security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Chama cha Demokrasi naMaendeleo (CHADEMA) Manispaa ya Kigoma/Ujiji wanatarajia kumpokea Mbunge waJimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe Desemba 21, mwaka huu.
Katibu Mwenezi wa Chamahicho, Haji Mbaga alisema Zitto atafika uwanja wa ndege uliyopo Manispaa yaKigoma/Ujiji siku hiyo asubuhi akitokea jijini Dar es Salaam na kupokelewa kwamaandamano hadi Kijiji cha Mwandiga ambapo atafanya mkutano wa hadhara katikaeneo la stendi ya mabasi
Katibu Mwenezi wa Chamahicho, Haji Mbaga alisema Zitto atafika uwanja wa ndege uliyopo Manispaa yaKigoma/Ujiji siku hiyo asubuhi akitokea jijini Dar es Salaam na kupokelewa kwamaandamano hadi Kijiji cha Mwandiga ambapo atafanya mkutano wa hadhara katikaeneo la stendi ya mabasi