johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,663
Akiwa mbunge wa Kigoma Mjini kupitia Chadema mh Zitto Kabwe alikataa kupokea Sitting allowance pale bungeni na alipolazimishwa alimtaka Spika Makinda aielekeze jimboni Kigoma kwa wapiga kura wake zikajenge madarasa na vituo vya afya.
Huyo ndio Zitto Kabwe wa Buzwagi the Original.
Huyo ndio Zitto Kabwe wa Buzwagi the Original.