W why JF-Expert Member Jun 23, 2012 203 82 Dec 13, 2013 #1 Wakati huu bungeni tutapeana updates soon akianza kuchangia
T TheDealer JF-Expert Member Nov 19, 2012 2,424 1,129 Dec 13, 2013 #2 Tunasubiri sana, maana hali ya hewa kuhusu integrity yake inazidi kuporomoka kila kukicha!
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Dec 13, 2013 #3 Asante kamanda why, tunasubiria updates tusikie akilia lia huyo mpuuzi aliyetufanya sisi watanzania ni wadanganyika Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Asante kamanda why, tunasubiria updates tusikie akilia lia huyo mpuuzi aliyetufanya sisi watanzania ni wadanganyika
mwekundu JF-Expert Member Mar 4, 2013 21,859 19,700 Dec 13, 2013 #4 we shall be waiting the saga,hii movie kama ya kihindi sterling anakufa then anafufuka kwenye maua
M minze manonu Member Nov 27, 2013 50 16 Dec 13, 2013 #5 Kama kweli amebainisha kuwa hana majina ya wezi basi umma utajua la kufanya juu yake
MTAZAMO JF-Expert Member Feb 8, 2011 19,640 33,421 Dec 13, 2013 #6 why said: Wakati huu bungeni tutapeana updates soon akianza kuchangia Click to expand... Itakuwa vema maana wengine tumeshindwa kutoa maoni yetu bila kwanza kumsikia yeye.
why said: Wakati huu bungeni tutapeana updates soon akianza kuchangia Click to expand... Itakuwa vema maana wengine tumeshindwa kutoa maoni yetu bila kwanza kumsikia yeye.
N ndomyana JF-Expert Member Jan 24, 2012 5,511 2,034 Dec 13, 2013 #7 Anatapatapa tu huyo kafulia kwishney
Makala Jr JF-Expert Member Aug 25, 2011 3,395 1,110 Dec 13, 2013 #8 Hatakiwi kujitetea bali atupatie facts!
POMPO JF-Expert Member Mar 12, 2011 6,690 2,400 Dec 13, 2013 #9 Aibu yake mwenyewe... na alivyo hana soni, 1. Ataikana kamati kama kawaida yake, yeye huwa ni mtu wa kukana 2. Kulia lia mbele ya jamii 3.Spika atambeba. loading........
Aibu yake mwenyewe... na alivyo hana soni, 1. Ataikana kamati kama kawaida yake, yeye huwa ni mtu wa kukana 2. Kulia lia mbele ya jamii 3.Spika atambeba. loading........
Rapherl JF-Expert Member Jun 20, 2012 3,504 2,254 Dec 13, 2013 #10 Chuki zidi ya Zitto zimewafanya muamini kwamba hakuna fedha zilizofichwa nje ya nchi Leo mmehairisha mapambano na CCM ili kumkomoa Zitto!,aibu yenu hii
Chuki zidi ya Zitto zimewafanya muamini kwamba hakuna fedha zilizofichwa nje ya nchi Leo mmehairisha mapambano na CCM ili kumkomoa Zitto!,aibu yenu hii
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Dec 13, 2013 #11 Anaweza kusema anazo,utakuja kuona wale wanafki wa jana wa CCM wanaojifanya wanamchukia wanaanza kumsifia tena
Anaweza kusema anazo,utakuja kuona wale wanafki wa jana wa CCM wanaojifanya wanamchukia wanaanza kumsifia tena
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,312 Dec 13, 2013 #12 Sibanduki hapa ili niunganishe data :ranger::ranger:
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,100 6,022 Dec 13, 2013 #15 Atasema haijui uswisi na wala hajawahi kukanyaga huko....!!
Exaud Mamuya JF-Expert Member Jul 26, 2011 403 242 Dec 13, 2013 #16 why said: Wakati huu bungeni tutapeana updates soon akianza kuchangia Click to expand... Imebidi nisogeze macho kwenye runinga ili kupata live huu upuuzi wake huku vidole vikicheza na computer.
why said: Wakati huu bungeni tutapeana updates soon akianza kuchangia Click to expand... Imebidi nisogeze macho kwenye runinga ili kupata live huu upuuzi wake huku vidole vikicheza na computer.
The Fixer JF-Expert Member Mar 3, 2008 1,365 583 Dec 13, 2013 #17 Zimeshapita dk 17 bado tu update na kuunganisha dots?
Exaud Mamuya JF-Expert Member Jul 26, 2011 403 242 Dec 13, 2013 #18 Ameshaingia chaka. Nafasi yake imechukuliwa na mbunge mwingine.
Exaud Mamuya JF-Expert Member Jul 26, 2011 403 242 Dec 13, 2013 #19 Hivyo kwa mujibu wa mwenyekiti wa kikao zitto hayuko tena kwenye list ya wachangiaji.
data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,137 22,709 Dec 13, 2013 #20 huyu kiumbe Zitto huyuu..!! Em tusubiri.