Mzee Wa Sumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 643
- 68
Zito atakuwa wa mwisho kutoka chadema nyie angaikeni tu
Vipi ni mbinu yako ili kuona Zitto anaharibikiwa kama nyinyi masalia mlivhoharibikiwa? maana nasikia yeye ndo aliwashawishi af mlipotoswa yeye akajifanya hawafahamuZitto keshakata rufaa baraza kuu na dalili za mwanzo zinaonyesha Chadema hakuna mwenye ubavu wa kupinga hoja nzito zilizomo kwenye waraka wa rufaa.
MSUKULEZito atakuwa wa mwisho kutoka chadema nyie angaikeni tu
MSUKULE
Mwenzangu ni msukule!
Anawaza kimsukule!
Anaandika ili ale!
Watoto wasipige kelele!
Ma------ni ana chale!
Zilizomgeuza akili!
Anawaza kwa vidole!
Kamanda siwe mpole!
Kuna viwango vya misukule!
Hiki ndio cha kilele!
Shime shime ishimile!
Tuunusuru msukule!
Ahsante mkuu wanastahili kupigwa hata kwa mashairi!Haka kashairi kametulia
tumechoka kumjadili zitto humu. mvueni uongozi kisha mlisheni sumu afe.
tumechoka kumjadili zitto humu. mvueni uongozi kisha mlisheni sumu afe.
tumechoka kumjadili zitto humu. mvueni uongozi kisha mlisheni sumu afe.
Dada ana haiba ya kiume huyu.....na nahisi anawashwa,tuondolee ugamba wako hapa,ya CDM yanakuhusu nini?Dalili zote zinaonesha magwanda hawana ubavu kumfukuza Zitto na vyeo vyake vyote atarudishiwa.
Kawashinda mbinu.
Ahsante mkuu wanastahili kupigwa hata kwa mashairi!