Masinde-morogoro-kibangir
Member
- Jun 8, 2020
- 30
- 18
Aisee man! mi nipo chugga na nime vote Uncle Magu, ili amalizie kibarua chake... lakn pia naona kama unachoongea hakielewi au hakipo!!! ivi media gani leo umeisikia kuna malalamiko yametolewa??Malalamiko kwenye social media no malalamiko wa umma. Umma nao unahitaji ushahidi. Kama haulalamiki kwa umma kwa nini una-post kwenye social media?
au hujaelewa mkuu!!! malalamiko yapostiwa kwa social network sio social medial sawa!!! na hakuna kiongozi yoyote alienda kupeleka malalamiko kwa tume but malalamiko yamepostiwa.. na kusambazwa so tume baada kuona hvyo ndo wakatoa tamko... na sivyo ulivyoelewa wwe!!!!!!
mzee usifuate mkumbooo!! follow your decade time.. kijana ni taifa la kesho...