Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 2,615
- 1,501
Ajabu
Duuh mmeshamgeukia ZittoNakumbuka uliwahi kututangazia mali na madeni yako kulingana na katiba ya chama chenu cha ACT inavyowataka. Binafsi leo hii nakuomba utueleze hali ya madeni yako, na ikiwezekana utueleze unatarajia kuyalipa vipi nje ya ubunge in case bado unayo.
Vile vile utueleze kama uliingia madeni mapya hapa katika( mfano kwenye kipindi cha kampeni)na ulikuwa unataraji utayalipaje iwapo hutakuwa mbunge.
Kwa kifupi na ikukupendeza, tueleze shughuli zinazokuingizia kipato nje ya ubunge .
CC: Halima Mdee na kundi lako maarufu kama Covid 19.
Endelea kuotaACT - Wazalendo kabla ya kukubali kuingia kwenye "SUK" walikaa vikao kadhaa na Balozi Wa Marekani.
Leo Balozi Wa Marekani amekua wa kwanza kupongeza hatua ya ACT - Wazalendo kukubali SUK.
Tundu Lissu na ACT - Wazalendo ndio wataisababishia madhara makubwa sana serikali ya CCM muda si mrefu (Japokua mpaka sasa hivi wameshaijeruhi sana tu, ila wanaficha ukweli na kujikaza kiaskari). Wengi watalidharau hili na kulipinga.
Mwaka huu na mwakani serikali "ITAKOPA SANA NA KUJILIMBIKIZIA MADENI MENGI SANA", ambayo mpaka wajukuu zetu watayakuta.
Sisi watanzania wengi tunakwenda kwa kufuata mkumbo. Hio picha ni foundation ya sinema inayojiri muda si mrefu ya kesi ya ICC na African Court On Human And Peoples Rights.
Stay tuned. Yajayo yanafurahisha.
ACT - Wazalendo kabla ya kukubali kuingia kwenye "SUK" walikaa vikao kadhaa na Balozi Wa Marekani.
Leo Balozi Wa Marekani amekua wa kwanza kupongeza hatua ya ACT - Wazalendo kukubali SUK.
Tundu Lissu na ACT - Wazalendo ndio wataisababishia madhara makubwa sana serikali ya CCM muda si mrefu (Japokua mpaka sasa hivi wameshaijeruhi sana tu, ila wanaficha ukweli na kujikaza kiaskari). Wengi watalidharau hili na kulipinga.
Mwaka huu na mwakani serikali "ITAKOPA SANA NA KUJILIMBIKIZIA MADENI MENGI SANA", ambayo mpaka wajukuu zetu watayakuta.
Sisi watanzania wengi tunakwenda kwa kufuata mkumbo. Hio picha ni foundation ya sinema inayojiri muda si mrefu ya kesi ya ICC na African Court On Human And Peoples Rights.
Stay tuned. Yajayo yanafurahisha.
Kadri siku zinavyozidi kupotea ndivyo na Wewe unavyozidi kupoteza uwezo wako wa kufikiri!!MATAGA bila kutaja Mbowe mnajiona hamko sahihi!
We need Tanzania, Siyo Wachawi wanoiombea Mabaya Tanzania. Sijui ICC sijui kitu gani unadhani ni mburula kama wewe.ACT - Wazalendo kabla ya kukubali kuingia kwenye "SUK" walikaa vikao kadhaa na Balozi Wa Marekani.
Leo Balozi Wa Marekani amekua wa kwanza kupongeza hatua ya ACT - Wazalendo kukubali SUK.
Tundu Lissu na ACT - Wazalendo ndio wataisababishia madhara makubwa sana serikali ya CCM muda si mrefu (Japokua mpaka sasa hivi wameshaijeruhi sana tu, ila wanaficha ukweli na kujikaza kiaskari). Wengi watalidharau hili na kulipinga.
Mwaka huu na mwakani serikali "ITAKOPA SANA NA KUJILIMBIKIZIA MADENI MENGI SANA", ambayo mpaka wajukuu zetu watayakuta.
Sisi watanzania wengi tunakwenda kwa kufuata mkumbo. Hio picha ni foundation ya sinema inayojiri muda si mrefu ya kesi ya ICC na African Court On Human And Peoples Rights.
Stay tuned. Yajayo yanafurahisha.
abaki bongo atafanya kazi gani,maisha ya kuwa jobless yasikie tu baba, yupo zake huko anakula pesa za mabeberu huku akiandaliwa kuvuruga vuruga na kuichafua nchi .Sikuona haja ya TAL kukimbia nchi.aliahidiwa kazi na Rais.
Kweli mabeberu wamevishika vichwa vya baadhi ya watu.hapakuwa na ishara yoyote ile ya kufanyiwa hujuma wala nini.
Au atarudi akisikia DPP amemfutia kesi zake zoote ?
Nikiwa kama mtanzania sijaona sababu ya yeye kukimbia nchi.sisi tunajivunia kushiriki kuijenga nchi yetu. aje tu teuzi zipo nyingi Sana cha msingi tu aridhike na atakachopata.
Mbona ZZK yupo tu anakomaa akisubiria uteuzi apige kazi.?
Ungewnzia ndani, kwa mbowe kisha yule mtetezi wa mabeberuNakumbuka uliwahi kututangazia mali na madeni yako kulingana na katiba ya chama chenu cha ACT inavyowataka. Binafsi leo hii nakuomba utueleze hali ya madeni yako, na ikiwezekana utueleze unatarajia kuyalipa vipi nje ya ubunge in case bado unayo.
Vile vile utueleze kama uliingia madeni mapya hapa katika( mfano kwenye kipindi cha kampeni)na ulikuwa unataraji utayalipaje iwapo hutakuwa mbunge.
Kwa kifupi na ikukupendeza, tueleze shughuli zinazokuingizia kipato nje ya ubunge .
CC: Halima Mdee na kundi lako maarufu kama Covid 19.
Mkuu mwenye jina kubwa la wavumbuzi wa kikoloni,ACT - Wazalendo kabla ya kukubali kuingia kwenye "SUK" walikaa vikao kadhaa na Balozi Wa Marekani.
Leo Balozi Wa Marekani amekua wa kwanza kupongeza hatua ya ACT - Wazalendo kukubali SUK.
Tundu Lissu na ACT - Wazalendo ndio wataisababishia madhara makubwa sana serikali ya CCM muda si mrefu (Japokua mpaka sasa hivi wameshaijeruhi sana tu, ila wanaficha ukweli na kujikaza kiaskari). Wengi watalidharau hili na kulipinga.
Mwaka huu na mwakani serikali "ITAKOPA SANA NA KUJILIMBIKIZIA MADENI MENGI SANA", ambayo mpaka wajukuu zetu watayakuta.
Sisi watanzania wengi tunakwenda kwa kufuata mkumbo. Hio picha ni foundation ya sinema inayojiri muda si mrefu ya kesi ya ICC na African Court On Human And Peoples Rights.
Stay tuned. Yajayo yanafurahisha.