Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Anaandika Zitto Kabwe
Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa Taarifa za uwongo na majungu. Muda utasema. Wengine tumesema, tumeonya kwa mapenzi mema ya nchi. Wewe ndio mwenye vyanzo vingi na mkono mrefu. Umetamka hakuna njaa. Umefunga mjadala. Lakini uwe tayari kubeba mzigo wa maamuzi yako yanayotokana na habari za majungu, uwongo na kutaka kukufurahisha.
=========
SOMA: Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa,yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara
Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa Taarifa za uwongo na majungu. Muda utasema. Wengine tumesema, tumeonya kwa mapenzi mema ya nchi. Wewe ndio mwenye vyanzo vingi na mkono mrefu. Umetamka hakuna njaa. Umefunga mjadala. Lakini uwe tayari kubeba mzigo wa maamuzi yako yanayotokana na habari za majungu, uwongo na kutaka kukufurahisha.
=========
SOMA: Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa,yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara