Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Well done Mheshimiwa Mbunge. Umejitetea vizuri, na umetetea uhuru wa kutoa maoni. Wako mambumbu wengine siku hizi wamejiaminisha kabisa kwamba sisi Watanzania hatuna uhuru wa kutoa maoni.
Kama maoni yako ni Spika Ndungai ni mpumbavu basi hayo ni MAONI, na una ruhusa ya kuwa nayo, na kuyasema. Hata mimi naona Spika Ndungai amekuwa mtupu sana. Sana kabisa.
Nashukuru Mungu kuona taifa langu lina viongozi vijana shupavu, wakiwa ni pamoja na Tundu Lisu, Zito Kabwe, Halima Mdee, Godbless Lema na wengineo. Mungu awabariki, na awalinde dhidi ya watu wasiojulikana.
Like Mag3, I am neither Chadema nor CCM. I have never been a member of a political party. Mtanzania, basi. Inatosha.
Kama maoni yako ni Spika Ndungai ni mpumbavu basi hayo ni MAONI, na una ruhusa ya kuwa nayo, na kuyasema. Hata mimi naona Spika Ndungai amekuwa mtupu sana. Sana kabisa.
Nashukuru Mungu kuona taifa langu lina viongozi vijana shupavu, wakiwa ni pamoja na Tundu Lisu, Zito Kabwe, Halima Mdee, Godbless Lema na wengineo. Mungu awabariki, na awalinde dhidi ya watu wasiojulikana.
Like Mag3, I am neither Chadema nor CCM. I have never been a member of a political party. Mtanzania, basi. Inatosha.