Zitto Kabwe , Tundu Lissu turufu uchaguzi mkuu 2020

Zito Kabwe na Ado Shaibu are very smart TISS agents, kiukweli nawa admire sana especially Ado. Kwa muda mrefu wameweza kufanya kazi zao as under covers

Hapa wanamalizia kuhakikisha upinzani hauwi stable kwa vi migogoro vya hapa na pale hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu

Unlike yule Profesa Mwenyekiti hawa jamaa are playing so smart. Haiwezekani KITENGO kiwaache nje vijana kama hawa wenye akili zilizofunga barabara kabisa(zilizo timia)

Nitawaunga mkono kama kweli hiyo mission yenu mnayoifanyia kazi kwa sasa ni mission ya nchi kwa manufaa na maslahi mapana ya nchi na wana wa nchi na si vinginevyo maana mwisho wa siku Tanzania kwanza
 
Zito Kabwe na Ado Shaibu are very smart TISS agents, kiukweli nawa admire sana especially Ado. Kwa muda mrefu wameweza kufanya kazi zao as under covers

Hapa wanamalizia kuhakikisha upinzani hauwi stable kwa vi migogoro vya hapa na pale hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu

Unlike yule Profesa Mwenyekiti hawa jamaa are playing so smart. Haiwezekani KITENGO kiwaache nje vijana kama hawa wenye akili zilizofunga barabara kabisa(zilizo timia)

Nitawaunga mkono kama kweli hiyo mission yenu mnayoifanyia kazi kwa sasa ni mission ya nchi kwa manufaa na maslahi mapana ya nchi na wana wa nchi na si vinginevyo maana mwisho wa siku Tanzania kwanza

Ndugu yangu, TISS ni taasisi nyeti ya nchi na mtu yeyote bila kujali itikadi ya chama chake, dini yake, profession yake, jinsia yake bali akiwa na vigezo basi anaweza kuwa mtumishi wa Idara.
Cha msingi mtu huyo asiajiliwe kwa sababu ya uchama wake n. k

Unapokuwa mtumishi wa TISS hauzuiliwi kuchuana na watumishi wengine unakwafahamu na usiowafahamu kwenye medani ya Siasa ili kujenga Taifa moja lenye nguvu na usitawi. Cha msingi Taifa

Kwani kuna mtu ambaye alikuwa hajui kuwa George Bush sr alikuwa agent wa CIA?, Sasa hiyo ilimzuia kuwa rais wa marekani?

Tatizo mnadhani System ni CCM kwa hiyo mnadhani kuwa kila aliye kwenye system hata kama ni mtu wa upinzani ni adui!

Sikiliza siyo kila aliye kwenye TISS ni mwanasiasa, wengine ni maengineer kazi yao ni kutoa report za kisomi ju ya miradi ya serikali.
Wengine ni wachumi kazi zao ni kutoa ripoti na analysis za kisomi kwa ajili ya sera za nchi za uchumi
Wengine ni watu wa dini ili kutuliza munkari wa raia kwenye mambo ya fukuto la udini
Wengine ni mainformer tu wakusanya taarifa kwenye vijiwe vya kahawa.

Kwa hiyo muache kudhani kuwa TISS ni chama fulani cha siasa japo siku hizi wanene wa hicho chombo na matendo yao wanaonekana kuibeba CCM. Lakini haipaswi kuwa hivyo
 
Hapa bado kuna changamoto kwenye tume ya uchaguzi. Iwapo tume itakuwa huru upinzani wana hoja ambazo huko nfani ya ccm hakuna anayeweza kuzijibu. Mfano Mdogo ni malumbano na ule mchezo wa kudukuliana sauti. Kitendo hiki kimeichafua sana Chama na rais ategemee quotes nyingi kwenye mikutano ya hadhara ambayo hataweza kuzijibu.
 
Ndugu yangu, TISS ni taasisi nyeti ya nchi na mtu yeyote bila kujali itikadi ya chama chake, dini yake, profession yake, jinsia yake bali akiwa na vigezo basi anaweza kuwa mtumishi wa Idara.
Cha msingi mtu huyo asiajiliwe kwa sababu ya uchama wake n. k

Unapokuwa mtumishi wa TISS hauzuiliwi kuchuana na watumishi wengine unakwafahamu na usiowafahamu kwenye medani ya Siasa ili kujenga Taifa moja lenye nguvu na usitawi. Cha msingi Taifa

Kwani kuna mtu ambaye alikuwa hajui kuwa George Bush sr alikuwa agent wa CIA?, Sasa hiyo ilimzuia kuwa rais wa marekani?

Tatizo mnadhani System ni CCM kwa hiyo mnadhani kuwa kila aliye kwenye system hata kama ni mtu wa upinzani ni adui!

Sikiliza siyo kila aliye kwenye TISS ni mwanasiasa, wengine ni maengineer kazi yao ni kutoa report za kisomi ju ya miradi ya serikali.
Wengine ni wachumi kazi zao ni kutoa ripoti na analysis za kisomi kwa ajili ya sera za nchi za uchumi
Wengine ni watu wa dini ili kutuliza munkari wa raia kwenye mambo ya fukuto la udini
Wengine ni mainformer tu wakusanya taarifa kwenye vijiwe vya kahawa.

Kwa hiyo muache kudhani kuwa TISS ni chama fulani cha siasa japo siku hizi wanene wa hicho chombo na matendo yao wanaonekana kuibeba CCM. Lakini haipaswi kuwa hivyo
Actually tunaongelea kitu kimoja. Kwa maoni yangu kama uwepo wa hao watu huko upinzani na hilo wanalolifanya huko ni kwa interest ya nchi basi ni jambo jema

My view has always been CCM sio Chama Dola bali CCM ndio DOLA yenyewe. The very existence of it ndio existence ya nchi. Hiki ni chama ambacho hakijasajiliwa kwa sheria ya Msajili wa vyama vya siasa, open your eyes brother
 
Back
Top Bottom