The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hiyo siyo kauli yangu jamani. Hayo ni maoni na mtazamo wa Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu Zitto Zubeir Ruyagwa Kabwe kufuatia hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa juzi huko Chato, Geita juu ya maambukizi ya COVID-19
Msikilize mwenyewe hapa na kisha ongeza au punguza, kubaliana naye au pingana
Msikilize mwenyewe hapa na kisha ongeza au punguza, kubaliana naye au pingana