johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,769
- 141,632
Kwa nyakati tofauti mbunge wa Ujiji ambaye pia ni kiongozi mkuu wa ACT amekuwa akijitambulisha kama muumini mzuri wa azimio la Arusha lililoasisiwa na mwalimu Nyerere.
Wengi tulitegemea Zitto kwa imani yeke hiyo ya kijamaa basis angekuwa mstari wa mbele kumuunga mkono mjamaa wa ukweli Rais Magufuli ambaye amevalia njuga kuhakikisha rasilimali za nchi zinawanufuaisha watanzania wote.
Cha ajabu Zitto amekuwa kinara wa kubeza jitihada zinazofanywa na Rais Magufuli akisaidiwa na mjamaa mwingine Dr Bashiru katika kuirudisha nchi kwenye mstari.
Najiuliza tu Zitto analijua vizuri azimio la Arusha au alivamia tu akidhani ndio azimio la Zanzibar?
Dr Magufuli endelea kuchapa kazi wanaoshangaa shangaa acha washangae.
Maendeleo hayana vyama!
Wengi tulitegemea Zitto kwa imani yeke hiyo ya kijamaa basis angekuwa mstari wa mbele kumuunga mkono mjamaa wa ukweli Rais Magufuli ambaye amevalia njuga kuhakikisha rasilimali za nchi zinawanufuaisha watanzania wote.
Cha ajabu Zitto amekuwa kinara wa kubeza jitihada zinazofanywa na Rais Magufuli akisaidiwa na mjamaa mwingine Dr Bashiru katika kuirudisha nchi kwenye mstari.
Najiuliza tu Zitto analijua vizuri azimio la Arusha au alivamia tu akidhani ndio azimio la Zanzibar?
Dr Magufuli endelea kuchapa kazi wanaoshangaa shangaa acha washangae.
Maendeleo hayana vyama!