Uchaguzi 2020 Zitto: Kura yangu nafasi ya Urais nitampigia Tundu Lissu (CHADEMA)

IMG_20201016_180935_5.jpg
IMG_20201016_173215_4.jpg
 
bora angenyamaza tu maaana anajishushia heshima na uaminifu ktk jamii, sisi tulidhani maamuzi ya kumteua membe yalikuwa maamuzi makini kumbe alikurupuka!! hili ndio tatizo kubwa la vyama vyote vya upinzani,kukurupuka.
 
Hakuna upinzani hapa,naona siasa za ujanja ujanja wa kihuni tu,CCM ina sababu milioni za kuendelea kuongoza JMT.
 
Wenda A. C. T wazalendo wana maakili mengi kuliko CHADEMA NDANI YA LOWASSA.


28 nina jambo langu na wafuasi wangu.
 
MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.

Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:

1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.

2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.

3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.

Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Natanguliza Shukran kwenu

Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
Asante Zitto.
Wewe ndiye waziri wa fedha ajaye

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Huo ni Uzalendo wa viwango vilivyotukuka.
Uzalendo kusaliti mgombea wa chama chako?
Zitto huyuhuyu aliyefukuzwa chadema kwa sababu za usaliti katika chama ila leo kasaliti chama chake et unamwita mzalendo!

Huyu tabia ya usaliti hatoacha.
 
Wewe uliharibu ACT kuweka mgombea. Sasa pale kwenye karatasi ya uchaguzi jina la Membe lipo. Yaani shaghala bagala wanasiasa wa TZ.
 
MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.

Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:

1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.

2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.

3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.

Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Natanguliza Shukran kwenu

Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
Mimi nipo upande wa zitto. Haya mateso ya watanzania hakuna mwingine aliyeleta zaidi ya ccm. Ni wakati muafaka kuua huu mfumo wa waliojiwekea
 
Kuvurugwa kwa kuamua kumpigia kura wanayemuona anastahili kuiongoza Tanzania!? 😳😳😳
Kinachofanya astahili kuongoza hii nchi ni nini? ni kwakuwa anaifokea sana ccm na magufuli wake? Au kwa kuwa tu ni mgombea wa chadema ambacho ni chama kikubwa cha upinzani?
 
Back
Top Bottom