barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
huyu jamaa anavutiaga bangi chooni bila shaka!
huyu jamaa anavutiaga bangi chooni bila shaka!
Amesema kama ushahidi ungekuwa wa kuaminika mkuu. Maana yake hapo kuna uvunjaji wa mkataba upande wa mwekezaji na jinai juu. Kama mwekezaji amethibitika kuiba kwa nini isiwezekane kutaifishwa?KILA KITU KINA SHERIA NA TARATIBU ZAKE,UNAANZAJE KUTAIFISHA BILA KUZIFUATA TARATIBU HUSIKA KWANZA,HUO UTAKUWA UBABE
Msikimbie hoja: Zitto anawauliza kama mliiunda Kamati ya wasomi maprofesa, wakawaambia kilichoibiwa dunia nzima ikashikwa na butwaa, leo mnakaa na wezi wale kukubaliana kwa "maslahi ya pande mbili",bado mna jeuri ya kusema kwamba "ACACIA ni wezi na wanastahili kunyongwa" kama mlivyokuwa mnatamba? anachomaanisha Zitto ni kwamba hata hamuelewi kama mmeibiwa kweli au la, bali mlichokuwa mnafanya wala hamna uhakika nacho!Huyu jamàa anaweza siasa za kishirikina tu mengine hana anachojua kila jambo linataratibu zake siyo kuamka tu unataifisha.
Kweli Dunia ya leo unathubutu kufanya hivyo? Kwani wanauza mihadarati?
Anafikiria ni rahisi Kama kutaifisha mawese na mijebuka huko Kigoma.Huyu jamàa anaweza siasa za kishirikina tu mengine hana anachojua kila jambo linataratibu zake siyo kuamka tu unataifisha.
Mkuu umemsoma ZK lakini hukuelewa lugha.Huyu jamàa anaweza siasa za kishirikina tu mengine hana anachojua kila jambo linataratibu zake siyo kuamka tu unataifisha.
Ameandika kiswahiliMkuu,ungesema wewe si Rais and you will never be.
Huyu jamàa anaweza siasa za kishirikina tu mengine hana anachojua kila jambo linataratibu zake siyo kuamka tu unataifisha.
Huyu jamàa anaweza siasa za kishirikina tu mengine hana anachojua kila jambo linataratibu zake siyo kuamka tu unataifisha.
utakua umevurugwa wew, ukiwa mvivu wa kufkr sio lazima iwe kwa wotehuyu kigeugeu Zitto hasomeki, mara hili mara lile, bullshit.
Dah!Lengo watuhamishe katika mada, lengo watupoteze watupoteze lengo kutaka kutuonyesha sio kweli ya ripoti zile. Zito huyu msaliti