ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Achana na Mushi, anacheza karata-tatu.Watu kwa kuotea......yaani Zema kawa balille tena?
Achana na Mushi, anacheza karata-tatu.Watu kwa kuotea......yaani Zema kawa balille tena?
Ndiyo mimi naweza kutathimini jinsi kelele zilivyoweza kubadilisha labda kama wewe huoni nitakuita kipofuHakuna mtu mwenye haja ya kumnunua Zitto, wa nini? Yeye ni mpiga makelele tu. Kuna anayeweza kutathmini objectively makelele yake tangu ayaanze yameweza vipi kubadilisha utendaji wa serikali?
Hivi Zemarcopolo kumbe ni Ballile?!!!! lini kaungana na mafisadi huyu? Na kwa faida ipi? ahhhhhhhhhhhhZitto mwenyewe ni member hapa hivyo ameisikia hii kauli yako na kwa ninavyofahamu hata yeye anaweza akawa anajuwa kuwa wewe ni Ballile...So anaweza kukujibu vizuri zaidi kwani mimi na wengineo tunakusikia kwa mbali tu kuwa umenunuliwa na MAFISADI mara baada ya kusomeshwa.