 tu ya yale ambayo yaliandikwa kwenye Ilani na asilimia 69 eti hayakutekelezwa. Good! Inawezekana KABWE akawa sahihi lakini hajaeleza kwa nini anadhani hayakutekelezwa.

Nimkumbushe Mh ZITTO kuwa wakati hayo mengine inayodai hayakutekelezwa na yaliandikwa basi pia yapo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Ilani na yametekelezwa.


Tafiti zinaonyesha wazi kuwa Tangu nchi ipate uhuru basi hakuna kipindi cha miaka mitano ya kiongozi yeyote kilichowahi kufanya kazi kubwa kama kipindi hiki cha JPM. Nikukumbushe machache ambayo ameyatekeleza na hayakuandikwa kwenye Ilani ambayo kwa tafsiri yangu ndiyo yalienda kufanya *substitution* ya yale ambayo kwa tafsiri yako umesema hayakutekelezwa.


Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kipengele cha Elimu bure, lakini Mh Rais na serikali yake wamefanya hivyo. Wametoa elimu bure, wameboresha majengo na kujenga shule mpya na vyuo.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na mradi mkubwa wa Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Nyerere ambako fedha nyingi zimeelekezwa. Pamoja na hayo kwenye Ilani ya CCM kulikuwa na kuboreshwa kwa miundombinu lakini hakukuwa na ujenzi wa Reli ya Umeme kutoka Dar kwenda Mwanza ambayo inatumia trilioni of money.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kuhamishia makao makuu ya nchi kwenda Dodoma lakini kwa miaka mitano mfupa uliowashinda wote JPM amefanya.

Kwenye Ilani ya CCM kuliandikwa kuboreshwa kwa mawasiliano, lakini haikuandikwa kufufua usafiri wa Anga. Mwanaume kwa miaka mitano amenunua ndege 11 ambazo hata wewe unazitumia unapoenda Kigoma.


Kwenye Ilani ya CCM haikuandikwa kuwa ataziba mianya ya watu kwenda kutibiwa India na kuboresha hospitali zetu, lakini JPM alipoingia aliona umuhimu wa hilo akaamua kuongeza bajeti kwenye afya na kuboresha hospitali zetu za ndani. Leo ukienda Mhimbili wanafanya opareshi ambazo mwanzo tulitumia fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Hii haihitaji kwenda shule kusoma.

Ninatambua Mh Kabwe unakumbuka pia kuwa kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na daraja la juu la Ubungo, terminal three na viwanja mbalimbali mbali vya ndege lakni JPM amefanya.


Mh ZITTO kwa kuwa ni msomaji mzuri wa Ilani ya CCM, basi kwa leo nikupe haya tu ili kukufahamusha kuwa wakati hayo mengine hayajatekelezwa ikiwepo milioni 50 kwenye kila kijiji,basi mambo makubwa zaidi yamefanyika ambayo hata kwenye Ilani hayakuandikwa.

Hivyo basi unapolalamika kuwa haya hayakutekelezwa, basi ilipaswa uwaambie pia yaliyotekelezwa lakini hayakuandikwa. Vinginevyo kuongea juu juu ni kuacha ombwe na kuweka uhalali kana kwamba kushindwa kufanya yaliyoandikwa kwenye Ilani basi hawakufanya chochote.

CCM imefeli sana na moja ya hayo angalia barabara kuu hii:

Lissu tembelea Rusahunga - Rusumo haraka iwezekanavyo

IMG_20200808_073721_332.jpg


Kumeshakucha. Kukumbuka shuka saa hizi hakuta waacha salama.
 
10% waitoe wapi? Mimi ningewapa 1%
Sijaona chochote cha maana kimefanywa na CCM! Hakuna zaidi ya hizo white elephant projects, kuharibu familia za watu kwa kuwatenganisha na familia ZAO, kuwafukuzisha watu kazi na kesi za kubambikizia watu, hilo wamefaulu 99%
Msumari huu hauchomoki.... 🤣🤣

Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
 
Na Elius Ndabila

Leo chama cha ACT Wazalendo kinachoongozwa na Mh ZITTO KABWE wamezindua ilani yao ya uchaguzi baada ya makubaliano yao ya kuungana dhidi ya CCM kugonga Mwamba. Katika hafla hiyo ya kuzindua ilani yao, pamoja na wazungumzaji wengine Mh KABWE amezungumza mambo mengi ili kujaribu kuudanganya Umma na kuichafua taswira ya CCM na Serikali yake.

ZITTO KABWE amesema kuwa kwa kipindi cha miaka mitano serikali ya CCM imetekeleza asilimia 31 tu ya yale ambayo yaliandikwa kwenye Ilani na asilimia 69 eti hayakutekelezwa. Good! Inawezekana KABWE akawa sahihi lakini hajaeleza kwa nini anadhani hayakutekelezwa.

Nimkumbushe Mh ZITTO kuwa wakati hayo mengine inayodai hayakutekelezwa na yaliandikwa basi pia yapo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Ilani na yametekelezwa.


Tafiti zinaonyesha wazi kuwa Tangu nchi ipate uhuru basi hakuna kipindi cha miaka mitano ya kiongozi yeyote kilichowahi kufanya kazi kubwa kama kipindi hiki cha JPM. Nikukumbushe machache ambayo ameyatekeleza na hayakuandikwa kwenye Ilani ambayo kwa tafsiri yangu ndiyo yalienda kufanya *substitution* ya yale ambayo kwa tafsiri yako umesema hayakutekelezwa.


Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kipengele cha Elimu bure, lakini Mh Rais na serikali yake wamefanya hivyo. Wametoa elimu bure, wameboresha majengo na kujenga shule mpya na vyuo.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na mradi mkubwa wa Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Nyerere ambako fedha nyingi zimeelekezwa. Pamoja na hayo kwenye Ilani ya CCM kulikuwa na kuboreshwa kwa miundombinu lakini hakukuwa na ujenzi wa Reli ya Umeme kutoka Dar kwenda Mwanza ambayo inatumia trilioni of money.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kuhamishia makao makuu ya nchi kwenda Dodoma lakini kwa miaka mitano mfupa uliowashinda wote JPM amefanya.

Kwenye Ilani ya CCM kuliandikwa kuboreshwa kwa mawasiliano, lakini haikuandikwa kufufua usafiri wa Anga. Mwanaume kwa miaka mitano amenunua ndege 11 ambazo hata wewe unazitumia unapoenda Kigoma.


Kwenye Ilani ya CCM haikuandikwa kuwa ataziba mianya ya watu kwenda kutibiwa India na kuboresha hospitali zetu, lakini JPM alipoingia aliona umuhimu wa hilo akaamua kuongeza bajeti kwenye afya na kuboresha hospitali zetu za ndani. Leo ukienda Mhimbili wanafanya opareshi ambazo mwanzo tulitumia fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Hii haihitaji kwenda shule kusoma.

Ninatambua Mh Kabwe unakumbuka pia kuwa kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na daraja la juu la Ubungo, terminal three na viwanja mbalimbali mbali vya ndege lakni JPM amefanya.


Mh ZITTO kwa kuwa ni msomaji mzuri wa Ilani ya CCM, basi kwa leo nikupe haya tu ili kukufahamusha kuwa wakati hayo mengine hayajatekelezwa ikiwepo milioni 50 kwenye kila kijiji,basi mambo makubwa zaidi yamefanyika ambayo hata kwenye Ilani hayakuandikwa.

Hivyo basi unapolalamika kuwa haya hayakutekelezwa, basi ilipaswa uwaambie pia yaliyotekelezwa lakini hayakuandikwa. Vinginevyo kuongea juu juu ni kuacha ombwe na kuweka uhalali kana kwamba kushindwa kufanya yaliyoandikwa kwenye Ilani basi hawakufanya chochote.
Zitto ni mnafiki sana ila mjanja wa kuchenga watu.
Zitto pia anetumia mwaka 82015 kama benchmark ya kukosoa utendaji wa JPM kwa kipindi cha miaka 5 lakini amekwepa kutumia mwaka huo huo 2015 kuelezea yale maeneo ambayo JPM amefanya vizuri sana. Mfano:
1. Mapato ya serikali katika sekta ya madini mwaka 2019 yalikuwa makubwa kuliko mwaka 2015 lakini hili amelikwepa.
2. Kwa miaka 5 hadi 2020 kilometa ngapi za barabara zimejengwa kwa lami ikilinganishwa na kilometa zilizokuwepo mwaka 2015.
Ukarabati wa reli ya kati na ujenzi wa relii mpya hadi mwaka 2020 kwa kulinganisha na mwaka 2015.
3. Hospitali ngapi za wilaya na mikoa zilizojengwa kwa miaka 5 kulinganisha na zilizokuwepo mwaka 2015.
4. Mikataba mibovu JPM aliyoifuta au kuirekebisha kama ule wa bandari ya Bagamoyo ambao ungeua bandari zetu zingine.

5. Zitto hajaeleza makusanyo ya kodi mwaka 2015 yalikuwa shilingi ngapi na sasa 2020 ni shilingi ngapi. Amekwepa kwa sababu anajua JPM amefanikiwa sana kuongeza ukusanyaji wa mapato ya kodi.

Zitto yeye mwenyewe kwa maneno yake aliwahi kusema kuwa kila mwaka huwa anapanga atafanya nini kama mbunge na mwisho wa mwaka anatathmini na alisema kuna mambo huwa anafanikisha na kuna mambo huwa anakuwa ameshindwa kutekeleza. Lakini kasahau hayo maneno yake na sasa anavalia njuga kutokutekelezwa kwa baadhi tu ya ilani ya CCM.

Kwa kuwa aliamua kuchambua tena kwa kutaja maeneo basi angetaja pia maeneo ambayo Serikali ya JPM imefanikiwa katika kutekeleza ilani hiyo hiyo.
 
1.Kuhusu million 50 kila kijiji

Sio lazima itolewe million 50 kila kijiji, inaweza tolewa kwa kupelekewa umeme, maji, huduma za afya, elimu bure, madarasa,maabara, vyoo nk.

Fikiria hivyo vyote kwa kimoja kimoja vinathamani gani? Huwezi peleka maji,umeme,huduma za afya,elimu bure kwa million 50.

Magufuli amefanya kazi kubwa sana.

2.Kuhusu laptop kwa kila mwalimu

Huwezi kutoa laptop kwa kila mwalimu wakati wanafunzi wanakaa chini, learning and teaching environment should be the same.

Itakuwa dhambi mbaya sana mwalimu awe na laptop mwanafunzi akae chini angalau basi kila shule ingekuwa na computer Lab ambazo both of them watatumia

3.Kutokuongeza mishahara na kupandishwa madaraja

Sisi watanzania ni wajinga na wabaguzi sana, majukwaani tunalilia haki na usawa ila tunashindwa kwenye ukelezaji tu.

Usawa angalau kila mtu awe anaishi kwenye mazingira ambayo wewe pia unaweza kuishi hapa hatuzungumzii madaraka.

Mheshimiwa Magufuli amefanya kila mwanafunzi aweze kusoma kwenye mazingira safi ambayo hata wewe mwalimu unaweza pata nguvu ya kufundisha, wewe mfanyakazi wa utumishi wa umma usipelekeshwe na kunyanyaswa ovyo katika utumishi wako, kujua haki zako, uwajibikaji na kutendewa haki. Wangapi walidhulumiwa viwanja, nyumba na sasa hivi tangu mheshimiwa Magufuli aingie madarakani wamerudishiwa wenye navyo?

Tazama sekta ya afya uwajibikaji, wizi serikalini angalau umepungua, uwajibikaji wa vyombo vya ulinzi na usalama n.k

Magufuli amefanya mengi acheni kudanganya watanzania.

Ili uweze kuchaguliwa kuwa kiongozi ni lazima uappreaciate kazi zilizofanywa na mwenzako na wewe useme nitafanya zaidi ya alichokifanya Magufuli kwa kufanya hiki na kile si kupinga pinga tu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ahadi ni deni
Mlitudanganya na bado mtatudanganya
Mashetani ninyi
 
Na Elius Ndabila

Leo chama cha ACT Wazalendo kinachoongozwa na Mh ZITTO KABWE wamezindua ilani yao ya uchaguzi baada ya makubaliano yao ya kuungana dhidi ya CCM kugonga Mwamba. Katika hafla hiyo ya kuzindua ilani yao, pamoja na wazungumzaji wengine Mh KABWE amezungumza mambo mengi ili kujaribu kuudanganya Umma na kuichafua taswira ya CCM na Serikali yake.

ZITTO KABWE amesema kuwa kwa kipindi cha miaka mitano serikali ya CCM imetekeleza asilimia 31 tu ya yale ambayo yaliandikwa kwenye Ilani na asilimia 69 eti hayakutekelezwa. Good! Inawezekana KABWE akawa sahihi lakini hajaeleza kwa nini anadhani hayakutekelezwa.

Nimkumbushe Mh ZITTO kuwa wakati hayo mengine inayodai hayakutekelezwa na yaliandikwa basi pia yapo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Ilani na yametekelezwa.


Tafiti zinaonyesha wazi kuwa Tangu nchi ipate uhuru basi hakuna kipindi cha miaka mitano ya kiongozi yeyote kilichowahi kufanya kazi kubwa kama kipindi hiki cha JPM. Nikukumbushe machache ambayo ameyatekeleza na hayakuandikwa kwenye Ilani ambayo kwa tafsiri yangu ndiyo yalienda kufanya *substitution* ya yale ambayo kwa tafsiri yako umesema hayakutekelezwa.


Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kipengele cha Elimu bure, lakini Mh Rais na serikali yake wamefanya hivyo. Wametoa elimu bure, wameboresha majengo na kujenga shule mpya na vyuo.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na mradi mkubwa wa Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Nyerere ambako fedha nyingi zimeelekezwa. Pamoja na hayo kwenye Ilani ya CCM kulikuwa na kuboreshwa kwa miundombinu lakini hakukuwa na ujenzi wa Reli ya Umeme kutoka Dar kwenda Mwanza ambayo inatumia trilioni of money.

Kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na kuhamishia makao makuu ya nchi kwenda Dodoma lakini kwa miaka mitano mfupa uliowashinda wote JPM amefanya.

Kwenye Ilani ya CCM kuliandikwa kuboreshwa kwa mawasiliano, lakini haikuandikwa kufufua usafiri wa Anga. Mwanaume kwa miaka mitano amenunua ndege 11 ambazo hata wewe unazitumia unapoenda Kigoma.


Kwenye Ilani ya CCM haikuandikwa kuwa ataziba mianya ya watu kwenda kutibiwa India na kuboresha hospitali zetu, lakini JPM alipoingia aliona umuhimu wa hilo akaamua kuongeza bajeti kwenye afya na kuboresha hospitali zetu za ndani. Leo ukienda Mhimbili wanafanya opareshi ambazo mwanzo tulitumia fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Hii haihitaji kwenda shule kusoma.

Ninatambua Mh Kabwe unakumbuka pia kuwa kwenye Ilani ya CCM hakukuwa na daraja la juu la Ubungo, terminal three na viwanja mbalimbali mbali vya ndege lakni JPM amefanya.


Mh ZITTO kwa kuwa ni msomaji mzuri wa Ilani ya CCM, basi kwa leo nikupe haya tu ili kukufahamusha kuwa wakati hayo mengine hayajatekelezwa ikiwepo milioni 50 kwenye kila kijiji,basi mambo makubwa zaidi yamefanyika ambayo hata kwenye Ilani hayakuandikwa.

Hivyo basi unapolalamika kuwa haya hayakutekelezwa, basi ilipaswa uwaambie pia yaliyotekelezwa lakini hayakuandikwa. Vinginevyo kuongea juu juu ni kuacha ombwe na kuweka uhalali kana kwamba kushindwa kufanya yaliyoandikwa kwenye Ilani basi hawakufanya chochote.
ELIUS W NDABILA ,UDOM 2010-2013...COED MZEE WA ILEJE 0768......284
 
Back
Top Bottom