Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
Mwanasheria mkuu wa Serikali Fredrick Werema amesema serikali imeunda kikosi kazi kwa ajili ya kufuatilia sakata la mabilioni yaliyofichwa Uswiss.
Werema aliwataja wanaounda kikosi hicho kuwa ni maafisa wa usalama wa Taifa, TAKUKURU na polisi wa kimataifa (Interpol). Werema amesema pia watamteua Zitto Kabwe kuwa mjumbe wa kikosi hicho kwa sababu ndiye aliyeibua sakata hilo.
Source: Mwananchi Jumapili.
My Take
Zitto atakuwa katika mtihani mgumu kukubali ama kukataa kuwa mjumbe wa kikosi hiki hasa ikizingatiwa 'nia njema' ya Werema kuunda kikosi hiki.
Werema aliwataja wanaounda kikosi hicho kuwa ni maafisa wa usalama wa Taifa, TAKUKURU na polisi wa kimataifa (Interpol). Werema amesema pia watamteua Zitto Kabwe kuwa mjumbe wa kikosi hicho kwa sababu ndiye aliyeibua sakata hilo.
Source: Mwananchi Jumapili.
My Take
Zitto atakuwa katika mtihani mgumu kukubali ama kukataa kuwa mjumbe wa kikosi hiki hasa ikizingatiwa 'nia njema' ya Werema kuunda kikosi hiki.