Abdull Kazi
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 317
- 246
Leo saa saba mchana wabunge wote wa CHADEMA watakutana kwa ajili ya kikao maalum kwao..miongoni mwa mambo wanayotaraji kujadili ni pamoja na utekelezaji wa uamuzi wa kamati kuu ya Chama juu ya kumvua Zitto Kabwe nafasi unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani, taarifa ya kikao hicho imetolewa na katibu wa wabunge wa CHADEMA David Silinde