Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
We ni mchaga bila shaka?na hapa ni mbege ndio zinakuongozaZitto ni mnafiki na shetani mkubwa, CHADEMA wanazo mpaka taarifa za Zitto akichonga na maafisa wa serikali kuhakisha kesi inayomkabili Mbowe iishie kwa Mbowe kufungwa kimahakama. Ushahidi upo.
Pia Zitto aache uongo, Mbowe hajamtuma mtu mwingine yoyote kumtafutia msamaha wa kutoka jela. Mambo yote ya Mbowe yanasemewa na yeye mwenyewe Mbowe, Familia yake, Viongozi wa Chadema au Mawakili wake, na wote hao wamekuwa na msimamo unaofanana.
Zitto aiche Chadema na mambo yake, aendelee na siasa zake za kuilamba viatu CCM na serikali ya Mama Samia.