Si juzi usiku mlisema mnasitisha shuguli za uokoaji kwa sababu waliobakiwa wote wameshakufa?Mwambie zito asubir kwanza tupo ziwan now
Ndugu naona umenishambulia sanaSi juzi usiku mlisema mnasitisha shuguli za uokoaji kwa sababu waliobakiwa wote wameshakufa?
Na magogoni wakanyamaza kimya.
Leo nasikia kaokolewa mtu yupo hai
Unadhani tangia juzi wamekufa wangapi kwa sababu ya upumbavu wenu?
Aisee baraza liwakilishe kwa jaji mkuu haraka sana na jaji ateua madaktai
Hahah.Ndugu naona umenishambulia sana
Hebu angalia thread zangu uone ni jinsi gani namuunga mkono zitto
Tafadhal mkuu
Nakuheshim saint ivuga
You have got no clue Pharao ni nani na utamwona soon walahi!Hawasikii hawa. Ni wabishi kama Pharao. Mpaka wapigwe mapigo saba
Hoja la kijinga lililo kwenye goli kusubiri MATUKIO! Pathetic DNA walahiJibu hoja Mkuu,jibu lako linaonyesha huna uwezo wa kuijibu hii hoja ya Zitto Kabwe,.....Wataalamu wa saikologia wanasema kuwa ukimuona mtu anajibu hoja kwa matusi au kwa vistisho ujue kaishiwa na hoja huyo.,hana uwezo wa kujibu hoja
sawa mkuuHahah.
Pole sana ndugu yangu.
Ila sijamaanisha wewe kama wewe binafsi.
Pole sana