Zitto Kabwe: Tunasomesha wanafunzi wa Kigoma Ujiji kidato cha 5 & 6 popote walipo nchini

Hii pesa wanapata wapi!? Hawana ruzuku hawana wanachama, hii ni pesa wamepewa na MACCM ili wajitafutie umaarufu wasiokuwa nao!?
Nyie ndo tunakaa na nyie uswahilini mnaangalia mpangaji mwenzako anatoa wapi hela ya kula nyama kila siku, na wewe tafuta sio kumuonea wivu mwenzako.
 
Hivi halmashauri ya Moshi vijijini ikifanya hivyo itakuwa imesomesha zaidi ya % ishirini ya wanafunzi wote nchini.
 
Wenzake wameanza mda tu leo anakuja anasema yeye wa kwanza atuambie ameiga wenzake siyo yeye wakwanza kama hana data angesema View attachment 550669 View attachment 550670 akiiga na hii atasema yeye wa kwanza wenzake hawana kelele yeye kelele nyingi
Its was a good start kwa Bashe, tofauti ni kwamba yeye amesupport vijana 42 awamu ya kwanza, Zitto hajasema idadi, wote ni wa kupongezwa. Nashangaa sana watu wanaolichukulia hili jambo kisiasa.
 
ACT ina vyanzo gani vya mapato?

Kama inafadhirwa, je inafadhiriwa na nani? Kwa manufaa gani maana ukitoa kitu unaweza kuhitaji something in return.

ACT nimepoteza imani nayo siku za karibuni baada ya Kitila na Mama Anna kuteuliwa.

Chadema nayo sina imani nayo baada ya kumpokea Lowasa.

CUF ya Lipumba ndo sina hamu nayo kabisa kwa madudu ya Lipumba.

CCM ndo sitaki hata kuisikia.

Kama ningekua na uwezo ningemshawishi Lissu agombee urais kama mgombea asiyekua na chama (mgombea huru).

Kama kweli hilo jambo Zitto analifanya bila kutumia fedha za ajabu basi nampongeza sana, amethubutu, nampongeza Zitto ila sina imani na ACT, nawaza ACT ni alternative CCM.
Huu ni mtazamo tu jamani.

nothing is easier than blaming others for your own problems
 
Sio kweli kama ACT ndo ya kwanza kusomesha bore katika halmaahauri zao. CHADEMA wamefanya hivyo katika halmashauri zilizokuwa chini yao tangu enzi za kina Wangwe.
 
Mbunge wa Kigoma Ujiji, Mhe. Zitto Kabwe amesema Chama cha ACT - Wazalendo katika Manispaa kinachoongoza ya Kigoma Ujiji, kimeanza kuwasomesha wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 bure.

Amefafanua kuwa wanafunzi wanaosomeshwa bure ni wale waliosoma Elimu yao ya kidato cha kwanza mpaka cha nne katika Manspaa ya Kigoma Ujiji ambao kwa sasa wanajiunga na kitado cha tano au waliyopo tayari kitado cha sita popote pale nchini.

Ameongeza kuwa Manspaa ya Kigoma Ujiji ndio Manispaa ya kwanza Tanzania kusomesha watoto bure.
Zitto ni mbaya afuta kiki mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii pesa wanapata wapi!? Hawana ruzuku hawana wanachama, hii ni pesa wamepewa na MACCM ili wajitafutie umaarufu wasiokuwa nao!?
ACT inapigwa jeki ili kipindi cha uchaguzi mkuu ujao wajifanye ni wapinzani kumbe ni tawi la ccm.
 
Mbunge wa Kigoma Ujiji, Mhe. Zitto Kabwe amesema Chama cha ACT - Wazalendo katika Manispaa kinachoongoza ya Kigoma Ujiji, kimeanza kuwasomesha wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 bure.

Amefafanua kuwa wanafunzi wanaosomeshwa bure ni wale waliosoma Elimu yao ya kidato cha kwanza mpaka cha nne katika Manspaa ya Kigoma Ujiji ambao kwa sasa wanajiunga na kitado cha tano au waliyopo tayari kitado cha sita popote pale nchini.

Ameongeza kuwa Manspaa ya Kigoma Ujiji ndio Manispaa ya kwanza Tanzania kusomesha watoto bure.
Mdogo wangu ni mmoja ya wanaosomeshwa na chama cha Act

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Kigoma Ujiji, Mhe. Zitto Kabwe amesema Chama cha ACT - Wazalendo katika Manispaa kinachoongoza ya Kigoma Ujiji, kimeanza kuwasomesha wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 bure.

Amefafanua kuwa wanafunzi wanaosomeshwa bure ni wale waliosoma Elimu yao ya kidato cha kwanza mpaka cha nne katika Manspaa ya Kigoma Ujiji ambao kwa sasa wanajiunga na kitado cha tano au waliyopo tayari kitado cha sita popote pale nchini.

Ameongeza kuwa Manspaa ya Kigoma Ujiji ndio Manispaa ya kwanza Tanzania kusomesha watoto bure.

Zitto sitokaa nimwamini kamwe! Ni mtu smart sana, ila ana tatizo linaloitwa kitaalam "cognitive dissonance".
 
desperate times desperate measure

watu wakishakuchukia hakuna jema utafanya litakaloonekana.

au hii ni ile reaction ya lile bango la "magufuli"?
 
Its was a good start kwa Bashe, tofauti ni kwamba yeye amesupport vijana 42 awamu ya kwanza, Zitto hajasema idadi, wote ni wa kupongezwa. Nashangaa sana watu wanaolichukulia hili jambo kisiasa.
Hao 42 ndio wenye sifa za kujiunga kidato cha tano katika jimbo la nzega kwa selection ya awamu ya kwanza hoja hapa nikupinga kuwa zito ndio wa kwanza kuanzisha hii kitu kwa Tanzania kitu ambacho siyo kweli ndio maana tumekupa mifano ya Bashe kuwa jimboni kwake hili suala alishatangaza na analifanyia kazi
 
Kauli kama hizi si ngeni kwa watu wenye upeo mdogo wa fikra.
ACT wazalendo hatuzishangai.
Elimu bure ya Magufuli mpaka kidato cha 4 haipo,yeye elimu bure kuanzia kidato cha 5 na cha 6 katika halmashauri ya kigoma na nje ya Kigoma kwa mwanafunzi aliyepitia shule za halmashauri hiyo ameitoa wapi?.
 
Back
Top Bottom