Zitto kila siku unaibuka na sababu mpya: Unadhalilisha taaluma na kujiharibia

SDP_TZ_Mpya

Senior Member
Jun 21, 2013
166
77
Mwanzo alisema anashutumiwa kuuza majimbo, kuishtaki CDM kwa CAG na kutoshiriki operesheni. Baadae kasema amehusishwa na waraka ambao yeye haufahamu. Sasa anakuja na masuala ya mabilioni ya Uswisi na kumhujumu Bungeni.

Ndio maana wenye upeo wamemwonya Zitto na wenzake waache kuongea ongea na vyombo vya habari. Msingi wake ni kuwa kama kweli Zitto anaomba msamaha wa dhati kauli zake zinaweza "kuisaidia" ku-influence maamuzi yatakayotokana na utetezi wao wa siku 14 baada ya barua.

Mbele ya wanahabari pale Serena Hotel, Zitto hakuwahi kutamka kuwa CDM na mafisadi wa CCM na serikali kwa ujumla eti wameshirikiana kumfukuza ili kukwamisha ufuatiliaji wa mabilioni ya Uswisi na kupooza Bunge km alivyoeleza kwenye kipindi cha Makutano Show cha Magic FM.

Kwa waelewa wanajua Zitto hana pa kushikilia ila kutaka huruma ya watanzania ila anajionesha wazi 'alitumwa'. Anaonekana sasa kuwahadaa wananchi kuwa CDM inafanya kazi na CCM na viongozi wake kumdidimiza yeye. Hii ni kiini macho na haiingii akilini. Kautumia sana udini na ukabila kujijenga na kuimarisha CHAUMMA cha wanakigoma kinachojumuisha mzee Rungwe, Kafulila, Mawazo na kiongozi wao Zitto km Ben Saanane alivyowahi kutudokeza.

Zitto bado,unahitaji kujifunza namna sahihi ya kupata mafanikio.
 
Dhambi ya usaliti inamtafuna Ndugu yetu Zitto.

Kwa ujumla mwacheni Zitto aendelee kufunguka na taratibu naona anaelekea kutusaidia mengi ambayo yamejificha nyuma ya pazia kwa vile ni wazi kabisa inaonekana kuna kitu anakizunguka zunguka bila kuingia kwenye kiini cha kitu ambacho anafikiri kinaweza kumtoa kwenye kashfa hii..tumpe muda tu then mbivu na mbichi tutazijua
 
Jaman si mmuache mbona mnamfuatilia ivo amekula chenu,mmesema mnamfukuza sasa kelele za nini tumechoka bwana kila siku Zitto zitto!!!!
 
Zitto atawachana msamba watu chadema mnahangaika naye wakati uwezo wake ni mkubwa kuliko nyie kamwe hamtamweza.
 
Mwanzo alisema anashutumiwa kuuza majimbo, kuishtaki CDM kwa CAG na kutoshiriki operesheni. Baadae kasema amehusishwa na waraka ambao yeye haufahamu. Sasa anakuja na masuala ya mabilioni ya Uswisi na kumhujumu Bungeni.

Ndio maana wenye upeo wamemwonya Zitto na wenzake waache kuongea ongea na vyombo vya habari. Msingi wake ni kuwa kama kweli Zitto anaomba msamaha wa dhati kauli zake zinaweza "kuisaidia" ku-influence maamuzi yatakayotokana na utetezi wao wa siku 14 baada ya barua.

Mbele ya wanahabari pale Serena Hotel, Zitto hakuwahi kutamka kuwa CDM na mafisadi wa CCM na serikali kwa ujumla eti wameshirikiana kumfukuza ili kukwamisha ufuatiliaji wa mabilioni ya Uswisi na kupooza Bunge km alivyoeleza kwenye kipindi cha Makutano Show cha Magic FM.

Kwa waelewa wanajua Zitto hana pa kushikilia ila kutaka huruma ya watanzania ila anajionesha wazi 'alitumwa'. Anaonekana sasa kuwahadaa wananchi kuwa CDM inafanya kazi na CCM na viongozi wake kumdidimiza yeye. Hii ni kiini macho na haiingii akilini. Kautumia sana udini na ukabila kujijenga na kuimarisha CHAUMMA cha wanakigoma kinachojumuisha mzee Rungwe, Kafulila, Mawazo na kiongozi wao Zitto km Ben Saanane alivyowahi kutudokeza.

Zitto bado,unahitaji kujifunza namna sahihi ya kupata mafanikio.
Vyovyote itakavyokuwa zitto siyo saize yenu atawapasua bifua saizi yenu akina lema,lisu na sugu.
 
Huenda kasahau moja la wabaya wake wanaotokana na kuwa mmoja wa wajumbe kamati ya Bomani(madini)
 
Vyovyote itakavyokuwa zitto siyo saize yenu atawapasua bifua saizi yenu akina lema,lisu na sugu.

Mtoa thread mimi sio CDM na nikujuze tu kuwa Zitto kwenye masuala ya msingi hanifikii. Namfahamu sana Zitto kuliko wewe na wengi pale CDM. Ni kijana wangu kwa siku nyingi akiwa anasoma na akiwa FES, INWENT program na Bacerius ya Zeit Stiftung huku nafahamu hulka na uwezo wake hata kabla ya kuwa active kwenye siasa. Ila hilo sio mhm hapa. Mhm ni kumsaidia kutowasilikiliza nyie msioijua hata hiyo CCM yetu mnayoishabikia.

Mnamwonesha wazi kumtaka abakie CDM akifanya kazi za wapinzani wa CDM. Mnamharibia future yake ktk politics.

Wewe Simiyu Yetu ndio 'siro' kabisa. Nafuatilia sana posts na comments zako. Huna lingine, ni ushabiki tu. Huoni tatizo lolote kwetu CCM na tatizo la nchi hii kulingana na ubongo wako ni CDM. Kwako CDM ikifa basi "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania" yatapatikana. Una USHUKI.
 
Mwanzo alisema anashutumiwa kuuza majimbo, kuishtaki CDM kwa CAG na kutoshiriki operesheni. Baadae kasema amehusishwa na waraka ambao yeye haufahamu. Sasa anakuja na masuala ya mabilioni ya Uswisi na kumhujumu Bungeni.

Ndio maana wenye upeo wamemwonya Zitto na wenzake waache kuongea ongea na vyombo vya habari. Msingi wake ni kuwa kama kweli Zitto anaomba msamaha wa dhati kauli zake zinaweza "kuisaidia" ku-influence maamuzi yatakayotokana na utetezi wao wa siku 14 baada ya barua.

Mbele ya wanahabari pale Serena Hotel, Zitto hakuwahi kutamka kuwa CDM na mafisadi wa CCM na serikali kwa ujumla eti wameshirikiana kumfukuza ili kukwamisha ufuatiliaji wa mabilioni ya Uswisi na kupooza Bunge km alivyoeleza kwenye kipindi cha Makutano Show cha Magic FM.

Kwa waelewa wanajua Zitto hana pa kushikilia ila kutaka huruma ya watanzania ila anajionesha wazi 'alitumwa'. Anaonekana sasa kuwahadaa wananchi kuwa CDM inafanya kazi na CCM na viongozi wake kumdidimiza yeye. Hii ni kiini macho na haiingii akilini. Kautumia sana udini na ukabila kujijenga na kuimarisha CHAUMMA cha wanakigoma kinachojumuisha mzee Rungwe, Kafulila, Mawazo na kiongozi wao Zitto km Ben Saanane alivyowahi kutudokeza.

Zitto bado,unahitaji kujifunza namna sahihi ya kupata mafanikio.
Ukweli hata cc cdm hawajui wamemvua zitto madaraka kwa kosa gani kwani inaelekea wana hasira naye tu. Lema anamrushia mawe hata haieleweki kwa nini! cdm inaweza kuanguka katika mtego hatari.
 
Kwa ujumla mwacheni Zitto aendelee kufunguka na taratibu naona anaelekea kutusaidi a mengi ambayo yamejificha nyuma ya pazia kwa vile ni wazi kabisa inaonekana kuna kitu anakizunguka zunguka bila kuingia kwenye kiini cha kitu ambacho anafikiri kinaweza kumtoa kwenye kashfa hii..tumpe muda tu then mbivu na mbichi tutazijua

Nul kweli ila namhurumia sana kufa kisiasa. Kuna email correspondences zilizodakwa zinazomwonesha anatumika. Najua system ikikutumia haikutunzi. Inakumwaga na kukutafutia mwingine wa kukudeal, etc. Anaongea kwa jeuri utafikiri CDM ni ya kwake au yeye ndiye mwenye uwezo mkubwa kuliko Wote pale. Sasa hii political arrogance ambayo ni typical ya wanakigoma (ingawa sio wote) inatafsiriwa km inferiority complex.

Tumshauri kuwa ajitambue na kujirudi na aachane na wanaomtumia. Otherwise, CDM sio yake na kwa kuwa vikao ndio vimemwondoa ebde tu kuifufua CHAUMMA.

Wasiwasi wangu ni kuwa ataishia kuwa na 'wishful thinking' km Lyatonga na kutaka vyeo vikubwa kila aendako. Najua hawezi kwenda CCM km Mwampamba na Shonza ila NCCR pia imejifunza kwa Kafulila. So, aende CUF akamng'oe Lipumba au airudie CHAUMMA yake na akina Mtela na Juliana.
 
Zitto atawachana msamba watu chadema mnahangaika naye wakati uwezo wake ni mkubwa kuliko nyie kamwe hamtamweza.

Utaweza kuandika kila unaloliwaza linakufurahisha wewe na zito lakini hautaweza kuondoa ukweli halisi wa usaliti wa huyu mtu. kama ni wewe mwenyewe au ni mshirika wako zito ni mtu hatari sana, msaliti na mwenye maamuzi ya kukurupuka huku akijihesabia haki. Demokrasia in mipaka yake na ustaarabu ndo kipao mbele. zito ana njama nyingi zana nilizoiumiza sana chadema na alipandikiza migogoro, kufitinisha na kutoa siri za chama kwa wabaya wa Chadema. Zito amekuwa anafanya maovu mengi na kila akionywa anakuwa na hasira na kususia vikao vya chama. Mtu kama huyu ni kama paka tu kwa kuwa paka hana shukrani, paka hana fadhila hata umpe nini. Maisha ya Zito kwa chadema ni sawa na paka tu kwa kuwa anavutiwa zaidi kuwa maarufu kwa kuangamiza chadema na kupandikiza chuki za uongo ili mradi pasitulie chadema. hamuumizi mtu kichwa ila inaauma anaposema uongo na kujihesabia haki angali dhamira yake inamshtaki.Hamna dini inayoruhusu mtu kumtesa mewnzako, kula rusha, kufanya dhuluma na kusaliti wenzako kwa ajili ya PESA, CHEO, MAJUMBA NA MAGARI AU KUHONGWA NGONO. Zito atabakia msaliti tu hata akiwa raisi au kiongozi yeyote. Hana leadership traits, ila uhuni tu wa kuangamiza wengine. Na Chadema maada kina watu wenye maono wamemuonya sana lakini kiburi chake ndo kimemfikisha hapo. haendani na chadema ila CCM na hao wasaliti wengine. nawasilisha
 
Nul kweli ila namhurumia sana kufa kisiasa. Kuna email correspondences zilizodakwa zinazomwonesha anatumika. Najua system ikikutumia haikutunzi. Inakumwaga na kukutafutia mwingine wa kukudeal, etc. Anaongea kwa jeuri utafikiri CDM ni ya kwake au yeye ndiye mwenye uwezo mkubwa kuliko Wote pale. Sasa hii political arrogance ambayo ni typical ya wanakigoma (ingawa sio wote) inatafsiriwa km inferiority complex.

Tumshauri kuwa ajitambue na kujirudi na aachane na wanaomtumia. Otherwise, CDM sio yake na kwa kuwa vikao ndio vimemwondoa ebde tu kuifufua CHAUMMA.

Wasiwasi wangu ni kuwa ataishia kuwa na 'wishful thinking' km Lyatonga na kutaka vyeo vikubwa kila aendako. Najua hawezi kwenda CCM km Mwampamba na Shonza ila NCCR pia imejifunza kwa Kafulila. So, aende CUF akamng'oe Lipumba au airudie CHAUMMA yake na akina Mtela na Juliana.

Na wewe unazunguka au unafunguka mdogomdogo????!!!!

Yasingetokea haya huu ufahamu wako ungeuleta lini????!!!!

Fortune telling or weather forecasting????!!!
 
Jaman si mmuache mbona mnamfuatilia ivo amekula chenu,mmesema mnamfukuza sasa kelele za nini tumechoka bwana kila siku Zitto zitto!!!!

Mwambie aache kujitetea kwetu wananchi tena akitumia uongo mwingi. Kila siku anajichagulia sababu ya yeye kuvuliwa vyeo. Asubiri barua yenye mashtaka na kisha ajitetee. Mbona mipango yake na jamaa wanafanya sirini?

Aawambie tu Wassira, Nchimbi na Lukuvi kuwa deal limevurugika ingawa anajitahidi kuwatumia vijana wanaomtukuza kutoa matamko yanayokichafua na kukigawa chama ambacho bwana wao anakipenda sana na hauyko tayari kujing'oa mwenyewe, labda ang'olewe. Matamko ambayo yanamweka Zitto pagumu sio tu CDM lkn pia kokote akienda. Lazima wajiandae kwani chama kitakuwa ni Zitto and others.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom