Hivi warena akisema mbowe kasema hana mkanda wa soweto na amekuwa akiwakwepa mtasemaje?
Warema alijua vichwa vya wanachadema wengi vinatumiwa kujaza chuki badala ya kufikiri ndio maana alijua mtamuunga mkono.
Ni lini chadema mmeanza kumuanini ag warema?
Kwa style hii ccm itatawala milele maana wapinzani wao hawajui kufikiri bali kujaza chuki tuu.
Kama ulisikiliza statement ya tume ya katiba kuhusu swala hili ndi utaelewa zitto adanganyi.
Divide and rule priciple.
Hivi warena akisema mbowe kasema hana mkanda wa soweto na amekuwa akiwakwepa mtasemaje?
Warema alijua vichwa vya wanachadema wengi vinatumiwa kujaza chuki badala ya kufikiri ndio maana alijua mtamuunga mkono.
Ni lini chadema mmeanza kumuanini ag warema?
Kwa style hii ccm itatawala milele maana wapinzani wao hawajui kufikiri bali kujaza chuki tuu.
Kama ulisikiliza statement ya tume ya katiba kuhusu swala hili ndi utaelewa zitto adanganyi.
Divide and rule priciple.
Katafsiri uongo ujumbe wa chama cha wasiockia wala kuongea uko south africa ktk msiba wa madiba
acha upuuzi wewe! Kalale kwanza ukiamka ndio uandike upya hii thread!Hivi warena akisema mbowe kasema hana mkanda wa soweto na amekuwa akiwakwepa mtasemaje?
Warema alijua vichwa vya wanachadema wengi vinatumiwa kujaza chuki badala ya kufikiri ndio maana alijua mtamuunga mkono.
Ni lini chadema mmeanza kumuanini ag warema?
Kwa style hii ccm itatawala milele maana wapinzani wao hawajui kufikiri bali kujaza chuki tuu.
Kama ulisikiliza statement ya tume ya katiba kuhusu swala hili ndi utaelewa zitto adanganyi.
Divide and rule priciple.
Hahaha, kuna picha nyingine nimeona mkalimani kanyoosha kidole cha kati, hii dunia hii basi tu...